Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Pre GE2025 Kwa aina ya Siasa anazofanya Tundu Lissu, hata akigombea Ubunge hapati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unajiabisha sana Mkuu hizi porojo kapeleke vijijini huko .
Watu wanapotea
Watu wanafukuzwa maeneo yao
Bandari zinauzwa
Tozo ambazo matumizi yake hayaeleweki
Pangua pangua iii kila aliye karibu na utawala apate ulaji.
Huduma za kibinadamu zimekuwa mbovu
Halafu na wewe unamzungumzia Lissu mbona unateseka sana ?
Matatizo ni mengi kuliko hata utatuzi wake.
kama kusema ukweli ni kujiabisha basi nadhani nitafanya bidii zaidi ili niabike sana...

by the way,
ulichoandika hakina uhusiano hata kidogo na Lisu kukataliwa singida na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema 🐒
 
Duh,
Hapa ni ama pesa ya Abdul inafanya kazi au uliwahi kuhisi TL kukut#mbea, maana siyo kwa kumuandama huku!!!
hapana,
singida wamemkataa kabisa wanadai ana omba sana kuchangiwa,

chadema wanamuona kama ni puppet tu anaetaka kuvuruga chama chao halafu atembee mbele 🐒
 
kama kusema ukweli ni kujiabisha basi nadhani nitafanya bidii zaidi ili niabike sana...

by the way,
ulichoandika hakina uhusiano hata kidogo na Lisu kukataliwa singida na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema 🐒
Huwezi kushinda kwa hicho chama kimeshajidhalilisha vyakutosha na sasa hivi wanakuwa hawajiamini wapo wapo. Tu na wanatukana tukana kwa sasa wananchi wamejichokea wapo wapo tu na tshirts zao za kijani
 
hapana,
singida wamemkataa kabisa wanadai ana omba sana kuchangiwa,

chadema wanamuona kama ni puppet tu anaetaka kuvuruga chama chao halafu atembee mbele 🐒
Vipi kuhusu Tume Huru ya uchaguzi, kwa nini mnaiogopa mno?
 
Unazani kwanini Mh.Prezda aliwashauri wamwite yule SIMBA DUME jina la Tundu Lissu?

Ingali kulikuwa na wanyama wengine?

Akachagua simba.
 
ni muhimu zaidi kuandikia uzi maalumu juu ya hilo bila kuathiri hoja mahususi iliyopo mezani 🐒
Haha,
Hoja ipi hapa bro?
Au unapenda tu kujaza server bila sababu ya msingi?
Ili kuokoa muda, niwaombe mods waunganishe huu uzi na ule wa..
 
Haha,
Hoja ipi hapa bro?
Au unapenda tu kujaza server bila sababu ya msingi?
Ili kuokoa muda, niwaombe mods waunganishe huu uzi na ule wa..
unatafuta ban kinguvu, unakebehi kazi za watu au unawafundisha watu kazi zao right?🐒

ukifikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala unapumzika tu 🐒
 
😂😂😂😂😂
Kiekweli umenifanay nicheke sana, mimi naona humu mnakula pesa za bure, hivi kweli mtu ambaye anaingia Jamiiforums anaweza kweli kuamini hiz cheap propaganda zenu.? Kwanini msiwe mnaenda Facebook huko ambako kuna wadada wa kazi na wengineo ambao wanaamini ukichagua upinzani basi vita vitatokea
Huyo anayewalipa naye atakua hajielewi.
 
Unazani kwanini Mh.Prezda aliwashauri wamwite yule SIMBA DUME jina la Tundu Lissu?

Ingali kulikuwa na wanyama wengine?

Akachagua simba.
ni kwakua anapigwa chini ubunge singida, anapigwa chini nafasi ya kugombea urais kupitia Chadema,

na kwahivyo walau kuwe na kumbukumbu yake huko kwenye hifadhi za Taifa za wanyama 🐒
 
so,
umevunjika moyo sana Dr.Samia Suluhu Hassan kupeleke huduma za kijamii kama maji, umeme, kilimo, afya, elimu, biashara, ulinzi, usalama n.k mpaka kule chini kwa common mwananchi,

na kwamba hakuna hoja tena kwamba mambo yote yamefanywa na huyu kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan, right?🐒

johnthebaptist kumbusha madogo hawa:



Huyu si ndugu yule nabii wa Arusha au wale kina yakhe wengine.

Ukweli mchungu:

"Muda wa kumwangukia vilivyo mzee wa mia kenda, aka mzee Tobiko... !"
 
Huwezi kushinda kwa hicho chama kimeshajidhalilisha vyakutosha na sasa hivi wanakuwa hawajiamini wapo wapo. Tu na wanatukana tukana kwa sasa wananchi wamejichokea wapo wapo tu na tshirts zao za kijani
nadhani,
nimetekeleza wajibu wangu vyema kuwaandaa kisaikolojia baada ya huyo muungwana kupigwa chini ubunge na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema...

sasa hivi mtakua mnaenda kumtembelea ndugu yake huko mbugani ili kukuza utalii wa ndani 🐒
 
Ikitokea akakubali ushauri wa wazee wa Singida eti agombee Ubunge kwenye miongoni mwa majimbo yaliyomo mkoani Singida, Tundu Lisu atashidwa vibaya mno ikiwa atagombea Urais wa Tanzania, huku uwezekano wa kupewa nafasi hiyo ndani ya chama chake CHADEMA ukiwa finyu na mdogo sana.

Siasa zake za kulalamika, kuomba omba kuchangiwa, kuonewa huruma, imotional stori telling with hopeless and empty promises zimewafanya wanachama wa chama chake wengi kubadilisha uelekeo na uamuzi na kuamua kumuunga mkono kiongozi na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Aina hiyo ya siasa yamewafedhehesha na kuwavunja moyo sana watu wachapakazi wa Singida kwa sababu wao hawana tabia ya kuomba omba, na kwahivyo hawamuamini na wala hawataki kubeba aibu zaidi hiyo aliyowapa inatosha.

Soma Pia:
Hata hiyo,
Tundu Lisu hana sera mahususi tena, hana uelekeo kabisa, kapoteza credibility completely kwa Umma nadhani hata yeye amegundua hilo ndio maana sasa anajarbu tu kupambana kudhibiti kila hoja anayoibua Mwenyekiti wake ili yeye ndio awe relevant zaidi mitandoni.

Kwakweli anaelekea kukata tamaa kabisaa.

Actually,
Mwenyekiti wake anampendelea zaidi Dr.Slaa kua mgombea Urasi wa CHADEMA zaidi ya mtu mwingine yeyote 🐒
Kwa ujinga wa kusifia jimama ulionao hata D hukupata
 
nadhani,
nimetekeleza wajibu wangu vyema kuwaandaa kisaikolojia baada ya huyo muungwana kupigwa chini ubunge na kupigwa chini kugombea urasi kupitia Chadema...

sasa hivi mtakua mnaenda kumtembelea ndugu yake huko mbugani ili kukuza utalii wa ndani 🐒
Unaonyesha utoto tu katika hii mada, hujui kitu na kamwe hutajua wala kuelewa. Unakaza fuvu kwa jambo usilolielewa wala lisilokuhusu ni aina ya ukichaa.
 
Siwezi kupanic kwa hizi ngonjera zako ila nakucheka kwa dharaaaau kwa huu utoto unaofanya. Ni mpumbavu tu anayeweza kuuamini.
unyesha utu uzima wako sasa kwa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mezani,

lakini pia kama ni upumbavu onyesha uerevu basi dhidi ya hoja hiyo mahususi mezani,

vinginevyo mihemko na ghadhabu ni ushirikiana tu kama uchawi yaani 🐒
 
Back
Top Bottom