Kwa ajili ya kumbukumbu: Magufuli hatojiongezea muda

Ataondoka kwa kinyongo. Kauli anazotoa haziashirii amani.
Ataondoka kwa amani.

Ni wazi hakuna mtu apendaye kushindwa.

Lakini hatong’ang’ania kubaki madarakani.

Kama bado anataka kuwa Rais, atagombea tena 2024.
 
Si afrika tu, hata trump analeta zengwe.
Ya Trump ni tofauti kabisa na hawa watawala wa Afrika. Hakuna uwezekano wa kung'ang'ania Ikulu na hata yeye anajua hilo. Kinachotokea ni panic tu baada ya kushindwa. Huwezi kufananisha na kilichotokea kwenye uchaguzi wetu huu.
 
Kina Kabula, Sundi ndo wanavaa CL na wanaendesha Audi 9.
Kuhusu kuongeza mhula. Tuombe uzima tu Wabunge wataongeza muda na Magufuli atajifanya kaombwa hivyo kakubali unless afe kabla ya 2025.
Hivi we hua ni mnyama au ndege?
 
hawezi kufanya hivyo vijana wa CHADEMA watamchomoa Ikulu kwa mapanga, patacimbika, nchi itawaka moto (as they always says).
 
Juma Mkamia Na yule Wa Nkasi wote chali! Atatokea kiherehere mwingine.
Safari hii viherehere ni wengi kuliko bunge lililopita, maana hawa wa safari hii wengi wamepitishwa kwa zile kura za umwagaji damu, na kura za kwenye mabegi.
 
Nyani Ngabu na Paschal Mayalla wote ni wasukuma, na msukuma hata aishi New York hawezi acha ushamba na ujinga flani hivi wa kumsifia msukuma mwenzake hata akila kinyesi
Dah Kama huna Akili huna tu.
Namanisha wewe
 
Logical non sequitur.

What has that got to do with the price of pork in China?

Mimi sizamii meli, nishamiliki bandari.

Limbukeni katika ubora wako. Who cares? Kumbe vivuli vya Charles Njonjo bado vinaishi.
 
^We shall overcome^ ~ says the former Nigerian Senator Dinno Melaye
 
Huwa mnamsahau Mungu tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…