Kwa akili ya kawaida mtu hawezi kubinafsisha Bandari zote nchi nzima! Waziri alilishwa nini?

Kwa akili ya kawaida mtu hawezi kubinafsisha Bandari zote nchi nzima! Waziri alilishwa nini?

Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
Labda huwa kuna dawa wanawekewa kwenye chakula then akili inakuwa haipo sawa, wakishaanza mazungumzo kila kitu kinakuwa Oooh Yes. Ukinipa hiki wewe utakuwa Nyampala oooh yes, mkeo atakuwa mpishi wangu oooh yes, haya saini hapa na hapa na hapa, Rashiiidi leta ile bahasha mpe huyu ha ha haaaa deal done.
 
Unataka kushindana na watu wanaoijuwa faida ya bandari wakati hata bahari huijuwi ilivyo?

Hakuna anayeshindana na mtu. Ushindane ili iweje? Hapa tumesikia yatokanayo na huo mkataba tukaona tuyasemea.

Jambo la ajabu na kusikitisha ni pale unapo wanaonesha haya mapungu kwa nia njema na huna motive nyengine zaidi ya kuona pengine yatarekebishwa kwa faida ya kizazi hiki na vijavyo bado unaoneka ni mpotoshaji na mwenye nia ovu. Kusema kwa mfano kwa nini bandari za Tanganyika tu, kusema kama ni hivyo ni bora Tanganyika irudi inakuwa nongwa. Hivi kusingekuwa na huu ukataba wenye mambo ya kukera Watanganyika kungekuwa na hizi kauli?

Na kusema kauli hizi nia yake ni kuwaonesha wa husika hiki mlichofanya kinaweza kusababisha haya pengine wajitafakari wajisahihishe.
 
Hakuna anayeshindana na mtu. Ushindane ili iweje? Hapa tumesikia yatokanayo na huo mkataba tukaona tuyasemea.

Jambo la ajabu na kusikitisha ni pale unapo wanaonesha haya mapungu kwa nia njema na huna motive nyengine zaidi ya kuona pengine yatarekebishwa kwa faida ya kizazi hiki na vijavyo bado unaoneka ni mpotoshaji na mwenye nia ovu. Kusema kwa mfano kwa nini bandari za Tanganyika tu, kusema kama ni hivyo ni bora Tanganyika irudi inakuwa nongwa. Hivi kusingekuwa na huu ukataba wenye mambo ya kukera Watanganyika kungekuwa na hizi kauli?

Na kusema kauli hizi nia yake ni kuwaonesha wa husika hiki mlichofanya kinaweza kusababisha haya pengine wajitafakari wajisahihishe.
Huyo bi mkubwa ni kwa sababu aliyepo hapo juu ni ndugu katika Imani basi! Hawezi kusema kukubali kwamba kuna makosa katika mkataba huo
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
Waziri alilishwa nini? Hujiulizi bandari nyingi ziko bara, barabara nyingi ziko bara, viwanja vya ndege vingi viko bara, kila kitu kikubwa kiko bara, mnateua waziri kutoka visiwani kusiko na kitu ili awasaidie muwe na kitu kisa MUUNGANO.
Watanganyika tumelogwa brother!!!
Na tutaibiwa sana kisa MUUNGANO
 
Waziri ni mwajiriwa tu! Kwani mwajiri anasemaje?
Mwajiri wake ametokea huko huko.
Brother kupitia muungano tunapigwa mbaya sana.
Mfano wizara ya mambo ya ndani tunapigwa
2. Wizara ya mali asili na utalii kapewa mume wa binti yake, tunapigwa
3. Ujenzi na uchukuzi tunapigwa
4. Makamba alikuwa ofisi moja zamani na maza , sasa yuko mambo ya umeme tunapigwa
 
Waziri alilishwa nini? Hujiulizi bandari nyingi ziko bara, barabara nyingi ziko bara, viwanja vya ndege vingi viko bara, kila kitu kikubwa kiko bara, mnateua waziri kutoka visiwani kusiko na kitu ili awasaidie muwe na kitu kisa MUUNGANO.
Watanganyika tumelogwa brother!!!
Na tutaibiwa sana kisa MUUNGANO

Tunaenda kuwa koloni la waarabu
🙄
 
Mwajiri wake ametokea huko huko.
Brother kupitia muungano tunapigwa mbaya sana.
Mfano wizara ya mambo ya ndani tunapigwa
2. Wizara ya mali asili na utalii kapewa mume wa binti yake, tunapigwa
3. Ujenzi na uchukuzi tunapigwa
4. Makamba alikuwa ofisi moja zamani na maza , sasa yuko mambo ya umeme tunapigwa
Hawa jamaa huwa wanaamini duniani hakuna kufa?

Mbona ni kama wanapenda sana mambo ya anasa?
 
Mwajiri wake ametokea huko huko.
Brother kupitia muungano tunapigwa mbaya sana.
Mfano wizara ya mambo ya ndani tunapigwa
2. Wizara ya mali asili na utalii kapewa mume wa binti yake, tunapigwa
3. Ujenzi na uchukuzi tunapigwa
4. Makamba alikuwa ofisi moja zamani na maza , sasa yuko mambo ya umeme tunapigwa
Waislamu wanaitafuna hii nchi vibaya sn
 
Waziri alilishwa nini? Hujiulizi bandari nyingi ziko bara, barabara nyingi ziko bara, viwanja vya ndege vingi viko bara, kila kitu kikubwa kiko bara, mnateua waziri kutoka visiwani kusiko na kitu ili awasaidie muwe na kitu kisa MUUNGANO.
Watanganyika tumelogwa brother!!!
Na tutaibiwa sana kisa MUUNGANO
Je? Ilitumika akili ya kawaida?
Au uchawi wa mwarabu?
 
ngoja tuende na waarabu . ujue wakati mwingine kukataa unashindwa na kukubali unashindwa!!
Hakuna mtu aliyekataa uwekezaji wa Waarabu!! Shida ni mkataba wa kimangungo!! Upuuzi mtupu, kweli hawa watu wanatumia akili hata kidogo?
 
Angekuwa hai JPM angetoa jibu, Ila basi tu!
.
20230530_221016.jpg
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
Jana niliona sura zao, aibuuu
 
Huyo bi mkubwa ni kwa sababu aliyepo hapo juu ni ndugu katika Imani basi! Hawezi kusema kukubali kwamba kuna makosa katika mkataba huo

Ni vema angemsaidia kuonesha mapungufu ili ya sahihishwe. Kukubali makosa ni ujasiri na ni hambo muhimu la kuonesha kulikuwa hamna nia mbaya wala kujinufaisha binafsi.

Kutumia nguvu kubwa kutetea mapungufu ama kuyahalalisha inafanya ionekane mapungufu hayo ni ya kimkakati.
Matokeo yaje ni kuafanya watu wawe na hisia mbaya juu yako na ni kujiharibia kwa unaowaongoza na wanao kusaidia kuwaongoza unao waongoza. Wanaweza
kukatishwa tamaa, au nawao kutafuta ni wapi wanaweza kufanya mapungufu kwa faida zao.

Kama haitoshi unawapa mahasimu wako silaha ya kukushambulia na kufunika yale mazuri yako yasionekane. Mbaya zaidi Uongozi wa kisiasa unahitaji watu nyuma yako, watu wanao kuamini na kusimama na mh wewe. Haya mapungufu ya huu mkataba yana leta madhara katika hili. Wengine wataamua kukaa kimya na wengine kukuepuka.

Lakini hao je Dp world hatafika mahali wa jiulize kwa hizi kelele zote bado tu tuweke tamaa zetu mbele na kuendelea kichwa kichwa?
 
Binadamu tumepewa uwezo wa kutawala vyote! Naona sisi watanzania ni kama unajiwekea mipaka ya kutawala!

Ni kweli hatuwezi kuendesha Bandari zetu hadi tuwape wengine?
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
Hatari ana sign MOU kabla kuleta bungeni kweli ? Hapana aseee waweke kikomo....20 max 30yrs
 
Back
Top Bottom