Kwa akili ya kawaida mtu hawezi kubinafsisha Bandari zote nchi nzima! Waziri alilishwa nini?

Kwa akili ya kawaida mtu hawezi kubinafsisha Bandari zote nchi nzima! Waziri alilishwa nini?

Ni vema angemsaidia kuonesha mapungufu ili ya sahihishwe. Kukubali makosa ni ujasiri na ni hambo muhimu la kuonesha kulikuwa hamna nia mbaya wala kujinufaisha binafsi.

Kutumia nguvu kubwa kutetea mapungufu ama kuyahalalisha inafanya ionekane mapungufu hayo ni ya kimkakati.
Matokeo yaje ni kuafanya watu wawe na hisia mbaya juu yako na ni kujiharibia kwa unaowaongoza na wanao kusaidia kuwaongoza unao waongoza. Wanaweza
kukatishwa tamaa, au nawao kutafuta ni wapi wanaweza kufanya mapungufu kwa faida zao.

Kama haitoshi unawapa mahasimu wako silaha ya kukushambulia na kufunika yale mazuri yako yasionekane. Mbaya zaidi Uongozi wa kisiasa unahitaji watu nyuma yako, watu wanao kuamini na kusimama na mh wewe. Haya mapungufu ya huu mkataba yana leta madhara katika hili. Wengine wataamua kukaa kimya na wengine kukuepuka.

Lakini hao je Dp world hatafika mahali wa jiulize kwa hizi kelele zote bado tu tuweke tamaa zetu mbele na kuendelea kichwa kichwa?
Ni mkataba wa kijinga sn
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
Theory pekeee ambayo itakaaa ni kwamba viongozi wetu wote wanao husika na ku sign mikataba hiyo wamekuwa cloned.
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
ngoja tuende na waarabu . ujue wakati mwingine kukataa unashindwa na kukubali unashindwa!!
Mkuu hii ni kama ile "usimung"unye wala usiteme"
Waziri hana kosa kosa ni sisi bara kukubali kuongozwa na watu wa nchi nyingine
Mkuu nadhani tumefika wakati sasa hata hizi nafasi, hasa za mawaziri tuzibinafsishe, hasa kwa zile Nchi zenye democrasia iliyopevuka nasi tutajifunze tena, tenda/Mkataba wa miaka 5. Tunaweza kuwa na baraza mzuri. lakini Mkuu awe mzawa.
 
Waarabu wamejali
Waarabu wamejaliwa uharibifu uharibifu uporaji na ujangili

Tarajia maafa zaidi

wa uharibifu uharibifu uporaji na ujangili

Tarajia maafa zaidi
Sasa kama Mungu aliumba K kwa ajili ya kut...mba wao wakaona haitoshi wakageuza na kuanza kufukua wake zao mitaro bado wakaona haitoshi wakaja kwa wanaume wenzao na kuanza kuwafumua nyuma
 
Yani haya yote yametokea kama yale ya wakati wa Mkapa. CCM wanaamini wanaweza kununua Uchaguzi.
Mie naona Wananchii tukubali vijitisheti, vikofia, kanga, mipira....pilau soda n.k yani chochote kile watakachokuwa wakirusha tukubali. Ila basi, ikija siku ya uchaguzi, ikija kwenye Kura tuwakatae, wakae pembeni wapate akili, wajitathmini halafu wafanye mapinduzi ndani ya CCM. vyovyote vile hawachaguliki kana ilivyokuwa majuzi kati- in recent past.

Wamasai
Ngorongoro
Bandari
....Tanesco?
....Mbeya?
Kama bado unaamini mtesi wako anatoka kwa demokrasia ya kura tuna safari ndefu
 
Atakuwa alipewa pombe ya kirusi(urusi) wakati wa mazungumzo

Akajikuta anaropoka kwenye mazungumzo
 
Mkuu hii ni kama ile "usimung"unye wala usiteme"

Mkuu nadhani tumefika wakati sasa hata hizi nafasi, hasa za mawaziri tuzibinafsishe, hasa kwa zile Nchi zenye democrasia iliyopevuka nasi tutajifunze tena, tenda/Mkataba wa miaka 5. Tunaweza kuwa na baraza mzuri. lakini Mkuu awe mzawa.
Kabisa mkuu
 
Kama bado unaamini mtesi wako anatoka kwa demokrasia ya kura tuna safari ndefu
Kula tuna kula, kura tunawapa [X] na kikubwa ulichokikosa, ni Mapinduzi. Hili, litaenda sambamba ndani ya CCM.

Kama ninavyotaka kuamini matamshi ya J.K.Nyerere, kuwa mapinduzi(demokrasia) na upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM, basi bado mtesi wangu atakuwa ni kuwanyima kula kwa kura.

Kula waliyokuwa nayo ndio inayowapa jeuri.

Jeuri hii niliiona na kusikia baada ya safari ya Mh Rais SSH na Shaka H Shaka. kule Uarabuni..., na kama sikosei kwenye mada iliyoletwa hapa jamvini, kiunagaubaga, iliuliza ni kwa nini Shaka H. alikuwemo kama mmoja wa viongozi wa kiserikali...binafsi, sikuwa na mashaka na weledi au mamlaka ya uwepo wake, bali, iliniridhihishia' Usaka tumbo' wa CCM kwa udi na ugumba,....... nakushauri, rejea matamshi ya Shaka(kama mwenezi na mtumishi wa juu wa CCM) na matendo ya CCM baada ya safari ile na utaona Jeuri waliyopata.

Haijalishi, ni kweli na bado naamini kura ndio kiboko wa CCM na wao wanajua hilo.....Fika! ingawaje naona kuwa wanarudia yale ya Ben. M(R.I.P) ya kununua?? kura.
 
Mtu umeenda kutafuta wawekezaji, mwekezaji anakwambia, ninataka unipe Bandari, na unipe Bandari zote mpaka za kwenye maziwa na kama zipo za mito nazo nipe ili sasa tufunge mkataba.

Tena haitoshi, anakwambia umpe Bandari hizo kwa maisha yote ya uhai wa Bandari hizo! Hujiulizi tu kwamba huyu mwekezaji hafai hata kusilizwa?

Hata kama alikuwa kakupa na chakula kitaamu kiasi cha kuzidi ulichowahi kula, hapo hapo tayari utaanza kukiona ni kichungu, hata hilo hakuna? Waziri wetu, anapaswa ahojiwe!

Hawa warabu walimlisha nini? Dawa au uganga gani walitumia kumpa Waziri wetu mpaka kajikuta anakubaliana na huo upuuzi?

Mbona haiwezekani jamani!
TANZANIA ni SHAMBA LA BIBI NI KUJIVUNIA TU
 
Back
Top Bottom