nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu wana makato sana hawa jamaa ila pesa inaonekanaNilijiunga baada ya kuona masela wawili wametoa pesa, mmoja alianza na laki 1 baada ya wiki 3 akatoa ishafika 220,000 ila pesa inachelewa kufika ni ndani ya masaa 48 afu wanamakato makubwa wakati wa kutoa.
Mimi nilianza na 20K, kesho nafikisha 40K.