Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.

Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?

Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula matunda ya jasho lao.

Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu, Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyofanyiwa Simba.

Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
 
Kama ni kweli analipwa milioni moja na nusu hilo ni tusi kubwa sana kwa Vijana wa kitanzania wanaopambana kila siku wakimwangalia shabalala kama role modo wao!

Wanachokiona hapo ni kwamba, hata wakipambana kwa juhudi za kuweza kufika pale alipo zimbwe juhudi zao hazitapewa heshima wanayostahili kwa sababu ya utaifa wao ! Mimi ni shabiki wa Simba lakini hili kama ni kweli si sahihi nalipinga kwa nguvu zote !!!!
 
Hii presha itampa maslahi mapana mzalendo tshabalala,aidha ndani au nje ya Somba...Kwa timu kama Simba ilivyo Kwa sasa kulipa mchezaji wa kikosi cha kwanza 1.5 milioni ni unthinkable ifike mahala vijana wa kitanzani wenye vipaji wajue kujibrand ili watusue kwani hizo kazi zingine zina mwisho wake.

Kila la kheri tshabalala ktk mvutamo huu uwe na matokeo chanya kwako...the nxt contract (iwe Simba au Yanga )uwe mnono wenye mshahara si chini ya milioni 5..achana na mapenzi yako na Simba Yanga wakija na dau lenye maana kwenye maisha yako na familia yako saini kwani baada ya miaka 10 mbele unatakiwa uishi maisha mengine tofauti na mpira[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Nafikiri Shaban Djuma hachezi left wing back kama Mohammed Hussein hivyo hawezi kuwa mbadala wake.
Kama anacheza kulia Basi Yanga wamchukue. Iwe kushoto Zimbwe kulia shabalala. Simba Wana Gadiel na Kapombe
 
Hii presha itampa maslahi mapana mzalendo tshabalala,aidha ndani au nje ya Somba...Kwa timu kama Simba ilivyo Kwa sasa kulipa mchezaji wa kikosi cha kwanza 1.5 milioni ni unthinkable ifike mahala vijana wa kitanzani wenye vipaji wajue kujibrand ili watusue kwani hizo kazi zingine zina mwisho wake...
Tshabalala sio mpenzi wa Simba though
 
Tshabalala aende Yanga au pengine popote, Simba ni kubwa zaidi ya mtu yeyote, mbona simple sana. Wacheni hizi siasa zenu za mitandaoni.
Tunazungumzia maslahi bob sio ukubwa wa timu...Oscar aliiacha Chelsea kwenda China,sasa China kuna timu kubwa kuishinda Chelsea????watu wanategemewa bob[emoji385][emoji385][emoji385]
 
Tshabalala aende Yanga au pengine popote, Simba ni kubwa zaidi ya mtu yeyote, mbona simple sana. Wacheni hizi siasa zenu za mitandaoni.
Tunazungumzia maslahi ya kijana mtanzania mwenzetu wewe unaleta ushabiki
 
Sasa Yanga kuna maslahi gani!? Aache milioni sita aende Utopolo. Simba ni Simba muulize Kessy na Singano.!
Sasa milioni moja na nusu si hata gwambina wanakulipa hiyo [emoji15][emoji15]khaaa!!!
 
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo,. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na.nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne .


Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?


Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula.matunda ya jasho lao.


Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu , Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na.kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyo fanyiwa Simba.


Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
Hebu tupe salary slip yake tuone hiyo M 1.5!
 
Wewe sio shabiki bali ni mpenzi wa Yanga, na mimi kama mpenzi wa Simba kwakweli tumesikitshwa kua Tshaba analipwa kamilioni tu kwa mwezi, dah, yani tume betray his love and trust kwa timu anayoipenda na aliyojitolea kuichezea kwa moyo wote, kwakweli aende tu panapomstahili aisee...
Pia siafiki kiasi cha malipo yaliyotajwa hapo kwa hali ya ss ya club. Ila kitu kimoja kifahamike kuwa hayo ni malipo ya kimkataba ambayo yaliingiwa miaka kadhaa nyuma na pia tujue ss status ya Simba ni kubwa kwa hatua iliyopo ndio kwa neno mlipendalo brand ni kubwa ukitaja si kama iliyokuwa nayo miaka kadhaa nyuma.

Pamoja na yote siafiki yy kukurupuka kwani anapaswa kujua club ni kubwa kuliko yy na mazungumzo hayogombi yaendelee hadi mwisho tutaelezwa tena ikizingatia hali ya ss

Binafsi huyo Xoxo nimtahadharishe Simba ilikuwa na kina singano walipitia hali hiyo ikizingatia umri sawa na hawa kina tshaba na ajib Yuko wapi leo hata hana mtu wa kumjua sbb ya kuondoka kijeuri

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Tunazungumzia maslahi bob sio ukubwa wa timu...Oscar aliiacha Chelsea kwenda China,sasa China kuna timu kubwa kuishinda Chelsea????watu wanategemewa bob[emoji385][emoji385][emoji385]
Oscar uwezo wa kuchezea chelsea ulikuwa umeshaisha.
 
Tshabalala aende Yanga au pengine popote, Simba ni kubwa zaidi ya mtu yeyote, mbona simple sana. Wacheni hizi siasa zenu za mitandaoni.
Hii ni hoja ya mtu asiye na hoja. Viongozi wa timu za Tanzania wamekuwa wa ovyo mno kwenye menejimenti hasa ya wachezaji wa ndani. Walianza kwa kusajili wachezaji wa nje wenye kiwango cha chini kuliko Watanzania.

Walupopigiwa kelele wakaamua kuwapunja watanzania wenzao. Waone Yanga wanavyosumbuka kutafuta beki ya kushoto baada ya kumpoteza kwa tofauti ya maslahi tena tofauti inayozungumzika!
 
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo,. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na.nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne .


Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?


Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula.matunda ya jasho lao.


Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu , Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na.kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyo fanyiwa Simba.


Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
I hope watamuongezea hela coz thamani yake imepanda sana kwa sasa.

Anachokifanya Heri Mzozo kwa sasa ni kutengeneza mazingira ya kusema mchezaji wake anaondoka msimu huu.

It's a business
 
Back
Top Bottom