LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.
Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.
Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.
Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.
Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.
Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?
Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?
How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?
Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.
Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?
Simba acheni dhulma.
I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula matunda ya jasho lao.
Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu, Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.
Pamoja na kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyofanyiwa Simba.
Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.
Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.
Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.
Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.
Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?
Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?
How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?
Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.
Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?
Simba acheni dhulma.
I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula matunda ya jasho lao.
Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu, Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.
Pamoja na kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyofanyiwa Simba.
Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu