Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Sawa sawa profNi kweli mofimu haiwezi kukupa hicho chuma
Chukulia poa tu, usiwe serious sana.Huyuu👇👇View attachment 2946142
Kajisahau.. Huenda anahisi katoboa.
Anamess na population moja inayoweza muamulia mtu maisha.
Mshaurini aendelee kupambana na Break Ups zake.
tunalima nae pande hizi, ana bonge la shamba 🐒Huyuu👇👇View attachment 2946142
Kajisahau.. Huenda anahisi katoboa.
Anamess na population moja inayoweza muamulia mtu maisha.
Mshaurini aendelee kupambana na Break Ups zake.
Stamina na Mpwayungu Village wameanza kushirikiana kuwabeza watumishi 😂😂😂😂😂tunalima nae pande hizi, ana bonge la shamba 🐒
anafahamu fika aina za mofimo peke yake haziwezi kumpatia mtu hiyo kitu matata sana, ni lazma ujiongeze ktk shughuli nyingine za utafutaji na uzalishaji 🐒
Tuanzie hapo wewe umesoma combination gani? Au ni hizi mpya za Arabic na kiswahili? Maana kaandika point umehamaki. Hili litakuwa ni jiwe gizaniHuyuu👇👇View attachment 2946142
Kajisahau.. Huenda anahisi katoboa.
Anamess na population moja inayoweza muamulia mtu maisha.
Mshaurini aendelee kupambana na Break Ups zake.
Kama upo 🐒 kwenye harakati. Big uptunalima nae pande hizi, ana bonge la shamba 🐒
anafahamu fika aina za mofimo peke yake haziwezi kumpatia mtu hiyo kitu matata sana, ni lazma ujiongeze ktk shughuli nyingine za utafutaji na uzalishaji 🐒
Kwani aina za mofimu ..wewe zinakupeleka kuwaza nini!!!?Sawa, wewe kama wewe jibu hilo swali juu hapo..
Ni kweli aina za mofimu zinaweza kukupa kitu kama hicho...?