Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Kamanda I'm a teacher..
Tuanzie hapo wewe umesoma combination gani? Au ni hizi mpya za Arabic na kiswahili? Maana kaandika point umehamaki. Hili litakuwa ni jiwe gizani
 
Sema kwa komenti za wadau hapa...
Trump was right .. Africans are stupid minds . Na hakika recolonization ije.

Kwani aina za mofimu ..wewe zinakupeleka kuwaza nini!!!?
😂😂😂😂😂😂 Haya tukutane baada ya miezi 3 kwanza
 
Sema kwa komenti za wadau hapa...
Trump was right .. Africans are stupid minds . Na hakika recolonization ije.

Kwani aina za mofimu ..wewe zinakupeleka kuwaza nini!!!?
😂😂😂😂Mwamfika mpe kichwa vingine muachie yeye.
 
Unyama ni mwingi sana Autobiography hiyo inaweza kuja labda kwa KKS au KDS 😀 😀 😀
 
Huyu fala Ana kiba100....

That's why he hardly survives in relationships..
Anakuniwa.
 
Mbona unapanick vitu vya kawaida kabisa, nyie ndo wachawi wenyewe huko mtaani!
 
Mtoa mada anamakasiliko tuu yasiyo na tija.
 
Kuna uwezekano mkubwa hio account sio yake huwa namdharau sana mtu anaeshindwa hata kutambua acc og ya msanii ni ipi anaonyesha kiwango cha kiwango cha zege
 
Maboss wa BAKITA,TUKI hawana uwezo wa kung'oa hicho chuma?
 
Amuangalie makonda na nape atapata jibu
"Aina za mofimu=elimu"
Hapa inawezekana akawa amewalenga zaidi wale waliosoma masomo ya arts yes elimu inaweza kukupa Chuma kama hiyo hasa ukipata "eneo"
 
Amuangalie makonda na nape atapata jibu
"Aina za mofimu=elimu"
Hapa inawezekana akawa amewalenga zaidi wale waliosoma masomo ya arts yes elimu inaweza kukupa Chuma kama hiyo hasa ukipata "eneo"
Anamaanisha Walimu mkuu....
 
Back
Top Bottom