Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Mofimu ndio nini?
Mofimu ni kipashio kidogo kuliko vyote katika lugha chenye maana ya kisarufi .
Mofimu katika sarufi ni jina la sehemu ndogo kabisa yenye kuwakilisha maana katika neno.
Kipashio hiki hakiwezi kuvunjwavunjwa zaidi bila kupoteza maana.
Mfano:

"Analima" - A-na-lim-a
A-kiambishi awali
na-kiambishi cha wakati
Lim- mzizi wa neno
a- kiambishi tamati
 
Uyu dogo ushamba anao mwingi tu, mbwembwe kibao na majigambo ya Kike sana. Hafananii na Tabia hizo za Kipemba
 
Sasa kuchanganua sentence kwa njia ya matawi sijui vitenzi vihisishi, vinawezq kukupa nini hapa duniani!
 
Mwl Robert punguza wivu ,uko kijijin hapo tafuta shamba mabondeni Lima bustani
 
Ni kweli lakini, Au What is matter ikupe hiyo chuma kweli?
 
Japani ni jina la kawaida kabisa, jina lako linaonyesha tatizo ni kubwa.
Lako halina tatizo mkuu..
Ni jina la kawaida sana sio,,,?
Hako kaliko kamoto ni kananini.😂😂😂😂😂😂😂
Je huwa wana kutag wadau humu
 
Classmate wangu huyu Boniventure Kabogo,, alikuwa hawez kabisa michano pale Bungo😂, waliokuwa wakichana ni Sawia Kivambe, Mcharo Mussa, Zakayo,,, ye alikuwa kutupa mikono juu "Yoo yoo yoo""

Watoto wa mama Msimbe
 
Back
Top Bottom