Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Kwa alichopost Stamina anajiona katoboa, anatudharau

Bado unakumbuka ety eeeeh...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hayo sio ya kukumbuka ni lugha tunayozaliwa tunaikuta, ni sehemu ya lugha za kwanza kuzijua ambazo hatuitaji kufundishwa shuleni. Sasa nashangaa eti Kuna mwalimu wa kufundishia shamirisho, anaacha kujifunza ma organic chemistry huko ili ,au ma nuclear physics ili watu wapate upepo wa kugundua technolojia mpya
 
Hayo sio ya kukumbuka ni lugha tunayozaliwa tunaikuta, ni sehemu ya lugha za kwanza kuzijua ambazo hatuitaji kufundishwa shuleni. Sasa nashangaa eti Kuna mwalimu wa kufundishia shamirisho, anaacha kujifunza ma organic chemistry huko ili ,au ma nuclear physics ili watu wapate upepo wa kugundua technolojia mpya
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nchi ngumu sana hii..
 
Sasa teacher gani hujui hata integral equation? au Bernoulli's principle,? Kama unajiita mwalimu wa kiswahili unafundisha kitu gani wakati Kila mtu anakijua?
😁😁😁
 
Wewe ndio mwenye tatizo kwa kutasfiri unachokiamini wewe. Acha kujishuku, kama umepikigika kimaisha ni wewe na majaaliwa yako.
 
kila mtu aanajibu kulingana na fikra zake hivyo usilazimishe majibu yako yawe yetu.
 
Kwamba tunapangiana hata cha kuwaza na kusema ? Wewe ukipewa nchi nadhani tutapata sana Shida...
 
Mie huwa najua ukiona kauli inafuatwa na emoji ya kucheka,sio kitu serious sana.
 
Sidhani kama sanaa ya bongo hasa hipopu ngumu anayofanya huyu Jamaa inaweza mpa kitu kama hcho labda awe ameanza kuuza jicho au kawa punda
 
naona muanzisha uzi kala umeme (ban). watu wana stress sana skuizi πŸ™‚
 
Back
Top Bottom