Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Naona Chawa wake upo kazini
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Unamuingilia katika haki yake ya kikatiba na kibinadamu ya kuabudu anavyotaka.

Hizo habari za vikuku na nguo ni very shallow.
 
Nimeenda kwenye page yake,ana page mbili tofauti.ana yake na Kuna pge ya kanisa.
Ila huku kwenye page yake naona anaishi kama Irene jwoya.ila kule kwenye page ya kanisa anaishi kama kiongozi wa kanisa.naomba nimshauri kitu.achekeche matendo yake,aondoe Yale yasiyompa utukufu Mwenyezi Mungu.kisha abakishe yake yanayompa utukufu Mungu.

Ikiwezekana afute picha zake zote za nyuma ikiwemo anajiweka uchi.abadili mfumo wake wa mavazi avae Kwa stara kama mwanamke mtu mzima na mtumishi wa Mungu.

Aangalie kampani yake na maeneo anayotaka kwenda,kama anafanya matangazo pia aangalie kama yanampa utkufu Mungu..
Ukianza mwanzo mpya badili baadhi ya vitu vya kale.

Neno la Mungu linasema chochote ama lolote mtalolifanya lifanyeni Kwa utukufu wa Mungu.

Kula,kuimba,kucheza,kuongea,starehe zako,maeneo unayoenda,mavazi yako nk.
Je Mungu anatukuzwa kupitia hayo?
Ni ushauri wangu
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Nafikiri Biblia inataja vikuku pia!
 
Back
Top Bottom