Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kwa mapepo yangu yalivyo lazima nijiangushie kwenye kifua chake akiniombea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaetoa hukumu ni Mungu ndugu tuwe na kiasi.Kamwe siwezi kuingia kwenye kanisa au msikiti wa huyo mtu maana tabia zake Hana sifa ya kuwa kiongozi wa jamii au kundi lokote
Anayetoa hukumu ni Mungu siyo binadamu.Hizi dini wanaziharibu sana
Anyway nimependa urembo wake wa mguuni
Wewe tabia na matendo yake unayajua?Utakuwa ni mfuasi wa huyo Kwa matendo na tabia
Mungu akitaka hata wewe leo unaweza kuwa nabii mkuu.Hii staili ya masanja ikaja kwa mc pilipili sasa kwa uwoya kwa mtindo huu wasanii watakuwa manabii,mashaik na wachungaji sasa
Mkuu,hawa watu wanafanya maigizo sana na mambo ya Mungu.
Uchungaji au utume ni karama inakuja tu Mungu akitaka kukutuma.Huo uchungaji kausomea wapi?
Naona Chawa wake upo kaziniHabari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Simjui wala hanijui ila nimemsikiliza na nimemuelewa.Naona Chawa wake upo kazini
Kanisa likwapi? Nataka niendeTobaaah! Uwoya kawa mchungaji wa kiroho!!?
Ya Mungu ni mengi
Unamuingilia katika haki yake ya kikatiba na kibinadamu ya kuabudu anavyotaka.Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
Hapa mzee dronedrake anakwambia hilo ni bonge moja la fantasy, unaweza jiself kimoja wakati wa mahubiriAmevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Nimeipenda hiiHii staili ya masanja ikaja kwa mc pilipili sasa kwa uwoya kwa mtindo huu wasanii watakuwa manabii,mashaik na wachungaji sasa
Done, go back and check.Ungeweka na link ingependeza zaid
Mwambie hivi bwana yesu alikuja kwa ajili ya watu wenye zambi pekeeUchungaji au utume ni karama inakuja tu Mungu akitaka kukutuma.
Nafikiri Biblia inataja vikuku pia!Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!