Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
ISAYA 1:18 inasema hata kama zambi zako zikiwa nyekundu kama damu nitazifanya kuwa nyeupe kama theluji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆 sijui kanisa lake liko wapi fundi mkuu wangu, maake ndio kwaanza nimesoma hapa jf kuwa "fundi" uwoya ni mchungajiKanisa likwapi? Nataka niende
Mchungaji fundiiii😀😆😆 sijui kanisa lake liko wapi fundi mkuu wangu, maake ndio kwaanza nimesoma hapa jf kuwa "fundi" uwoya ni mchungaji
Kila binadamu ana karama yake. Mungu ameamua muda wa Irene kuwaokoa wanadamu ni sasa wewe ni nani hata upinge hilo?
USISAHAU MIUNGU WAKO WENGI.Nataka nifanye ziara ya kutembelea makanisa ya wasanii wote, nitaanza kwa masanja, madame christina, madame flora, mc pilipili, irene uwoya nione laivu wanasifu na kuabudu vipi, wanafundishaje neno la Mungu na waumini wao wamevaaje? Tunaweza kuwahukumu mapema ni wabovu kumbe ni vyombo safi vya Mungu. Mungu ameinua mawe yamsifu kama wateule wake hawafanyi hivyo
Duh wewe ni lesbian?Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
HAPANA!Duh wewe ni lesbian?
Sule mbona amesema nyie na majini ni mtu na mjomba wake.......auUislam hauchezewi hapo ndipo nnapo wakubaligi
Kumbe uwoya kawa nabii mchungaji naye 😄
Ova
Kanisa lina baba mchungaji kwanza? Maana hiyo nafasi naihitaji sana.Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
Hahahahaha na lilivyozuri sasaKanisa lina baba mchungaji kwanza? Maana hiyo nafasi naihitaji sana.
Naonaa umeamua kupambana na shemeji zako embu tulia kwanzaaaHahahahaha na lilivyozuri sasa
Msiamini kila rohoHabari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264