mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
๐๐๐๐๐๐๐Mchungaji fundiiii๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐๐๐Mchungaji fundiiii๐
Mungu ndio anahukumu.Msiamini kila roho
Mungu humchagua amtakae kuwatumikia kondoo wake.USISAHAU MIUNGU WAKO WENGI.
Kutoka 20:3-17 โUsiwe na miungu mingine ila mimi.
Kinga ni Bora kuliko tibaMungu ndio anahukumu.
Umemshauri vyema.Nimeenda kwenye page yake,ana page mbili tofauti.ana yake na Kuna pge ya kanisa.
Ila huku kwenye page yake naona anaishi kama Irene jwoya.ila kule kwenye page ya kanisa anaishi kama kiongozi wa kanisa.naomba nimshauri kitu.achekeche matendo yake,aondoe Yale yasiyompa utukufu Mwenyezi Mungu.kisha abakishe yake yanayompa utukufu Mungu.
Ikiwezekana afute picha zake zote za nyuma ikiwemo anajiweka uchi.abadili mfumo wake wa mavazi avae Kwa stara kama mwanamke mtu mzima na mtumishi wa Mungu.
Aangalie kampani yake na maeneo anayotaka kwenda,kama anafanya matangazo pia aangalie kama yanampa utkufu Mungu..
Ukianza mwanzo mpya badili baadhi ya vitu vya kale.
Neno la Mungu linasema chochote ama lolote mtalolifanya lifanyeni Kwa utukufu wa Mungu.
Kula,kuimba,kucheza,kuongea,starehe zako,maeneo unayoenda,mavazi yako nk.
Je Mungu anatukuzwa kupitia hayo?
Ni ushauri wangu
Dhihaka iko wapi hapoMungu Hazihakiwi
JAMAA anatumia X-RAY maana anasema kupitia kwenye Koti alilovaa anaona Bra ama kitu kama hicho. Nime ZOOM mara nyingi sijaona hiyo Bra zaidi ya Kikuku, hapa kama kweli ameamua kuacha njia za zamani ni sawa kwani YESU alisema Mwenye Afya hamhitaji Daktari.... Issue yangu nyingine ni yeye kuwa Mchungaji kama ni kweli immediatelyAtazingatia ushauri japo binafsi sijaona ubaya kwenye mavazi yake tangu alipotangaza utume. Urembo ni sehemu ya mwanamke.
Kwanini? Watu wanabadilika mkuu, usihukumu mtu owa historia ya zamani.hawa watu wanafanya maigizo sana na mambo ya Mungu.
Ni jambo jema. Wamuache amtumikie Mungu wake.JAMAA anatumia X-RAY maana anasema kupitia kwenye Koti alilovaa anaona Bra ama kitu kama hicho. Nime ZOOM mara nyingi sijaona hiyo Bra zaidi ya Kikuku, hapa kama kweli ameamua kuacha njia za zamani ni sawa kwani YESU alisema Mwenye Afya hamhitaji Daktari.... Issue yangu nyingine ni yeye kuwa Mchungaji kama ni kweli immediately
Ngoja wenye nazo watatuwekea maana hata mimi sina. Au tembelea page yake wanasema ipo unaweza kupata mawasiliano huko.Tunaomba namba za mchunguji wetu
Mungu wa kweli na uzima amemtuma mtumishi wake Mchungaji Irene.USISAHAU MIUNGU WAKO WENGI.
Kutoka 20:3-17 โUsiwe na miungu mingine ila mimi.
Ili apige hela na yeye ana hakiMkuu,
Kwa nini unasema maigizo?
Kwani Irene kafanya kipi cha kumsema kwamba anafanya maigizo?
Hana haki ya kuanzisha kanisa?
Afadhali wewe unampa moyo mkuu. Hapa JF kuna mawakala wa mashetani nadhani.Sioni baya yeye kuwa mchungaji.Swala ni kuwaelekeza njia sahihi waumini wake kupitia Biblia,Narudia kupitia Biblia.Mengine ni ya kawaida sababu ni mchanga huko na bado anafuatiliwa na nguvu za Upande wa Giza anaweza teleza but akasimama go Irene,go nenda Ukamuheshimishe Mungu kwa mataifa.
Huna mamlaka ya kuhukumu mkuu.Kinga ni Bora kuliko tiba
KWA UFUPI TUNASOMA SIFA ZA ASKOFU KWENYE 1 TIMOTHEO 3:1-6.Nimeenda kwenye page yake,ana page mbili tofauti.ana yake na Kuna pge ya kanisa.
Ila huku kwenye page yake naona anaishi kama Irene jwoya.ila kule kwenye page ya kanisa anaishi kama kiongozi wa kanisa.naomba nimshauri kitu.achekeche matendo yake,aondoe Yale yasiyompa utukufu Mwenyezi Mungu.kisha abakishe yake yanayompa utukufu Mungu.
Ikiwezekana afute picha zake zote za nyuma ikiwemo anajiweka uchi.abadili mfumo wake wa mavazi avae Kwa stara kama mwanamke mtu mzima na mtumishi wa Mungu.
Aangalie kampani yake na maeneo anayotaka kwenda,kama anafanya matangazo pia aangalie kama yanampa utkufu Mungu..
Ukianza mwanzo mpya badili baadhi ya vitu vya kale.
Neno la Mungu linasema chochote ama lolote mtalolifanya lifanyeni Kwa utukufu wa Mungu.
Kula,kuimba,kucheza,kuongea,starehe zako,maeneo unayoenda,mavazi yako nk.
Je Mungu anatukuzwa kupitia hayo?
Ni ushauri wangu
Kanisa liko wapi? Ratiba ya ibada iko wapi?!Karibu sana "Friends of God Ministry "
Ya kikatiba na kibinadamu.Ili apige hela na yeye ana haki
Mbona Kuna kondoo ataenda kunyonya madhabahuni? Huhuuuu Mungu simama na watu wakweli kwenye mimbari zakoAmevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Vp unataka kwenda kumuona mtumishi?Kanisa liko wapi? Ratiba ya ibada iko wapi?!