Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Sasa nikuvutia waumini au wateja?unaruhusiwa kuanzisha kanisa lako uliendeshe unavyotaka mshindane kuvutia waumini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nikuvutia waumini au wateja?unaruhusiwa kuanzisha kanisa lako uliendeshe unavyotaka mshindane kuvutia waumini.
Waumini wote ni wateja. Wote.Sasa nikuvutia waumini au wateja?
Allah hatakagi masihara na dini yake anakukata kichwa sekunde 30 nyingiUislam hauchezewi hapo ndipo nnapo wakubaligi
Kumbe uwoya kawa nabii mchungaji naye 😄
Ova
Kinywaji gani una tumia mkuu Agiza tu chapKufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi
Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza
Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji
Abadilike..!
Sema Mchungaji anashawishi sana HQ iko wapi nilimkosa kipindi cha sanaa huyu🤣🤣Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Ndiyo mkuu wanguVp unataka kwenda kumuona mtumishi?
It will end in tearsHabari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Huhuu ukifanikiwa kufika uombe namba ili tumpigie kwa maombi zaidiNdiyo mkuu wangu
SidhaniMungu ana maajabu yake, anaweza kutumia mtu wa ajabu kwenye huduma yake aokoe watu.
Uwoya naye amekuwa mchungaji ?Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.
Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
UWoya?Tusamehe Mkuu mambo bado yalikua hayajaiva. Hivi sasa mchungaji yupo tayari kutoa huduma.
Mimi Muislam.hatuna hayo mambo.msikiti ni nyumba ya mungu hata kama umejjenga wewe.sio wako sio chakoYa kikatiba na kibinadamu.
Kama vipi hupendi anavyofanya na wewe unaruhusiwa kuanzisha kanisa lako uliendeshe unavyotaka mshindane kuvutia waumini.
Hata Waislamu wanaruhusiwa kutoka kwenye Uislamu na kuanzisha makanisa, kwa hiyo hiyo point ya "Mimi Muislamu" haiondoi point yangu kwamba hata wewe unaweza kuanzisha kanisa.Mimi Muislam.hatuna hayo mambo.msikiti ni nyumba ya mungu hata kama umejjenga wewe.sio wako sio chako