Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Kinywaji gani una tumia mkuu Agiza tu chap
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Sema Mchungaji anashawishi sana HQ iko wapi nilimkosa kipindi cha sanaa huyu🤣🤣
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
It will end in tears
 
Hivi kwanin Ukristo ndo una mianya mingi ya kupenyeza upuuzi na wapuuzi kuliko imani nyingine?!!
Hii Biblia inajitwist kias kwamba ukitulia Agano Jipya na Kale ukute waweza pata uhalali wa ushoga au wizi!!
Uislam naupongeza kutoacha mianya mingi ya upuuzi na wapuuzi!
Dalili ni mbelen uislam kuwa dini ya wote!
Na hivi ndo wanaongoza kuzaliana!
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Uwoya naye amekuwa mchungaji ?
 
Kwa hiyo anaitwa mchungaji uwoya au nabii irene? Mwenye clip ya mrembo huyo akihubiri injili aiweke tuone
 
Ya kikatiba na kibinadamu.

Kama vipi hupendi anavyofanya na wewe unaruhusiwa kuanzisha kanisa lako uliendeshe unavyotaka mshindane kuvutia waumini.
Mimi Muislam.hatuna hayo mambo.msikiti ni nyumba ya mungu hata kama umejjenga wewe.sio wako sio chako
 
Mimi Muislam.hatuna hayo mambo.msikiti ni nyumba ya mungu hata kama umejjenga wewe.sio wako sio chako
Hata Waislamu wanaruhusiwa kutoka kwenye Uislamu na kuanzisha makanisa, kwa hiyo hiyo point ya "Mimi Muislamu" haiondoi point yangu kwamba hata wewe unaweza kuanzisha kanisa.

Na kama hutaki kutoka kwenye Uislamu uanzishe kanisa, basi waache hao Wakristo waliojipangia mfumo wao waishi kwa raha zao kwenye mfumo wao.

Kwani wamekulazimisha kwenda kwenye hilo kanisa?
 
Ifike hatua serikali iweke sheria za ku regulate ufunguzi wa haya makanisa na huduma za kiroho.

Sema mchungaji Uwoya ni mali bhana, mafaza wataenda sana kusali
 
Back
Top Bottom