Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Hawa mbwa ndio wanafanya dini yetu ya kikristo inadharauliwa .Haiwezekani kila mpuuzi anafungua kanisa ifike hatua serikali waweke sheria kali na bei kubwa za kufungua kanisa.

Sasa tunapoendea kila msanii atafungua kanisa.Ukweli nikwamba hapo kinachotafutwa ni sadaka tu.
Eti na watu wanaenda kusali kwa hizi takataka.Kwanza zimesomea wapi theorojia. Yani kila mpuuzi anakurupuka kufungua kanisa.
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Sahihi kabisa
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
naona mchungaji anachungwa
 
Nataka nifanye ziara ya kutembelea makanisa ya wasanii wote, nitaanza kwa masanja, madame christina, madame flora, mc pilipili, irene uwoya nione laivu wanasifu na kuabudu vipi, wanafundishaje neno la Mungu na waumini wao wamevaaje? Tunaweza kuwahukumu mapema ni wabovu kumbe ni vyombo safi vya Mungu. Mungu ameinua mawe yamsifu kama wateule wake hawafanyi hivyo
hawafundishi neno mkuu kule ni kafungu kamoja tu kanasomwa kisha ni ngoma na mzuka mwingi
 
Mimi sina cha kuongea ila hawa wanafanya sasa niamini ukiristo zama hizi ni dini ya kitapeli wakiristo wanatakiwa wasimame waiteteee kwa nguvu dini yao mungu wetu ana dhihakiwa sana mungu wetu mpk wasagaji wanaojiuza wanajiita manabii nyakati hizi tutaona mengi duniani mpka tufe kazi ipo
Dini haitetewi au Mungu hatetewi ,Mungu mwenyewe ana uwezo wa kujipigania ...we fanya yako sepa ila usitake watu wamtetee Mungu ambaye ana nguvu ....kuitetea tu katiba Hamuwezi ndo mje mumtetee Mungu
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
Hawa wanawake wangekomaa na shule wangefika mbali sana. Just imagine mtoto kama huyu enzi zile za ubora wake kamaliza chuo anatafuta kazi ni fasta. Niliomaliza chuo ambao ni wazuri wote wana kazi za maana. After 7 years almost all of them are managers and executives.
 
Hawa wanawake wangekomaa na shule wangefika mbali sana. Just imagine mtoto kama huyu enzi zile za ubora wake kamaliza chuo anatafuta kazi ni fasta. Niliomaliza chuo ambao ni wazuri wote wana kazi za maana. After 7 years almost all of them are managers and executives.
mind kuwa huyu binti ni miss Tanzania wa mwaka fulani japo hakuwa namba moja
 
lakini hiyo inaonyesha namna watu watakavyopata hukumu siku ya mwisho,manake hadi kina huyo dada wametangaza injili,ambaye hajaisikia basi atakuwa na shingo ngumu. wawe wasafi wasiwe wasafi ila wametangaza walau. hakuna atakayekuwa na la kujitetea kwamba hakusikia wito wa wokovu.
Mchungaji Mwanamke hajaruhusiwa Kanisani.

Mchungaji amevaa vikuku mguuni kweli😳
 
Back
Top Bottom