Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Rose unapiga sana Kiswanglish, hivi wewe ticha wa masomo gani? Wife wangu anafundisha Biology na Home Economics. Anakaangiza huyo, wee acha tu.

uyo lazima atakuwa amevuka utoto n she above form six..kaenda unvsty...n anafundsha by choice if m nt mistaken ..so hatakua na shda ..mi nawazungumzia walimu wetu awa wa sasa wa form four kapata 4 anaenda crushng prgm then anaingia darasan kufundsha...apo ndo pbm inalala(weng wao)
 

I can guess, Rose you are not a teacher at all.
 
wala usibadili sisi tutawaoa wote wenye taaluma zingine, waache tu wao waoane na taaluma zao za ualimu
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Barua ndefu sn andika ya kimathematics ndo ntaielewa!!!!
Mimi cfati maadili kwako hiyo Avatar 2 inatosha!!!
I wsh unifundishe coz ur qualified kuwa tcha wang,
huwa cpend walimu wanao komaa kufundsha sn coz mimi mwenyewe MTORO!!!
cna maaadil.
 
Barua ndefu sn andika ya kimathematics ndo ntaielewa!!!!
Mimi cfati maadili kwako hiyo Avatar 2 inatosha!!!
I wsh unifundishe coz ur qualified kuwa tcha wang,
huwa cpend walimu wanao komaa kufundsha sn coz mimi mwenyewe MTORO!!!


o isnt 1
2+0=0
conclusion?
keys;
0=wife(rose)
2=smasher.


NB;SOMO BURE MASWALI UNALIPIA....(remember m a techer)
 
ur absolutely correct dear Rose, naona leo uko active sana sio mchezo.
 
naomba msaada hapo kwenye bold huyo ni mwalimu wa namna gani? Au ulitaka kusema daraja la 3 A? Otherwise binafsi nimekuelewa. Nilifikiri My wife wangu ni bomba kwa kuwa ni Mwalimu (hakufeli wala kushindwa kozi zingine) kumbe ndivyo alivyteremshwa na Israel, lol
 
ndio....hebu nichagulie....nisomee wa chekechea, praimari, au sekondari......upi utakufaa baba watoto
Chekechea bana mke hawa primari na sekondari utaishia kuamua kesi za mimba kila siku
 
Mtoa mada ameeleza vizuri kuwa sio walimu wote bali wengi wanafaa kuwa wake bora. akaongeza kuwa hamaanishi kwamba wanawake wa fani zingine pia sio wote ni wabaya. akahitimisha kwamba anomba xperince toka kwenu. Kwangu mimi nakubaliana naye kwa sababu niliaminishwa hivo tangu utotoni na nikabahatika kuoa Mwalimu i.e a teacher. Amefanya vizuri masomo yake level zote including university na kwa sasa ana position nzuri lakini sijawahi hisi kuwa nilikosea. Labda tuseme ni mmoja katika 10 au 100? Sijui but naamini sikukosea. Kuhusu kubadilisha kozi my wife alichaguliwa sheria UD na IUCO akahamia Education. Mimi pia ilibaki kidogo nihame kutoka PSPA pale mlimani kwenda Educ. So sio kweli kwamba ni last alternative. But being a christian nakubaliana na wengi kwamba mke mwema atoka kwa Bwana
 

Ahsante sana!

Lazima ukimkorofisha atakujibu'Jaribu Tena'

Labda kwa kua kuna somo la Psychology....wakisoma linawaeke kimaadili maadili tafauti na W.A.U.G.U.**.

SIJUI WANA..S.H.E.R.**. A..K.A WANAHARAKATI .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…