I have done it. I love my wife, Teacher AR.
walimu awa wanaobaka wanafunzi?
walimu awa waliofanya ualimu km oltenatv job?
awa waliofel ndo wakaenda ualimu?
KM UKIZUNGUMZIA WALIMU WWA ZAMAN APO SAWA NAKUBALI..CZ WALIKUWA NA MAADILI YAO ..lakin si leo ambapo mtu kauza bar miaka kadhaa kachoka zake ndo anaenda ualimu do u thk atakuwa na contet za ualimu ili AWE MKE BORA?
KWA SASA NOOOOOOOOOOOOOO walimu wa zaman YEEEEEEEEES
nawasilisha.
he he...chankyuu.....ninaongea na cm mammy...nikimaliza nitaamua niivue au niivae......kwani kuna mtu anaona?
naona huyu jamaa kafuata ushauri wako (Good work)
kirukee kikore
Anatakiwa mchumba
I am a man of below 30 yrs
natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27
mcha Mungu(mi ni mkristu), mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake.
PM me please for further contact
I prese
nina hasira leo.
bos kaninunia.
naona huyu jamaa kafuata ushauri wako (Good work)
kirukee kikore
Anatakiwa mchumba
I am a man of below 30 yrs
natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27
mcha Mungu(mi ni mkristu), mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake.
PM me please for further contact
I prese
Mtoa mada ameeleza vizuri kuwa sio walimu wote bali wengi wanafaa kuwa wake bora. akaongeza kuwa hamaanishi kwamba wanawake wa fani zingine pia sio wote ni wabaya. akahitimisha kwamba anomba xperince toka kwenu. Kwangu mimi nakubaliana naye kwa sababu niliaminishwa hivo tangu utotoni na nikabahatika kuoa Mwalimu i.e a teacher. Amefanya vizuri masomo yake level zote including university na kwa sasa ana position nzuri lakini sijawahi hisi kuwa nilikosea. Labda tuseme ni mmoja katika 10 au 100? Sijui but naamini sikukosea. Kuhusu kubadilisha kozi my wife alichaguliwa sheria UD na IUCO akahamia Education. Mimi pia ilibaki kidogo nihame kutoka PSPA pale mlimani kwenda Educ. So sio kweli kwamba ni last alternative. But being a christian nakubaliana na wengi kwamba mke mwema atoka kwa Bwana
wanaume wa humu embu mjiamini...ukiwa na inferiority complex ndio utahangaika kutafuta mwanamke aliye chini ya kipato/proffesion ili ujihisi na 'sense of control'.....huyo mkeo kashaija ni muadilifu/mwema but her proffesion has nothing to do with it!!!!!!!:teeth:..
kuna walimu tofauti pia,usitake kuniambia shule ulizosoma walimu wote walikuwa wema,wengine ni makatili sana kwa watoto shuleni mpaka unajuaa kabisaa hawa hata nyumbani wanapoishi ni kimbembe.
Nimekusoma pia mkuu. tuko pamoja, ungechelewa kidogo hii topiki ningeileta mimi. big upAhsante sana. Umefafanua vizuri na hongera kwa kuoa teacher. Wako watu wengi walioacha fani nyingine na kuwa waalimu. Nasikitika Preta anasema kuwa ualimu ni last resort kwa watu walioshindwa maisha. Kwa mfano, mke wangu ana div 2 O-level na A-level, hivyo alikuwa na uwezo wa kusoma fani nyingine.
uhusiano wa tabia ya mwanamke na kazi ya anayofanya ni mdogo sana(ukiondoa kazi ya uhudumu wa baa).hivyo kazi si kigezo kizuri cha kumpata mke mzuri.ndugu wana jf ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.
Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (teacher).
Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
Preta kama (haivuki) ngoja nije kukusaidia
acha tu kakangu
yan nataman nianze lekcha kuwaelezea wanielewe km ulivyonielewa..SIPING SKATAI FANI YA UALIMU KWAMBA INASABABISHA ITOE WAMAM WAZURI...BT IZI PGRAM ZASASA IVI VODA FASTA ,MIEZ MIWIL MTU KAWA MWALIMU ,MTU KAFEL UKO NDO ANAENDA UALIMU JE ATAKUWA ANAZNGATIA MAADILI YA UALIMU ATA AWE MAMA BORA?
WALIMU NI WAZAMAN WA SASA IVI APANA MI NAKATAA JAMAN ATA MTU AKINISHIKIA BACHTOLAA...WENGI WAO SI WOTE HAWANA MAADILI WHCH MAKE THEM TO B IN PROBABILITY OF BEING WIFE MATERIAL LIKE MWANASIASA AU MWANAMKE MWANASHERIA.
BT OL IN OL MKEBORA/MUME BORA TAOKA KWA BWANA.
ndugu wana jf ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.
Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (teacher).
Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?