Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

I have done it. I love my wife, Teacher AR.

naona huyu jamaa kafuata ushauri wako (Good work)
kirukee kikore


Did you find this post helpful?
|
Anatakiwa mchumba

I am a man of below 30 yrs
natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27
mcha Mungu(mi ni mkristu), mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake.
PM me please for further contact

I prese​
 

Mweeee!!!!, Rose wacha Ukali, Huyu bwana kasema walimu wa Kike kama si kukuosea, unless wao pia wabakaji!!!!!!!
 

HERI ya NEW Year MUM!
 
msidanganyike ndugu zangu kuna walimu vicheche wa kufa mtu, mimi nafikiri suala la muhimu ni kupendana na kuwa waaminifu hata awe jaji au mhasibu
 

Huyu kachagua fungu jema. Teache wazuri asikwambie mtu.
 
wanaume wa humu embu mjiamini...ukiwa na inferiority complex ndio utahangaika kutafuta mwanamke aliye chini ya kipato/proffesion ili ujihisi na 'sense of control'.....huyo mkeo kashaija ni muadilifu/mwema but her proffesion has nothing to do with it!!!!!!!:teeth:..
kuna walimu tofauti pia,usitake kuniambia shule ulizosoma walimu wote walikuwa wema,wengine ni makatili sana kwa watoto shuleni mpaka unajuaa kabisaa hawa hata nyumbani wanapoishi ni kimbembe.
 

Ahsante sana. Umefafanua vizuri na hongera kwa kuoa teacher. Wako watu wengi walioacha fani nyingine na kuwa waalimu. Nasikitika Preta anasema kuwa ualimu ni last resort kwa watu walioshindwa maisha. Kwa mfano, mke wangu ana div 2 O-level na A-level, hivyo alikuwa na uwezo wa kusoma fani nyingine.
 

Sijasema walimu wote ni wanandoa wazuri. You have quoted me wrong! Mbona hata wewe unaonekana kuwa mwanandoa mzuri hata kama sio teacher? I love you, lakini ndo basi tena niko na teacher wangu.
 
Nimekusoma pia mkuu. tuko pamoja, ungechelewa kidogo hii topiki ningeileta mimi. big up
 
uhusiano wa tabia ya mwanamke na kazi ya anayofanya ni mdogo sana(ukiondoa kazi ya uhudumu wa baa).hivyo kazi si kigezo kizuri cha kumpata mke mzuri.
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu. Je utampataje? Maana najua hadondoki kwa mana.
Kuweka maoni ya ujumla kwa fani ni ngumu sana.
Mwangalie mtu mwenyewe, familia aliyotoka na hofu yake kwa Mungu.
 

ndio maana niliamua kuoa housewife...yaani kabla sijaoa niliwatafuna walimu wengi. na walikuwa very simple kupata. hata badhi walikuwa married...baada ya kuona hivyo, nkaona hao sio watu wa kuoa maana they are simple to sneak out of marriage. wanatembea sana na maafisa elimu hasa pale wanapotaka uhamisho na wakiwa na shida mbalimbali zinazohusu kazi zao hata kupandishwa madaraja. na hii ni kwa kuwa hawana hela ya kuhonga basi wanaishia kuwahonga ngono hao maafisa i wa ver disapointed to get married to a teacher.
naungana moja kwa moja na Rose!!! mke wangu alitoka kwa mungu. kwishnei!!!
 

yaani naunga mkono hoja kwa asilimia mia saba !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…