Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Point muhimu: usimpore mwanaume mwenzio mpenzi wake kwasababu yoyote ile.
 
Hata mimi mke wangu nimempita miaka nane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema Nini, meno pause Kwa mwanamke inaanza mapema sana, angalia usije anza kutamani chuchu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema Nini, meno pause Kwa mwanamke inaanza mapema sana, angalia usije anza kutamani chuchu

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ya Menopause inawashika waoga wa maisha tu, mtu unataka uanze kutafuta mtoto ukiwa na miaka 35-40 kwanini menopause isikupe changamoto?

Mimi nikiwa na 25 mke wangu akiwa na 24 tukapaa mtoto wa kwanza, na mpaka alipofikia 36 tulikuwa na watoto 4.
 
Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. L
Yaani km ulikuwepo!! wanakulana mnooooo!! swafiii!!...tena ukifanya masihara watazaa na uta lea!! ile kitu mitaa ya kati bana achana nayo!!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huu Uzi nadhani nitacheka sana leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…