Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu, hivi haujui kwamba Rais ni mwajiriwa, na mwajiri wake ni Mwananchi, ndio maana wanachukuaga fomu za kuomba kazi hiyo. JMT ndio makazi ya hao wote wawili
Rais ni mwajiriwa kweli...anapokidhi vigezo vya kuajiriwa anaingizwa rasmi katika ule umoja wa utatu mtukufu tulionao ,URAIS ,JMT na sisi WANANCHI.....
 
Back
Top Bottom