Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
kayanye sasaNonesense!!! Mavi matupu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kayanye sasaNonesense!!! Mavi matupu!!
Mkuu,Habari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Haki ya nchi ni nini ?!!Jamani muwe mnawaonea huruma ndugu zenu siyo matumbo yenu tu. Sasa hivi ni nchi nzima inataka mabadiriko huwezi kua unalazimisha kila kitu kwa nguvu. Hii nchi ikisambaratika itamhusu kila mtu.
Acheni ubinafsi. Kwa nini hamtaki haki?
Hivi na wewe ni Expert Member: Mkuu kazi ya Jeshi sio kulinda dola, bali kazi yao KUU ni kulinda Nchi na Wananchi, ndio maana linajulikana kama 'Jeshi la Wananchi Tanzani - JWT"Serikali ni "part" ya wananchi....kazi ya jeshi ni kuilinda dola ikiwemo na serikali....acha utoto
Hivi mkuu umesahau kuwa wanajeshi kule TMA kozi wanavikwa NYOTA ya uluteni na mh.Rais wa JMT ?!!Hivi na wewe ni Expert Member: Mkuu kazi ya Jeshi sio kulinda dola, bali kazi yao KUU ni kulinda Nchi na Wananchi, ndio maana linajulikana kama 'Jeshi la Wananchi Tanzani - JWT"
Tanzania sio Nchi ya kuchezewa na wapuuzi Wala Haina raia wa kuwa kafara Kwa maslahi ya vibaraka.Habari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Exquisite exquisite exquisite !!!!!Tanzania sio Nchi ya kuchezewa na wapuuzi Wala Haina raia wa kuwa kafara Kwa maslahi ya vibaraka.
Lipi hilo?Kuna chaguo la nne ambalo hujaliweka na hilo ndilo wataenda nalo
Wewe nawe kilaza... Kwani ibada ni lazima ifanyikie ndani ya jengo?Liko wapi jengo la kiibada la kumuabudu mh.Rais Samia?!!
Kuimbwa ni lazima aimbwe kwani klabu ya Yanga tu iliimbwa na marehemu Pepe Kale wa DRC......
Tufanye mzimuni ,ni wapi huko tunakofanyia ibada ya kumuabudu mh.Rais Samia ?!!Wewe nawe kilaza... Kwani ibada ni lazima ifanyikie ndani ya jengo?
Kuanzia bungeni, kwenye media zote, halmashauri hadi kwako nyumbani - kote huko mnaabudu na kuimba mapambio as if bila Rais hamuwezi kuishi na kufanya kazi!Tufanye mzimuni ,ni wapi huko tunakofanyia ibada ya kumuabudu mh.Rais Samia ?!!
Wakuu wa usalama hawahusiki na mambo ya siasa, mkishindwa siasa nendeni mkalimeHabari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Unaijua China? Tangu 1949 mpk leo inatawaliwa na CPC, CCM inafanya vizuri hatutaki hao vibarakaMungu aliugeuza Moyo wa Farao kua mgumu hata asielewe nyakati na matukuo yake .
Dola ikijiuliza , Vyama vingapi Afrika vya ukombozi, vimeanguka na vimeangukaje?.
Sio lazima Nchi iwe kama Nchi zingine .
Hata Dola itumie nguvu Kwa Upinzani, Nyakati zinataka Mabadiliko .
Ikubali, Mabadiliko ya Sheria za uchaguzi na Tume huru.
Vyombo vya ulinzi na usalama vinajua katiba na sheria za nchi? Wafanye kazi yao ya kutoa huduma ya ulinzi na usalama, sio kukimbizana na wanasiasa, wa upinzani tu, na kukumbatia wa chama tawala.Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....
Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......
TPDF ndio wanaohakikisha wapinzani hawashiki dola Zanzibar since 1995. Vyombo vyote vya usalama Tz ni "lao moja".Katika vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama nina imani na JW tu lakini TISS na Polisi ni wahalifu wenza wa CCM katika kuvuruga chaguzi za Nchi hii, wangesimama kwenye nafasi zao bila kuipa CCM mbeleko katika uhalifu wao wa wizi wa kura nchi yetu ingeheshimika sana.
Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....
Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......
Hahahah"Wakati CCM tulipokubali Mfumo wa vyama vingi tulihakikisha kwamba hatushindwi."
Ali Hassan Mwinyi, aliyekuwa Rais wa Pili wa Tanzania