Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika vizuri ,nami naongezea.Habari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Tupambane kubadilisha huu ujinga.Kwa maoni yangu naona umenena vyema sana, tatizo ninaloliona kwa nchi za wajamaa ni kuchanganya, makada wa vyama na vyombo vya dola. Inafahamika kwamba wakuu wa mikoa na wilaya ni makada wa ccm ,hapo hapo unakuta ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa mikoa/wilaya husika. na unakuta wengine wana vyeo vya kijeshi au ni mapolisi sasa hapa panatuchanganya. uwezekano wa aliye na buyu la asali akukabidhi ulambe wewe yeye akiangalia shida inaanzia hapo.
Tanzania tumekwishahama kwenye Ujamaa na Kujitegemea. Tupo kwenye Ubepari.Hapa ndipo ile sera na ujamaa na kujitegemea inapotugharimu ni sera ya kupalilia umaskini na kukufanya uwe mtumwa.. Ila wenzetu Kenya hawafagilii l.. Ndiyo maana walifanikiwa kubadili katiba yao..
Uhuru usingepatikana kama waliokuwepo kipindi kile wasingeliamsha. Jukumu lile lie lipo pale pale kwa kizazi cha sasa na kijacho.Faida yao ya "kuliamsha" ni nini ?!!
Unafikiri "kitoto sana"....
Amani inapotoweka usidhani kuwa wahanga wa machafuko huwa ni hao wanasiasa na viongozi....
Mhanga nambari moja n mimi ,wewe ,watoto wako ,wangu ,mke wako ,wangu na wazazi wako na wangu.....
Fikiri kwa mapana mzeya !!
Uhuru ulishapatikana 1961...mkitafutacho ni UHAINI tu....Uhuru usingepatikana kama waliokuwepo kipindi kile wasingeliamsha. Jukumu lile lie lipo pale pale kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Lengo ni kuusaka Uhuru!
Amani kutoweka ni sehemu ya mchakato wa kuusaka Uhuru!
Mpuuzi ni wewe usiyejua tofauti ya constructive na destructive....TL amejawa pakawa za uhaini tu....We mpuuzi kweli yani mtu anashauri constructively wewe unasema ni uhaini.
Vyombo ulinzi wafanye uzalendo mchi kwanza sio chama wala Rais.....Mama Tanzania kwanzaHabari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Ukiwemo na wewe...Mkuu, siku hizi watu wengi mna matatizo ya afya ya ubongo.
Serikali ni "part" ya wananchi....kazi ya jeshi ni kuilinda dola ikiwemo na serikali....acha utoto..jeshi la wananchi, sio jeshi la serikali.
..wanapaswa kuwalinda na kuwatetea wananchi.
Serikali ni "part" ya wananchi....kazi ya jeshi ni kuilinda dola ikiwemo na serikali....acha utoto
Mkoloni alifanya makubwa lakini hakuwahi kuimbwa na kuabudiwa kama mtawala wa sasaUhuru ulishapatikana 1961...mkitafutacho ni UHAINI tu....
Anayepinga anaahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima dataMimi BushDokta naunga mkono hoja zako na kama vyombo vinajali basi ushauri huu ni sawa
Imagine
1.Mkurugenzi Mtendaji wa NEC ni CCM
2. Wajumbe wa NEC ni ccm
3. Polisi wanaolinda Kura ni wateule wa ccm
4. Wasimamizi wa Uchaguzi ni ccm
5. Usalama wa Taifa ambai kimsingi ni wadau kwenye mambi ya kitaifa wana influence ya uccm kwa kiasi flani.
6. Mifumo ya kukusanya na kuhesabu kura ni ya ccm
7. Wajumbe na wagombea wakidai haki wakati wa zoezi wanadhulika na kushambuliwa wengine hadi kufa.
Ktk Mazingira kama haya unaposema unashriki uchaguzi ili iweje?
Unless una maslahi huo uchaguzi zaidi ya ushindi ndipo utashiriki.
Hoja za Lissu ziko Valid for 100%.
Anayezipinga sio Mzalendo
Liko wapi jengo la kiibada la kumuabudu mh.Rais Samia?!!Mkoloni alifanya makubwa lakini hakuwahi kuimbwa na kuabudiwa kama mtawala wa sasa
Emancipate yourselves from mental slavery - Bob Marley
Habari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Sasa hapo inategemea uzalendo wa taasisi husika,wengine wanadhani uzalendo ni kuibeba ccm milele na wengine wana mawazo kwamba bila ccm hakuna maisha.Umeongea pointi,vyombo vya ulinzi visimamie taifa na siyo chama kimoja
Jamani muwe mnawaonea huruma ndugu zenu siyo matumbo yenu tu. Sasa hivi ni nchi nzima inataka mabadiriko huwezi kua unalazimisha kila kitu kwa nguvu. Hii nchi ikisambaratika itamhusu kila mtu.Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....
Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......