Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika uharo, sidhani kama haya ni maandishi yako!. Upo sawa mkuu?Jambo la kwanza,
kibaka wa siasa za chadema hawezi kua agenda ya Taifa,
lakini pili,
ni fedheha kumtilia maanani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ispokua kumpuuza tu,
tatu na mwisho,
hakuna aya, nukta, wala koma kwenye sheria za uchaguzi wala katiba mpya kubadilishwa.
uchaguzi ni Oct 2025, bila kuzingatia au kuskiza mdomo wala makelele ya kibaka yeyote wa siasa wa ndani au nje ya nchi, ispokua kwa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 🐒
relax and calm down gentleman,Umeandika uharo, sidhani kama haya ni maandishi yako!. Upo sawa mkuu?
Kimsingi ndivyo inapaswa kuwa hivyo ila kwa sasa jeshi linaongozwa na kupokea maelekezo ya wanasiasa...jeshi la wananchi, sio jeshi la serikali.
..wanapaswa kuwalinda na kuwatetea wananchi.
Watathubutu? Wakienda tu baada ya masaa 24 watakuwa under house arrest na hiyo Asali kupewa wanaotii amri. Wewe umezaliwa lini huwajui CCM?Habari Ndugu zanguni,
Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.
Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
- Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
- Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Huna unalolijua nyamaza mwana walioko kwenye medani wamekaa kimya halafu lisu sio kamati ya vyombo vya uliznzi hana cha kuishauri wanafanya wanavyoona inafaa kwa msaada tu tafuta clip ya msemaji wahilo jeshi unalosema unaimani nalo kwa kumezeshwa na watu bila kuna na toungable evidences (JW) jamaa banality Ilonda alikua anahojiwa na EA radio akafafanua majukumu mama ya JW na ile dhana ya kua jeshi sio ajira halafu baada ya uchaguzi uzrudi hapa jamvini utakua umepata maana ya jeshi la wananchi mkishashiba miguu ya kuku mnambukizana ujingaKatika vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama nina imani na JW tu lakini TISS na Polisi ni wahalifu wenza wa CCM katika kuvuruga chaguzi za Nchi hii, wangesimama kwenye nafasi zao bila kuipa CCM mbeleko katika uhalifu wao wa wizi wa kura nchi yetu ingeheshimika sana.
Umekubali hapo hapo umekaþaa jeshini hawakumbatii ahadi hewa wanaishi na hali joto iliopoKimsingi ndivyo inapaswa kuwa hivyo ila kwa sasa jeshi linaongozwa na kupokea maelekezo ya wanasiasa.
Amiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama, anamteua mkuu wa majeshi CDF anampa maelekezo na amri moja tu HAKIKISHA WALIO CHINI YAKO WANAKIPIGIA KURA CHAMA TAWALA.
Hapo ni wazi jeshi litakuwa upande wa chama tawala na sio wananchi kwa sababu wanalipwa na kula kutoka kwa serikali ya CCM.
Jeshini ukiwa mtu wa kuhoji au ujuaji mwingi wanakubambikia kesi kuwa umeasi kwa kusapoti upinzani.
Vijana wengi sasa jeshini wanapenda na kutamani mabadiliko na hawafurahii upumbavu unaofanywa na wanasiasa waovu wa nchi hii.
Hakika Anguko la CCM limeanza kuonekana wazi.
Mkuu, siku hizi watu wengi mna matatizo ya afya ya ubongo.Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....
Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......
Mkuu, hii sio level yako nini?Nonesense!!! Mavi matupu!!
Sio tu imani kwa wananchi.Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananch
- Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Chadema mna vitu vya kijinga vingi mno taja nchi moja tu duniani ambayo mkuu wa majeshi huwa hateuliwi na RaisiAmiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama, anamteua mkuu wa majeshi CDF anampa maelekezo na amri moja tu HAKIKISHA WALIO CHINI YAKO WANAKIPIGIA KURA CHAMA TAWALA.
Hapo ni wazi jeshi litakuwa upande wa chama
Mbona unaharisha badala ya kujibu hoja ? Unaonekana umechanganyikiwa wewe naamua kukupuuza kwani hoja imekuzidi kimo.Huna unalolijua nyamaza mwana walioko kwenye medani wamekaa kimya halafu lisu sio kamati ya vyombo vya uliznzi hana cha kuishauri wanafanya wanavyoona inafaa kwa msaada tu tafuta clip ya msemaji wahilo jeshi unalosema unaimani nalo kwa kumezeshwa na watu bila kuna na toungable evidences (JW) jamaa banality Ilonda alikua anahojiwa na EA radio akafafanua majukumu mama ya JW na ile dhana ya kua jeshi sio ajira halafu baada ya uchaguzi uzrudi hapa jamvini utakua umepata maana ya jeshi la wananchi mkishashiba miguu ya kuku mnambukizana ujinga
TrueSuluhu hapa ni hii uliyopendekeza ambayo ndiyo ukweli wa uhalisia wa situation ilivyo.
Bukinafaso.......ulivyo mjingaChadema mna vitu vya kijinga vingi mno taja nchi moja tu duniani ambayo mkuu wa majeshi huwa hateuliwi na Raisi
Burkina Faso kuna serikali ya kiraia? Mjinga weweBukinafaso.......ulivyo mjinga
Hujui kuwa Mamlaka ya uongozi yanatakiwa kutoka kwa wananchi? Kwa Hali ya sasa mamlaka hayo yanatoka kwa mwenyekiti wa ccm, akiamua nani awe kiongozi anakuwa, na akiamua nani asiwe kiongozi hupati uongozi hata kama wananchi watakuchagua. Huoni hili ni tatizo?Mapambano yapi ?!!
Mabadiliko yapi ?!!
Viongozi wa upinzani na wanasiasa wanapambania stahiki za kibunge na mengineyo....wanataka watutumie wananchi kama DARAJA tu....duniani kote ni hivyo na mifano itele.....
Watanzania wamejifunza kutoka huko Sudan ,Kenya ,Somalia ,Ethiopia na DRC.....
#Amani na utulivu ni jambo la mwanzo kabla ya hayo maslahi ya wanasiasa walio wachache!
Muda utasema.Jambo la kwanza,
kibaka wa siasa za chadema hawezi kua agenda ya Taifa,
lakini pili,
ni fedheha kumtilia maanani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ispokua kumpuuza tu,
tatu na mwisho,
hakuna aya, nukta, wala koma kwenye sheria za uchaguzi wala katiba mpya kubadilishwa.
uchaguzi ni Oct 2025, bila kuzingatia au kuskiza mdomo wala makelele ya kibaka yeyote wa siasa wa ndani au nje ya nchi, ispokua kwa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 🐒
We mpuuzi kweli yani mtu anashauri constructively wewe unasema ni uhaini.Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....
Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......