Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ndio nitajitetea vyema tu...anipeleke huko mahakamani....Nani kasema hivyo? Mtoa mada akikupeleka Mahakamani utajitetea?
Nitaiambia mahakama kuwa mtoa mada ameyachochea majeshi yetu KUIASI serikali halali.....