Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Attachments

  • IMG_20250215_220626.jpg
    IMG_20250215_220626.jpg
    101.7 KB · Views: 1
Mapambano yapi ?!!

Mabadiliko yapi ?!!

Viongozi wa upinzani na wanasiasa wanapambania stahiki za kibunge na mengineyo....wanataka watutumie wananchi kama DARAJA tu....duniani kote ni hivyo na mifano itele.....

Watanzania wamejifunza kutoka huko Sudan ,Kenya ,Somalia ,Ethiopia na DRC.....

#Amani na utulivu ni jambo la mwanzo kabla ya hayo maslahi ya wanasiasa walio wachache!
Amani na utulivu upo wakati kila mtu analazimishwa kuwa chawa?
Awareness ya wananchi wa Kenya, Sudan, Somalia, Ethiopia na DRC ni kubwa sana... Huwezi kuwakuta wakiimba mapambio na nyimbo za kuwaabudu viongozi wao!
Zaidi kiongozi akiwazingua wataliamsha!
 
Ngoja tuwa - tag ili waje fast kutoa maoni yao..

Wewe Lucas Mwashambwa na mwenzio Tlaatlaah njooni mtie neno hapa..

Hata hivyo, kati ya hawa wawili, huyu Lucas Mwashambwa kidogo huwa na akili timamu na kabusara fulani sometimes. Huyu akiona hoja ina nguvu, hu - mute na kujichimbia ndani ya Lumumba...

Lakini mwenzake huyu Tlaatlaah, ni mbishi wa kijinga hata kama ukweli wa jambo alobishia unamkodolea macho mbele yake. Huyu hana hekima ya kuzuia vidole vyake kuandika chochote. Na hana hekima ya kujizuia kuuanika ujinga wake pale anapopaswa kufanya hivyo...🚶🏻🚶🏻🚶🏻
Mambo ni matatu tu gentleman,

1. ni kumpuuza na kabisaa kutomtilia maanani kibaka kwa utapeli wa wanachama wake, mdomo na makelele yake,

2. Hakuna aya, koma, wala nukta itakayobadilishwa kwenye sheria za uchaguzi na katiba ya nchi kuelekea uchaguzi huu muhimu wa kihistoria Tanzania.

3. ni muhimu wananchi na waTanzania wote kujiandaa kwa uchaguzi huru, wa haki na wa wazi utakaofanyika kwa utulivu, salama na amani Oct 2025.

Kuskiza porojo na makelele ya eti sijui hapatakua na uchaguzi ni ushirikina na ramli ya pata potea 🐒
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Naunga mkono hoja hasa mapendekezo yako namba 2 na 3.

Inawezekana kabisa na haya yakitokea ndo wanasiasa watawaheshimu wananchi na watendaji.
 
Ndio nitajitetea vyema tu...anipeleke huko mahakamani....

Nitaiambia mahakama kuwa mtoa mada ameyachochea majeshi yetu KUIASI serikali halali.....
Bora mzazi wako angekumwaga chooni tu!

Unaelewa hata maana ya maasi? Tangu lini Vyombo vya ulinzi na usalama kusimamia upande wa haki na wananchi kwa maslahi mapana ya Taifa ikawa uhaini?
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Vyombo vya usalama kupendelea upande fulani ushike dola ni sehemu ya usalama pia kwa manufaa ya taifa. Ipo siku vyombo vya usalama vitachagua upande wa upinzani kuongoza nchi na itakuwa hivyo.
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Mmh hoja anazozitoa lissu kwa ccm wanaoweza kuzijibu ni wachache Sana. Nadhani wataanza kuzuia mikutano yake au kuzuia vyombo vya habari visirushe
 
Bora mzazi wako angekumwaga chooni tu!

Unaelewa hata maana ya maasi? Tangu lini Vyombo vya ulinzi na usalama kusimamia upande wa haki na wananchi kwa maslahi mapana ya Taifa ikawa uhaini?
Maslahi mapana ya taifa ni hivyo vyombo vya dola kuilinda serikali halali inayosimamia ustawi ,maono ya utulivu na amani.....

Mzazi wako wewe katuletea mtu wa hovyo asiyejua thamani ya UTULIVU NA AMANI....
 
Mmh hoja anazozitoa lissu kwa ccm wanaoweza kuzijibu ni wachache Sana. Nadhani wataanza kuzuia mikutano yake au kuzuia vyombo vya habari visirushe
Lissu ni dalali tu wa kule BRUSSELS wanakosumbuana na Trump kuhusu "25% tariffs in levies"....

Mropokaji na asiyetabirika.....
 
Amani na utulivu upo wakati kila mtu analazimishwa kuwa chawa?
Awareness ya wananchi wa Kenya, Sudan, Somalia, Ethiopia na DRC ni kubwa sana... Huwezi kuwakuta wakiimba mapambio na nyimbo za kuwaabudu viongozi wao!
Zaidi kiongozi akiwazingua wataliamsha!
Faida yao ya "kuliamsha" ni nini ?!!

Unafikiri "kitoto sana"....

Amani inapotoweka usidhani kuwa wahanga wa machafuko huwa ni hao wanasiasa na viongozi....

Mhanga nambari moja n mimi ,wewe ,watoto wako ,wangu ,mke wako ,wangu na wazazi wako na wangu.....

Fikiri kwa mapana mzeya !!
 
Maslahi mapana ya taifa ni hivyo vyombo vya dola kuilinda serikali halali inayosimamia ustawi ,maono ya utulivu na amani.....

Mzazi wako wewe katuletea mtu wa hovyo asiyejua thamani ya UTULIVU NA AMANI....
Sasa Serikali kutolewa kwa njia halali kuna shida gani? Tena Serikali yenyewe hii ya wezi na vilaza ya CCM inayoliibia taifa na kulirudisha nyuma kila siku?
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
  1. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananch
 
Vyombo vya ulinzi na usalama havifanyi kazi kwa maamuzi Yao bali vinatumwa cha kufanya na mamlaka iliyopo madarakani
 
Back
Top Bottom