Kwa asili kuna ishara Tundu Lissu ni Dikteta na Much know hafai kwenye nafasi ya Urais na Uenyekiti

Kwa asili kuna ishara Tundu Lissu ni Dikteta na Much know hafai kwenye nafasi ya Urais na Uenyekiti

Kila rangi ya ccm tutaona wanayoongea.

Ccm tokea kupata uhuru mpaka Leo mnatafuta visingizio hoo sijui hawamu iliyopita ilikuwa mbovu.
Najiuliza hawamu hiyo ilikuwa chama gani
 
Wasalaam Bazzukulu,

Mkubali au mkatae ila ukweli usemwe Tunda Lissu ana asili ya umuch know na udictator, pia ni lopolopo sana, na ni mjuajj anaependa kuabudiwa na kusifiwa.

Kwa sifa hizo mbovu hafai kuwa na cheo cha juu sana cha Urais na Uenyekiti wa Chama chake. Abaki tu na sifa za uanaharakati, na kuwa kwenye front battle ya kupambania haki kitaifa, katiba na kuleta mabadiriko.

I just like him because he has got guts and guts is for strong men that can liberate the society.

But some how his association with the imperialist nations in the western world can also be his dirty side of his to be trusted for high authorities and powerful position.

Guts only can not make him an ideal person to lead the nation at presidential level.

That's it.

Wadiz
wachache sana wanaliona hilo. sio kwamba mimi ni mshabiki wa wanasiasa napenda kumuona kiongozi bora anayetufaa. nammunga mkono tl kwa asilimia nyingi na usemaji wake lakini hafai kabisa kuwa kiongozi mwenye madaraka makubwa
 
Samia ni fisadi hafai kwenye nafasi ya urais na uenyekiti
 
Wasalaam Bazzukulu,

Mkubali au mkatae ila ukweli usemwe Tunda Lissu ana asili ya umuch know na udictator, pia ni lopolopo sana, na ni mjuajj anaependa kuabudiwa na kusifiwa.

Kwa sifa hizo mbovu hafai kuwa na cheo cha juu sana cha Urais na Uenyekiti wa Chama chake. Abaki tu na sifa za uanaharakati, na kuwa kwenye front battle ya kupambania haki kitaifa, katiba na kuleta mabadiriko.

I just like him because he has got guts and guts is for strong men that can liberate the society.

But some how his association with the imperialist nations in the western world can also be his dirty side of his to be trusted for high authorities and powerful position.

Guts only can not make him an ideal person to lead the nation at presidential level.

That's it.

Wadiz
As a matter of methodical doubt, justify your claim. Otherwise, you want to take us for a ride!
 
Wasalaam Bazzukulu,

Mkubali au mkatae ila ukweli usemwe Tunda Lissu ana asili ya umuch know na udictator, pia ni lopolopo sana, na ni mjuajj anaependa kuabudiwa na kusifiwa.

Kwa sifa hizo mbovu hafai kuwa na cheo cha juu sana cha Urais na Uenyekiti wa Chama chake. Abaki tu na sifa za uanaharakati, na kuwa kwenye front battle ya kupambania haki kitaifa, katiba na kuleta mabadiriko.

I just like him because he has got guts and guts is for strong men that can liberate the society.

But some how his association with the imperialist nations in the western world can also be his dirty side of his to be trusted for high authorities and powerful position.

Guts only can not make him an ideal person to lead the nation at presidential level.

That's it.

Wadiz
312fcaa231602ee9ac31405b186ec10b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio Lisu tuu,mtu yeyote mwenye msimamo mkali ni dikteta na mbaya zaidi awe ana ego ya kujiona smart basi mjue nyie wengine atakuwa anawaona wajinga eg Nyerere,Sokoine, Mwendazake,Lisu and the likes of Bashiru,Polepole, Mwigulu,Bashe.

Watu wanaofaa kuwa Marais ni Waungwana ila hao niliowataha wanastahili kuwa chini ya mtu mwingine
una miyeyysho kusifiasifia serikal ila hapa umeongea ukweli
 
Sio Lisu tuu,mtu yeyote mwenye msimamo mkali ni dikteta na mbaya zaidi awe ana ego ya kujiona smart basi mjue nyie wengine atakuwa anawaona wajinga eg Nyerere,Sokoine, Mwendazake,Lisu and the likes of Bashiru,Polepole, Mwigulu,Bashe.

Watu wanaofaa kuwa Marais ni Waungwana ila hao niliowataha wanastahili kuwa chini ya mtu mwingine
Small minds discuss people
JamiiForums-2082348249.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
'lopolopo'?? R na l changamoto. 'association with imperialist nations' yani we ni kichwa maji kabisa, kwani Samia anaendaga kukopa na kuomba ela wapi? Hiyo siyo association we bunju?
Wewe kibwengo tulia mbwa wewe
 
Ilimuumiza sana Mr. Chair, pale alipojitahidi kwa udi na uvumba kumuweka Ms. Mwenyekiti CCM katika mstari ili hatimaye hali ya kisiasa Tanzania ikae sawa, katika harakati ghafla akatokea kichwa maji akayadharau majadiliano yote, akaona Mr chair hakufanya lolote na akapuuza juhudi zote za Mr. Chair, ikalazimu Mr. Chair kwa hekima a play low, apishe kichwa hewa ajizungushe zungushe, Mr chair is so bright anamsikilizia Mr kichwa hewa. Mr. Kichwa hewa ni shida, anapenda Shari balaa kwake Shari ndio siasa.
 
Wewe kibwengo tulia mbwa wewe
Kajifunze kuandika kwanza, suala la hoja utajifunza mbeleni, ila kwa sasa deal na vitu vidogo vinavyokushinda, aya tuanze, ra re ri ro ruuuuuu, la le li lo luuuuu rudia tena! Wiki mbili zinakutosha.
 
Wasalaam Bazzukulu,

Mkubali au mkatae ila ukweli usemwe Tunda Lissu ana asili ya umuch know na udictator, pia ni lopolopo sana, na ni mjuajj anaependa kuabudiwa na kusifiwa.

Kwa sifa hizo mbovu hafai kuwa na cheo cha juu sana cha Urais na Uenyekiti wa Chama chake. Abaki tu na sifa za uanaharakati, na kuwa kwenye front battle ya kupambania haki kitaifa, katiba na kuleta mabadiriko.

I just like him because he has got guts and guts is for strong men that can liberate the society.

But some how his association with the imperialist nations in the western world can also be his dirty side of his to be trusted for high authorities and powerful position.

Guts only can not make him an ideal person to lead the nation at presidential level.

That's it.

Wadiz
Hawa ndio madikteta
IMG_20230725_084738.jpeg
20220516_233105.jpeg
 
Nature inaeleza hivi ukimuona mtu yeyote anayejiona kuwa na Uwezo wa kufahamu kila jambo na asiyetaka kukosolewa na mwenyekujiona yeye ndiye anamawazo bora kuliko wengine, MUOGOPE SANA, HATA NDANI YA CHADEMA WAMEMCHOKA KWELI, ISPOKUWA WANAMSTAHI, HASHAURIKI, HAAMBILIKI, YEYE NDIYE ANAJUA KILA KITU, OGOPA THIS TYPES OF HUMAN BEING!
Anajifanya anajua au ni ukweli kuwa anajua?
 
Back
Top Bottom