Kwa asili kuna ishara Tundu Lissu ni Dikteta na Much know hafai kwenye nafasi ya Urais na Uenyekiti

Kila rangi ya ccm tutaona wanayoongea.

Ccm tokea kupata uhuru mpaka Leo mnatafuta visingizio hoo sijui hawamu iliyopita ilikuwa mbovu.
Najiuliza hawamu hiyo ilikuwa chama gani
 
wachache sana wanaliona hilo. sio kwamba mimi ni mshabiki wa wanasiasa napenda kumuona kiongozi bora anayetufaa. nammunga mkono tl kwa asilimia nyingi na usemaji wake lakini hafai kabisa kuwa kiongozi mwenye madaraka makubwa
 
Samia ni fisadi hafai kwenye nafasi ya urais na uenyekiti
Your browser is not able to display this video.
 
As a matter of methodical doubt, justify your claim. Otherwise, you want to take us for a ride!
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
una miyeyysho kusifiasifia serikal ila hapa umeongea ukweli
 
Small minds discuss people

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'lopolopo'?? R na l changamoto. 'association with imperialist nations' yani we ni kichwa maji kabisa, kwani Samia anaendaga kukopa na kuomba ela wapi? Hiyo siyo association we bunju?
Wewe kibwengo tulia mbwa wewe
 
Ilimuumiza sana Mr. Chair, pale alipojitahidi kwa udi na uvumba kumuweka Ms. Mwenyekiti CCM katika mstari ili hatimaye hali ya kisiasa Tanzania ikae sawa, katika harakati ghafla akatokea kichwa maji akayadharau majadiliano yote, akaona Mr chair hakufanya lolote na akapuuza juhudi zote za Mr. Chair, ikalazimu Mr. Chair kwa hekima a play low, apishe kichwa hewa ajizungushe zungushe, Mr chair is so bright anamsikilizia Mr kichwa hewa. Mr. Kichwa hewa ni shida, anapenda Shari balaa kwake Shari ndio siasa.
 
Wewe kibwengo tulia mbwa wewe
Kajifunze kuandika kwanza, suala la hoja utajifunza mbeleni, ila kwa sasa deal na vitu vidogo vinavyokushinda, aya tuanze, ra re ri ro ruuuuuu, la le li lo luuuuu rudia tena! Wiki mbili zinakutosha.
 
Hawa ndio madikteta
 
Anajifanya anajua au ni ukweli kuwa anajua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…