Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Joined
Jun 22, 2023
Posts
24
Reaction score
253
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina
Mavazi
Dufu
taratibu za Kuoa
Vyakula
lugha
Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Wewe ni mvaa kobazi wa kwanza mwenye akili. Wengine ni mambulula hata hayawezi hoji utumwa wao kwenye kivuli cha dini.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Kwanza tukubaliane wewe sio muislam sawa?
Kama wewe Ni muislam misingi ya uisilam na uliyo yaorodhesha vinaendana?
 
Anyway nimeshajua naongea na Mtu wa aina gani.
Nilichouliza mie Ni misingi mikuu ya usilam na ulichojibu yatosha kusema Kila la kheri na uzi wako mkuu.
Hio ndio misingi mikuu,

Kuna haja ipi ya kukopi vya uarabuni na kuvi merge kwenye dini ?

1687812390937.png
 
Dufu ni ngoma ya waarabu, kuna ulazima upi kuacha kupiga ngoma zetu sisi za asili yetu kama Mdundiko,Lizombe,sindimmba,mganda,mdumange,msewe,mdundiko
Unarudi kule kule...
Waislam wa wapi kwao kupiga Dufu Ni lazima?

Ukisema lazima/sharti maanake lipo katika misingi ya uislam SI ndio?
Haya sasa wapi dufu Ni lazima kiasi kwamba linatengua ngoma zetu?
 
Tujikubali na asili zetu, tujivunie vyetu.

Dufu ni ngoma za waarabu, kuna ulazima upi kuacha kupiga ngoma zetu sisi za asili yetu Mdundiko, Lizombe,sindimmba,mganda,mdumange,msewe, ?
Kwani ulikatazwa kupiiga ngoma zako?


Wewe kaa ucheze ngoma sisi tunawangoja Waarabu wa DP World waje tutengeneze Dirham.

Unazijuwa Dirham?
 
Back
Top Bottom