Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Najiuliza kama tungewahi kustarabika,
Tungekuwa wa kwanza kutembelea mabara ya mengine,
Je wenyeji wangefata tamaduni zetu na dini zetu?
Je dini zetu si halal?
Na je mbona wazee wetu waliomba mvua,mavuno na n.k na vikafanyika..kwa nini leo tunaita ushirikina?
Tuna safari ndefu.
Tungekuwa wa kwanza kutembelea mabara ya mengine,
Je wenyeji wangefata tamaduni zetu na dini zetu?
Je dini zetu si halal?
Na je mbona wazee wetu waliomba mvua,mavuno na n.k na vikafanyika..kwa nini leo tunaita ushirikina?
Tuna safari ndefu.