Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Hizo ndo story wanazokuambia, lakini ukweli ni kwamba uislamu ni dini Kama dini zingine inaanzishwa na tamaduni fulani kwa kusudi la kuendesha watu wa tamaduni hio... Sasa kutakuwa na Mungu wangapi Kama kila tamaduni imetokewa na Mungu wake sijui mlimani sijui pangoni na kila tamaduni Ina dini yake na sheria zake. Hizi ni sheria za watu Ila wanasema za Mungu ili watu waogope na kufata na kuwatishia kuwa baada ya kufa Kuna moto coz hamna mtu Ashawahi kurudi so utaogopa tu ila in reality hamna kitu Kama hicho
Sawa baba
 
Wale ma padre wanavyovaa kanzu, ma-sister wanavyovaa unform za kufanana juu wanaweka kofia, ma pasta wanavyovaa kola nyeupe, kanisani kuna wapiga piano, waumin wanavaa suti, shati na suruali huo utamaduni mmeutoa kwenye kabila gani Tz?
Kwani Kuna mtu kasema ukristo sio tamaduni za kiyahudi? 😂Mbona mnapenda kurusha mpira. Kama mada ni uislamu jitetee sio unauliza mbona wakristo...😂 unaenda polisi unaulizwa umeiba, unaanza kusema mbona na fulani pia kaiba, jamani..😂bongo bado sana
 
.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu
 
.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu
So mungu ametengeneza nyota billions na sayari million ili amtokee muarabu pangoni amuambie andika kitabu Cha kiarabu kwa waarabu?
 
Tujikubali na asili zetu, tujivunie vyetu.

Dufu ni ngoma za waarabu, kuna ulazima upi kuacha kupiga ngoma zetu sisi za asili yetu Mdundiko, Lizombe,sindimmba,mganda,mdumange,msewe, ?
Halafu unasema wewe ni muislamu huku unataka kupiga ngoma??

Kama ww ni muislamu basi ni muislamu jina tu hujui lolote
 
.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu

Hebu tuletee andiko ya hoja yako?? kuna aya yoyote ya Quran haieleweki???

Pia kuna tafsiri za kingereza, kiswahili nk je zina makosa??? ni yapi hayo makosa??
 
.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu
Ujinga kuamini kuwa watu wanaweza kisoma level mbalimbali za elimu kwa lugha za kigeni ikiwemo kiarabu, kisha watu hao hao watashindwa kuelewa Quran kisa ipo katika lugha ya kiarabu.
 
Kwanza we sio muislamu kabisa!

Ntakuuliza uliona wapi yesu alivaa suti kanisani au alioa?

Bible inatambua kanzu hata viongozi wa juu wa kikristo wanavaa kanzu.

Uki sahihi kanzu sio dini ya uislamu hata mtu yeyote anaweza kuvaaa.

Katika kuoa unaweza kuvaa vyovyote vile kwa vile dini inajitegemea kutokana na mahali husika...

Vyakula ni kawaida sana hata wao wanakula ugali kama chakula cha kigeni vipo vyakula vyetu vya asili zaidi ya hyo biryani labda huku kwenu hamjui kupika .

Tambua katika uislamu kwamba Mtume ni kiigizo chema ..Yaani watu wamfuate kwa matendo (sunnah) ila sio lazima
 
.
Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu
Maana physics ,chemistry na biology ni kwa ajli ya wazungu tu .!!

Kijana itabidi usome sana kwa umri wako bado mdogo halafu unashikiria ujinga unazidi kuwa mjinga.

katika sheria za kutafsiri ili usipotoshe maana ya kwanza lazima ujue source language.

Huwezi kutafsiri Qur an bil ya kujua ,kama ingekuwa hatujui ingekuwa rahisi watu kama nyie kuleta Qur an yenye maana mnazotaka ili kupotosha.

Mfano tukiwa tunabishana wewe unakuja na ayah ambazo umetafsiri kwa uongo kwa vile hujui kitu kichwa empty ,wanaojua tunakuelewesha ili usiendleee kuwa mjinga.
 
yesu alioa wapi ? Alivaa suti wapi ?

Upinde unaufuata je yesu alikuwa upinde kama makanisa yenu yanavyofungisha ndoa kama sio wazungu ndo mnwaabudu?
Upinde ndo nini? Kanisa gani linafungisha ndoa za wazungu? Ndoa za wazungu ni zipi? Suti ni vazi la heshima..ukienda Interview ya kazi nenda na kanzu utaambiwa hatutaki utatumalizia ubwabwa😂
 
Kwani Kuna mtu kasema ukristo sio tamaduni za kiyahudi? 😂Mbona mnapenda kurusha mpira. Kama mada ni uislamu jitetee sio unauliza mbona wakristo...😂 unaenda polisi unaulizwa umeiba, unaanza kusema mbona na fulani pia kaiba, jamani..😂bongo bado sana
Nikishaona tu mtu anajichekesha chekesha kwenye comment huwa nampuuza sijasoma
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
1. Hapana aliyekomba jina la kiarabu, mbona waislamu kutoka nje ya Arabia wako wengi kuliko hao waarabu wenyewe? Mfano ni Indonesia, na wao wana majina yao ya kikabila yao. Halafu baadhi ya majina ya kiarabu wala siyo ya kiislamu, na yako mengi tu. Mfano hata yule aliyekuwa Waziri wa Iraq Tariq Aziz alikuwa mkristo, kwa hivyo hayo ni maoni yako finyu tu.

2. Kanzu siyo uislamu hata kidogo kwani hata mapadri wanavaa, au kwa kuwa zao zimerembwa rembwa ndiyo unaona siyo kanzu? Mbona nyinyi munavaa suti mulizoletewa na wazungu?

3. Hiyo unayosema biriani ni chakula cha waarabu kwa kweli umekosea kwani asili ya chakula biriani na pilau ni India, hata hao waarabu wenyewe wameiga. Labda bokoboko.

4. Hiyo dufu ni ngoma tu kama vile munavyoiga ngoma za akina Michael Jackson na wenzake.

5. Kuvaa nguo wakati wa ndoa pia ni mbwembwe tu, kuna wanaovaa kanzu na jambia na kuna wanaovaa suti zilizoletwa na wabeba biblia.

6. Hata quran kuwa kwa lugha ya kiarabu si usome uelewe kilichoandikwa? Tafsiri zipo hata kwa kiswahili anaetaka kuelewa ataelewa tu, tena tafsiri zipo kwa kila lugha, kichina, kizungu na lugha nyingine nyingi.

Hebu jaribu kutafsiri sentensi moja tu ya kizungu kwenda kiswahili, kizaramo, kichaga, kihaya na kisukuma halafu uone zitakavyokuwa na maana tafauti.
 
Upinde ndo nini? Kanisa gani linafungisha ndoa za wazungu? Ndoa za wazungu ni zipi? Suti ni vazi la heshima..ukienda Interview ya kazi nenda na kanzu utaambiwa hatutaki utatumalizia ubwabwa😂
Interview ya wapi🤣🤣? sijawahi kuvaa suti waliovaa walipigwa chini kwa vile vichwa empty.

Shoga yule wa Arusha kafungishwa ndo kanisani kwani hujui?
Mbona wewe ni upinde je bible ndo unakufundisha?

Au nikuletee viongozi wako wale sijui sangara sijui papa wanavaa suti na ndo Miungu yenu🤣🤣🤣.

Makanisani ni ruksa wanaume kuoana 🤣
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Unajisikiaje kujiita muislamu ilhali wewe SIO MUISLAMU?
huoni aibu??
 
1. Hapana aliyekomba jina la kiarabu, mbona waislamu kutoka nje ya Arabia wako wengi kuliko hao waarabu wenyewe? Mfano ni Indonesia, na wao wana majina yao ya kikabila yao. Halafu baadhi ya majina ya kiarabu wala siyo ya kiislamu, na yako mengi tu. Mfano hata yule aliyekuwa Waziri wa Iraq Tariq Aziz alikuwa mkristo, kwa hivyo hayo ni maoni yako finyu tu.

2. Kanzu siyo uislamu hata kidogo kwani hata mapadri wanavaa, au kwa kuwa zao zimerembwa rembwa ndiyo unaona siyo kanzu? Mbona nyinyi munavaa suti mulizoletewa na wazungu?

3. Hiyo unayosema biriani ni chakula cha waarabu kwa kweli umekosea kwani asili ya chakula biriani na pilau ni India, hata hao waarabu wenyewe wameiga. Labda bokoboko.

4. Hiyo dufu ni ngoma tu kama vile munavyoiga ngoma za akina Michael Jackson na wenzake.

5. Kuvaa nguo wakati wa ndoa pia ni mbwembwe tu, kuna wanaovaa kanzu na jambia na kuna wanaovaa suti zilizoletwa na wabeba biblia.

6. Hata quran kuwa kwa lugha ya kiarabu si usome uelewe kilichoandikwa? Tafsiri zipo hata kwa kiswahili anaetaka kuelewa ataelewa tu, tena tafsiri zipo kwa kila lugha, kichina, kizungu na lugha nyingine nyingi.

Hebu jaribu kutafsiri sentensi moja tu ya kizungu kwenda kiswahili, kizaramo, kichaga, kihaya na kisukuma halafu uone zitakavyokuwa na maana tafauti.
Mi nahisi huyu MUISLAMU FAKE atakuwa amekupata vizuri kabisa, la sivyo atakuwa ana matatizo kichwani
 
Hebu tuletee andiko ya hoja yako?? kuna aya yoyote ya Quran haieleweki???

Pia kuna tafsiri za kingereza, kiswahili nk je zina makosa??? ni yapi hayo makosa??

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
kekule benzene e.

ANGALIA HAPA JINSI QURAN INAVYOMSHUHUDIA MUNGU KUWA HAKUMTUMA MTUME ILA ALIKUWA SHAHIDI .

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???






TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.
 
Kuna makosa ZAIDI ya Elfu Moja kwenye Hilo likitabu LENU lililoshushwa na shetani.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Uislam haupimwi kwa kuangalia wafanyayo watu. Kaangalie mafundisho ukikuta uliyosema yapo bas yatakua ni uislam, ila nachojua uislam sio uarabu
 
Back
Top Bottom