Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

IsomeQur'an kijana, utaiona raha yake.


Imekuja kuweka saa mabo yote yaliyodanganywa na waandishi wa biblia. WQur'an ndiyo "criterion".


UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.


UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU.
 
IsomeQur'an kijana, utaiona raha yake.


Imekuja kuweka sawa mambo yote yaliyodanganywa na waandishi wa biblia. Qur'an ndiyo "criterion". Muujiza.

Unajuwa maana ya neno Uislam?

SATANIC VERSE IN QURAN.

WPS Office: Complete office suite with PDF editor


Here's the link to the file:

Get WPS Office for PC:
 
Kama kweli mods wanajali heshima na kufunga nyuzi kwa hekima basi huu wa kwako wala usingefika hapa ulipo.Umekosa heshima na kuwa jeuri hata muumba wako.Unasema kuna watu wanaamini waarabuj ni ndugu wa Mwenyezi Mungu.! Hakuna haja ya kujadili uarabu na uislamu hapo hapo upigwe marufuku kuandika kufru kama hii.
Hauwezi fungwa kwani jf huijui vizuri kumbe!
Huoni Kila nyuzi hata za bandari lazima udini uhusishwe.
Lakini ukijaribu kuwaattack walee unakula ban.
Binafsi nyuzi za udini hazifai kwani ndo chanzo Cha chuki zisizo na maana yoyote wakati watu tunaishi kwa kutegemeana.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Dini zilikuja na tamaduni za sehemu zilikotokea.
 
TATIZO DINI HIYO SIYO TU Mohamed bali ni Allah.

Quran 15:39 Shetani anasema aliyemdanganya ni Allah🐝 (Waarabu katika kutafsiri kwenda kingereza wakabadili neno mislead likawa allowed me to stray.

Wanawaficha ukweli Waislam wasiojua Kiarabu. Kutokana na Aya hii The greatest deceiver (mdanganyifu) ni Allah.

Tafadhali tumieni tovuti ya sunnah.com ambayo ni ya kwao Waislam, inafichua Uongo wote.
 
hapa tunazungumzia uislamu na uarabu mm sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha.

Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla sasa tujifunze mda mwengine kuumiza vichwa vyetu hata kama ww ukiwa muislamu ,leo hii mm nimeuliza maswali makusudi ili nipime watu tuliokua ktk imani ya kiislamu lakini nimegundua kuwa waislamu tunapenda sana ligi na dini nyingine hili ndo tatizo letu.
Kwanini unajinasibisha na uislam?
Simama kama mtu unayepigania kitu
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
 
TENA WEWE BIBI ACHA KUWADANGANYA WATU NA HIYO DINI YAKO YA SHETANI NA MAJINI MAPEPO.
DINI YA KISHIRIKINA NA UCHAWI.

MUNGU AKUKOMBOE NA HUYO SHETANI
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Nimesoma post yako nikagundua haya inawezekana kwa asilimia kubwa

1. Wewe si muislamu
2. kama ni muislamu basi ni muislamu jina pekee

Kwanini nimefikia hapo ☝? Kama ungekuwa unaielewa dini yako na umeisoma angalau kidogo tu usingeadika haya 👇

".....kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake mwenyezi mungu...."

Labda kama haujui ila kama ukisoma surat al-ikhlas (qul huwallau au kwa kiswahili kibovu kulualau)

Utagundua ALLAH (the almighty) amejitakasa na yoote yanayomnasibisha yeye na alivyoviumba INSHORT USINGEANDIKA ULIYOANDIKA.

USHAURI.
kama haujasoma dini yako bado haujachelewa unaweza kujiwekea ratiba angalau kila siku ukaenda kujifunza angalau aya mbili pekee .

Ila kama pia haufanyi ibada nikushauri uanze muda ndiyo huu na kifo hakina taarifa.
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
Unajua maana ya neno "KUZAINI"?
 
Najiuliza kama tungewahi kustarabika,
Tungekuwa wa kwanza kutembelea mabara ya mengine,
Je wenyeji wangefata tamaduni zetu na dini zetu?

Je dini zetu si halal?
Na je mbona wazee wetu waliomba mvua,mavuno na n.k na vikafanyika..kwa nini leo tunaita ushirikina?


Tuna safari ndefu.
Wazungu na Waarabu wametukamata pabaya .
 
Hata Mimi nikiomba mbwa ananisaidie kupata kitu na nikakipata haimaanishi mbwa ni Mungu au mbwa ndo katumia miujiza Mimi kupata hicho kitu. Ni ukosefu tu wa maarifa ndo unafanya waafrika tufikirie ushirikina, wenzetu washatoka huko wanafanya kazi wanavumbua vitu nyie kazi kusali tu
Sio dhambi kusali...
Dini Ina impact nzuri sana kwenye jamii kama ikitumika vyema kwa utashi.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Waafrika tumeshindwa kujitambua, tumeacha tamaduni zetu na dini zetu tukatekwa akili yote.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?

Ongezea na hii:

Chuki na visasi: Waarabu na Wayahudi walikuwa maadui na wapinzani, hasa kwenye nyanja zote za kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kijamii. Rejea wakati mtume anafanya biashara na wakati anaanza kueeneza dini ya kiislamu ni jamii ipi ilimsumbua sana???? Wayahudi wakishirikiana na viongozi wa kabila lake.


Baadae Wazungu (Roman empire) ambao ndiyo walianzisha ukristo wa dhehebu la katoliki, wakawa maadui wa Waarabu mara baada ya kuwavamia katika maeneo yao. Hizi chuki zikaingizwa mpaka kwenye dini!!!!!!!!!!!!!


Al-Baqarah (2:120)

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾


"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao" (2:120)


Ukitoa wayahudi na wakristo, dunia ina watu kutoka mataifa mbalimbali wenye kufuata mila tofauti na hawakutajwa hapa

Maswali

a) Allah hakuwajua???

b)Aliwasahau???

c) Mungu anaweza kuwa hivyo????

d)Haya ni maneno ya Mungu au mtu aliyejaa chuki ,hasira, visasi, wivu n.k???????
 
Ushoga hauna dini


Je ni kweli ushoga umehalalishwa kwenye uislamu??????

, allah wa kwenye quran alikuwa anamwingiza muhamnad !!!!!!

Qur an 17:81 inasema
"Mola wangu uniingize mwingizo mwema"

Huo ni mwingizo gani muhammad alikuwa anaomba kuingizwa
 
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245:

"maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.

Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam.

Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
 
NDUGU ZETU WAMEDANGANYWA MNO!!!!

ENDELEENI KUMTUMIKIA SHETANI.

HIYO NI DINI YA KISHETANI HAKUNA ASIYEJUA.
 
Back
Top Bottom