Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Huna Elimu Yoyote,Huelewi Dini,Hujui historia(Sira)
Hujui Kwa Nini Mtume Wa Mwisho alishushwa Akiwa Mwarabu.
Hata Hivo Kati ya Mitume Yote 25 waliotajwa Kwenye Qur'an,Wanne tu Ndo waarabu.
Hata Kama Hatuna vya Kufuata Hatuwezi Fata Tamaduni za Watu wa Magharibi Bora Tumuenzi Mtume Wetu
Waarabu Ndo Kabila Teuzi katika Uislamu
Kama Ilivyo kwa Wakristo Waisrael Kabila Teuzi sema tu Akili zao wametekwa Na Watu wa Magharibi
Hao mitume wanne waarabu ni kina nani mkuu? Naomba kufahamu.
 
Tuanze na hapo, Mitume kalibu wote walikuwa walikuwa wanavaa kanzu, mfono wake ni pale Yesu kwenye Biblia anaposema mwenye kanzu mbili ampe na mwenzake moja
Kanzu ni vazi la watu wa Asia. Hata China wanavaa kanzu kwenye temples zao Hadi Leo na si wayahudi,wakristo Wala waislamu.
 
Twtizo nini?

Wsislam dunia nzima mila yao ni moja tu mila ya Ibrahim AS.


Uwe Mwarsbu ysiwe Mwarabu ni mika hiyo hiyo tu.


Qur'an uwe China, Tanzania, USA, Urusi, Brazil, au kwenu sijuwi wapi? Inasomwa kwa lugha moja tu na haijawahi kubadilika. Muujiza.
Wewe usiye Muislam kinakuuma nini?

Pilipili iko shamba yakuwashiani?
Uislamu ni imani sio mila wala tamaduni.

Huwaga nachukulia upo nondo haya mambo hata kwa avatar yako ila nazidi kuamini msemo dont judge a book by its cover
 
kama ulivyo utumwa wako kwenye kivuli cha ukristo wako. Haya nenda Kenya ukafe njaa ili uweze kufika mbinguni ukamwone Kristo.
Sisi tumeshtuka na sasa tunahoji na kufanya mabadiliko na tumeona ukristo ni utumwa na upigaji. Tumerudi kwenye utamaduni wetu wa asilia.

Sasa nyie ndugu zetu ndo kwanza mnajiona waarabu wa dubai. Hamuambiwi kitu, maana kufanana mwarabu ndo mnaona mnapata thawabu.
 
Hizo dini ni biashara na utumwa. Sisi tumeshtuka na tumeanza kuhoji na kuachana nazo na hatuendi kwenye makanisa yao.

Wewe upo upo tuu hujielewi. Kazi kujifananisha na mwarabu mpaka mnauza nchi yetu kwa wahuni mnaowaita ndugu zenu.
yesu alioa wapi ? Alivaa suti wapi ?

Upinde unaufuata je yesu alikuwa upinde kama makanisa yenu yanavyofungisha ndoa kama sio wazungu ndo mnwaabudu?
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Biriani sio cha kula cha kiarabu na wala mtume hajakula wali, ubwabwa, pilau, biriani na vifananiavyo. Biriani inatoka India na nchi za karibu na hapo, hujasoma wewe shule ya Msingi Burma na mpunga?

Kusalimiana kiarabu ama Quran kuwa kiarabu haimaanishi unafata mila ya kiarabu, hio ni Sheria ya kiisilamu, mwarabu mkristo hana mila ya Quran ama Salamu ya kiisilamu.

Kanzu ni vazi la mitume, limevaliwa na mitume yote musa, Yesu wote wamevaa kanzu mpaka leo viongozi wa kikristo wanavaa kanzu.

johnpaul-2.jpg


kanzu ya Papa John wa pili.

Pia Dufu ni mila za Masufi ambazo nyingi zinatoka India, misri, uturuki etc na imeenea sana wakati wa Ottoman Empire, ambayo hata haikua Empire ya kiarabu. waarabu wana mila zao asili vigoma vyao, magitaa na flute, siku hizi Internet nje nje ingia youtube kujua nyimbo za kiasili za kiarabu.

Moja ya Nyimbo maarufu ambazo zime survive toka Enzi hizo hadi leo ni

-lamma baada yatathanna
-taala Al badr alayna

Kuna orchestra ya kiarabu huwa wana recreate hii kama upo interested kusoma





kama una bundle angalia hizo video mbili utaona mziki wa kiarabu.

Ukimaliza angalia na hii video ya Sufi



sikiliza hicho kigoma halafu niambie huku tunapiga kigoma gani
 
Sasa hivi uislam umeenea Dunia nzima kwa sehemu kubwa. PM wa England ni Muislam na ulaya Sasa hivi kumejaa misikiti na waislam wa ulaya ,USA bunge lao lina waislam kitu ambacho karne ya 19 ilikuwa sio rahisi.
Niseme tu arabs kiasili wana history ya ujio wa Ishmael kama ambayo Israel inavyohusika na ukristo na ujio wa Yesu tu hayo mengine ni desturi hayahusuani na imani .
Nikusahishe vitu vidogo tu

PM wa UK (England, Scotland, Wales and Northern Ireland) ni Rishi Sunak dini yake muhindu

Hao wabunge watatu waislam wa bunge la Marekani lenye viti 435 still hawajafika hata asilimia 1

Safari bado ndefu ila one day yes
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Sio kweli,uislamu ndio uliwaletea mavazi waarabu.Waarabu ni kama unavyoona wamasai wakivyaa,rubega,na ni jamii moja,wamasai sio wabantu,ni wa asili ya Pembe ya Afrika,kama waethiopia na wasomali.
 
Kama mtume angekuwa mmasai tungevaa kumasai?
Na ndivyo walivyokuwa waarabu walivyaa Rubega,uislamu ndio uliwaletea mavazi wanavyovyaa sasa.Wamasai sio wabantu ni wa kutoka Pembe ya Afrika kutoka nchi za kiarabu,ndio wanaendana utamaduni wao na waarabu,wasomali na waethiopia,wote hao walikuwa wakivyaa Rubega,kula nyama,maziwa,samli kutoka kwa ng'ombe.Asili yao wote ni wachungaji wa wanyama.
 
hapa tunazungumzia uislamu na uarabu mm sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha.

Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla sasa tujifunze mda mwengine kuumiza vichwa vyetu hata kama ww ukiwa muislamu ,leo hii mm nimeuliza maswali makusudi ili nipime watu tuliokua ktk imani ya kiislamu lakini nimegundua kuwa waislamu tunapenda sana ligi na dini nyingine hili ndo tatizo letu.
Hayo mavazi ya kiislamu sio ya kiarabu,waarabu mavazi yao ni rubega,kana unavyoona wamasai,wasomali(siku hizi wameacha kuvyaa kisomali).Hao wamasai sio wabantu,ni wa kutoka Mashariki ya kati kwa kupitia Pembe ya Afrika.
 
Watu wanasafiri kwenda Saudia Arabia kumpiga shetani mawe. Shetani unaweza kumpiga mawe kweli? Wamemuona mtu wao ambaye kwao elimu siyo kipaumbele anafikiri kama wote ni wapiga mawe.
Watu wa jamii ya mwezi watakujengea msikiti na kisima cha kuchambia tu. Sehemu ambazo wameishi Waabudu mwezi na nyota hakuna hata maendelo hapa Tanganyika. Watakuletea Dirham? Zanzibar yenyewe karibia wote ni warushe mawe lakini hawajawapa Dirham. Wamekuja kuiba na nasikia Ikulu nayo ni ya warusha mawe
1. Kuhiji kumefanywa na mitume kariba yote hajaanzisha Muhammad(s.a.w) na kuna research kibao za wakristo Sinai ni Saudi Arabia, na kuna wayahudi pia wanakubali hilo.

2. Tanzania aliojenga dar ni nani?sio sultan? Sultan hajatoa hela yake na kuleta Aga Khan Hospital? Hawakuwa watu wa Sultan waliojenga iliokua Muhimbili ya leo? Ama unajitoa tu ufahamu? Mpokonye mali za waisilamu halafu muanze kubweka eti hawakufanya chochote.

3. Huko ulaya Sasa hivi kumejaa Mali za waarabu na Gunduzi zao, leo hii marekani hataki kabisa kumsajili mwarabu kwenye sensa anaforce aitwe "White" sababu wamejaa kibao huko na investment kubwa kubwa, watu kama nyie mkiambiwa steve job, Carlos slim, Shakira, Huda na wengineo ni waarabu mtababaika mnafichwa na makampuni yote makubwa West kuna Hela za waarabu kibao kuanzia ya Tech hadi Enternteinment. Hata hao Dp world pia wamepewa Bandari kuanzia West hadi China
 
Watu wanasafiri kwenda Saudia Arabia kumpiga shetani mawe. Shetani unaweza kumpiga mawe kweli? Wamemuona mtu wao ambaye kwao elimu siyo kipaumbele anafikiri kama wote ni wapiga mawe.
Watu wa jamii ya mwezi watakujengea msikiti na kisima cha kuchambia tu. Sehemu ambazo wameishi Waabudu mwezi na nyota hakuna hata maendelo hapa Tanganyika. Watakuletea Dirham? Zanzibar yenyewe karibia wote ni warushe mawe lakini hawajawapa Dirham. Wamekuja kuiba na nasikia Ikulu nayo ni ya warusha mawe
Msikilize, mjombako wa kichaga nakwambia nini post #26.
 
Acha uwongo, kuhifadhi una maana gani. Religion ni culture na culture inahusisha lugha. We unadhani wasingewaambia hivyo Leo hii ungesoma kiarabu. Fikirieni mbali, Mimi nimesoma Quran kwa kingereza mbona nimeelewa..naweza kukuelezea sheria zao na story zao kibao bila kusoma hicho kiarabu chao hio sio point. Point ni kwamba hawataki neno libadilike kwa sababu kwenye translation Kuna uwezekano wa kuongezeka au kupungua kwa maneno maana mantiki tamathali za semi etc, 🤣Sasa Kama unadhani Mungu ametengeneza nyota billions ili amtokee muarabu pangoni aagize watu duniani waongee nae kiarabu ndo atasikia sawa.. 😂 Baki na akili yako
Kamba, huwezi soma Quran kwa Kingereza ukaelewa, kitu chochote kikishatafsiriwa lazima kiwe na makosa.

Na sababu Quran ipo mpaka leo bila kuwa na kosa hata moja ni sababu imekua preserved kwa original language.
 
Watu wanasafiri kwenda Saudia Arabia kumpiga shetani mawe. Shetani unaweza kumpiga mawe kweli? Wamemuona mtu wao ambaye kwao elimu siyo kipaumbele anafikiri kama wote ni wapiga mawe.
Watu wa jamii ya mwezi watakujengea msikiti na kisima cha kuchambia tu. Sehemu ambazo wameishi Waabudu mwezi na nyota hakuna hata maendelo hapa Tanganyika. Watakuletea Dirham? Zanzibar yenyewe karibia wote ni warushe mawe lakini hawajawapa Dirham. Wamekuja kuiba na nasikia Ikulu nayo ni ya warusha mawe
Tembea sehemu za waislamu uone maendeleo,Hakuna mkoa unaofikia Dar e s salaam(na jina la kiislamu)kwa maendeleo.Taja mkoa Tanzania unaofikia Dar,mkoa wa waislamu na jina lao la kiislamu.
 
Shetani anaishi wapi? Kuna mtu anajua shetani anapoishi? namba yake ya simu unaye? nyumba anayoishi unaijua? ushawahi kumuona? anaonekana? Kuna mambo ambayo ukiyafanya lazima utoe akili timamu, uvae akili ya kichaa.
Unabeba jiwe unamrushia shateni? Watu wanatengeneza pesa nyingi sana kwa ujinga wa watu. Unaanzaje kurusha mawe kwa kitu cha kufikirika?

Hijja Hailipiwi Mkuu,
Kufikirika ndio Yakini Yenyewe,Mungu hawezi Mleta shetani Mkawa Mnamuona bali ataleta Dalili Za kufikirika za Uwepo wa shetani,Hizo Dalili Zitawasaidia wenye Akili Kujua uwepi wake.
Hata Mungu mwenyewe Ni Wa Kufikirika Kaleta Dalili za uwepi wake Wenye Akili na yakini Tunaamini Yupo.
Kurusha mawe kwenye All Kaaba Ndo Tulichoelekezea Kwenye Vitabu vyetu na katu Wewe Huna akili Kuzidi Kitabu chake.
 
Shetani anaishi wapi? Kuna mtu anajua shetani anapoishi? namba yake ya simu unaye? nyumba anayoishi unaijua? ushawahi kumuona? anaonekana? Kuna mambo ambayo ukiyafanya lazima utoe akili timamu, uvae akili ya kichaa.
Unabeba jiwe unamrushia shateni? Watu wanatengeneza pesa nyingi sana kwa ujinga wa watu. Unaanzaje kurusha mawe kwa kitu cha kufikirika?
Tumia akili,kile ni tendo tu,sio kwamba anapigwa shetani yupo pale,ile nikuonyesha kwamba muislamu ajiepushe na matendo ya kishetani,shetani amfanye adui.Hii ndio inathibitisha kuwa uislamu na shetani hawapo pamoja.Ni tofauti na yule Rushdie aliyesema Qur'an ni aya za shetani,wakati Qur'an nzima inampinga shetani.
 
Acha uwongo, kuhifadhi una maana gani. Religion ni culture na culture inahusisha lugha. We unadhani wasingewaambia hivyo Leo hii ungesoma kiarabu. Fikirieni mbali, Mimi nimesoma Quran kwa kingereza mbona nimeelewa..naweza kukuelezea sheria zao na story zao kibao bila kusoma hicho kiarabu chao hio sio point. Point ni kwamba hawataki neno libadilike kwa sababu kwenye translation Kuna uwezekano wa kuongezeka au kupungua kwa maneno maana mantiki tamathali za semi etc, [emoji1787]Sasa Kama unadhani Mungu ametengeneza nyota billions ili amtokee muarabu pangoni aagize watu duniani waongee nae kiarabu ndo atasikia sawa.. [emoji23] Baki na akili yako

Umesoma Quran kwa Kiingereza umeelewa nini?
Kwa maelezo Yako Uliyotoa inaonekana huiishi Quran,Hujaielewa
Huna mazingatio
 
hapa tunazungumzia uislamu na uarabu, mimi sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha. Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla, tujifunze mda mwengine kuumiza vichwa vyetu hata kama jambo linakuumiza, mimi nimeuliza swali ili tuweze kulifafanua katika mrengo wa imani ya kiislamu lakini nimegundua kuwa baadhi yenu mnapenda sana ligi na dini nyingine na hili ndio tatizo kubwa.
Wewe sio muislamu,kama ungekuwa muislamu,ungekuwa wajuwa kuwa mavazi ya waislamu sio mavazi ya waarabu.Hata Yesu alivyaa kanzu,kilemba,ndevu na makubadhi.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Tena nimecheka kweli kweli, DP World atafanya muwaelewe vizuri Waarabu.

Unajuwa nimemuuliza AI ChaGPT, ID yako Kiarabu itakuwaje? kajibu hivi:

Siku hazifanani
الأيام ليست هي نفسها
"al'ayaam laysat hi nafsuha"
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Tena nimecheka kweli kweli, DP World atafanya muwaelewe vizuri Waarabu.

Unajuwa nimemuuliza AI ChaGPT, ID yako Kiarabu itakuwaje? kajibu hivi:

Siku hazifanani
الأيام ليست هي نفسها
"al'ayaam laysat hi nafsuha"
 
Back
Top Bottom