Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Tembea sehemu za waislamu uone maendeleo,Hakuna mkoa unaofikia Dar e s salaam(na jina la kiislamu)kwa maendeleo.Taja mkoa Tanzania unaofikia Dar,mkoa wa waislamu na jina lao la kiislamu.
Dar siyo ya waislamu, kile ni kitovu cha biashara cha sreikali na unaweza kukuta more than 50% ya watu wa dsm si waislamu, in addition maeneo yenye waislam ni kama mtwara na lindi. Dar ni changanyikeni acha uzuzu na serikali inawekeza zaidi kujiingizia pato
 
HAKUNA MUISLAMU HATA MMOJA HUMU MWENYE UWEZO WA KUJIBU HOJA.


WOTE VILAZA.
Hoja Zote Humi Zimerekebishwa,Mtoa uzi Hana elimu Ya Kutosha juu ya mambo,Hajui historia anafikiri Kila Kitu Kwenye Uislamu Ni Kutoka Kwa waarabu Wakati Huo utamaduni wa Waarabu Umeletwa na uislamu.
 
Hijja unailipia indirect. Ukienda kule taifa lile linaingiza matrilion ya pesa, utalala wapi? Kula? Gharama za safari n.k. wenye akili wanajua ile ni bizness iliyofichika
We Ulitegemea ule Bure na Ulale bure,Lazima ulipie hizo Gharama Mbona Ni Kitu cha kawaida tu Kama wanapata Faida acha Wapate Ila Sisi tumekeleza nguzo ya Dini
 
Au siyo. Mungu alikuwa na lugha yake ya kiarabu akawaandikia.
Kila kitabu kimeshuka kwa Lugha yake, na Lugha zote ambazo Mwenyez Mungu ameshusha vitabu ni Lugha ambazo ni kongwe, lugha kongwe zina maneno mengi na inakua Rahisi ku Express kitu kila mtu akakuelewa.

Chukulia mfano neno paa kiswahili inaweza kuwa
-paa kupaa juu
-paa la nyumba
-paa mnyama

Hii inaonesha Lugha ilivyo changa na kukosa Vocabulary nyingi. Kama Quran ingeshushwa kiswahili ingeleta mkanganyiko kwenye maneno mengi na kusababisha watu kuipindisha.

Kutokubadilika Quran kwa miaka zaidi ya 1000 tena kwa maana ile ile kunaonesha jinsi gani Lugha ilikua Chaguo sahihi.
 

Orodha Ya Majina Ya Wakeze Mtume (S)​

Baada ya kifo cha mke wake wa kwanza Bibi Khadija (a), Mtume (s) alioa wanawake wafuatayo:
(1) Saudah, (2) Ayesha, (3) Ummus-Salamah bint Khuzaimah, (4) Hafsah (5) Zainabu Binti Jahash, (6) Ummu-Habibah (Ramla), (7) Maymunah, (8) Zainab bint Umais, (9) Juwairiyah, (10) Safiyyah na (11) Khaulah binti Hakim.


Mwamba alikuwa anawapanga. Dose baada ya dose, alioneshwa na Allah au ni kwa utashi wake?
Mbona Suleimani alikuwa nao zaidi Ya Hao,Shida Iko wapi kwa mtume wa Mungu.Mm sishangai Hapo Uliowataja hata wangekuwa zaidi Ningeona sawa tu.
 
Mbona Suleimani alikuwa nao zaidi Ya Hao,Shida Iko wapi kwa mtume wa Mungu.Mm sishangai Hapo Uliowataja hata wangekuwa zaidi Ningeona sawa tu.
1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH​

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.
 
Mbona Suleimani alikuwa nao zaidi Ya Hao,Shida Iko wapi kwa mtume wa Mungu.Mm sishangai Hapo Uliowataja hata wangekuwa zaidi Ningeona sawa tu.
Suleiman hakuanzisha dini ni mtu baki aliyepo kwenye maandiko tu. Kama ilivyo kwa Paulo aliyekuwa na makosa yake kibao na Mungu akamtumia
 
We Ulitegemea ule Bure na Ulale bure,Lazima ulipie hizo Gharama Mbona Ni Kitu cha kawaida tu Kama wanapata Faida acha Wapate Ila Sisi tumekeleza nguzo ya Dini
Ndo maana nikakuambia ile ni biashara kama biashara zingine. Waliweka nguzo ya kuhiji kwao huko waingize pesa, hizo ishara ilishinfikana vipi kuzifanyia huku kwenu nanjilinji??
 
Kabwela wa huko mtwara na muislamu ataenda lini kutimiza hiyo nguzo??
We Ulitegemea ule Bure na Ulale bure,Lazima ulipie hizo Gharama Mbona Ni Kitu cha kawaida tu Kama wanapata Faida acha Wapate Ila Sisi tumekeleza nguzo ya Dini
 
1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH​

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.
Mtume Muhammad (S.A.W) kumuoa Aisha Akiwa Na Umri Wa miaka 9 Ni Amri kutoka Kwa Allah Pia Watu wa Miaka 1400 Iliyopita si sawa na Wa sasa.Haikuwa Kitu Cha Ajabu Kipindi Hicho Kwenye jamii Mtu Kuoa Msichana Wa miaka 9.
Kama Ilivo sasa Mwanamke Akiolewa Na Miaka 18 Anaonekana Bado Hakutakiwa kuolewa lakini Miaka ya Nyuma kidogo Msichana akiolewa na miaka 18 Ilikuwa Kawaida lakini kwa sasa Anachukuliwa bado mtoto alitakiwa Awepo shule.
Zama zinabadilika.
 
Hijja unailipia indirect. Ukienda kule taifa lile linaingiza matrilion ya pesa, utalala wapi? Kula? Gharama za safari n.k. wenye akili wanajua ile ni bizness iliyofichika
Aliyeleta Hijja kwa waislamu,anatakiwa asifiwe,na ni msomi kupita wasomi wote duniani,Hijja nchi zote duniani zinafaidika bila kujali dini,kabila,rangi ya mtu,wote wanafaidika
1.Kuanzia pale anayekwenda Hija,kuchukuwa usafiri,kutoka nyumbani kwake,kuanzia Taxi,bajaji,bodaboda,daladala,bila kujali dini,kabila rangi,anakodishwa na kupata pesa.
2.Wenye mabasi wanapata abiria,kutoka moaning mpaka kwenye airport;
3.Akiwa kwenye jiji lenye Inernational Airport,atafikia Hotel,guest house,bila kujali mmiliki ni wa dini gani,kabila gani,atalipia
4.Anayekwenda hijja,atakula chakula,kwa mama lishe,hotel,atalipia pesa bila kujali dini,kabila nk
5.Ndege wanazopanda mahujaji ni mashirika mbali mbali,wanapata kipato wao na kodi za serekali,
6.Yote haya ysnafanyika kwenda na kurudi hijja,mzunguko wa pesa unakuwako.
Ndio hata Yesu na wanafunzi wake wakaigiza waarabu kuvyaa kanzu na kubadhi,
download.jpg
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Hii sio kwa waislam tu dini zote ndio zilivyo.
Hata wakoloni wamewacha tamaduni zao mfano angalia mahakamani jaji anavyovaa.
Anae kufunza chake anaondoa chako.
 
Mtume Muhammad (S.A.W) kumuoa Aisha Akiwa Na Umri Wa miaka 9 Ni Amri kutoka Kwa Allah Pia Watu wa Miaka 1400 Iliyopita si sawa na Wa sasa.Haikuwa Kitu Cha Ajabu Kipindi Hicho Kwenye jamii Mtu Kuoa Msichana Wa miaka 9.
Kama Ilivo sasa Mwanamke Akiolewa Na Miaka 18 Anaonekana Bado Hakutakiwa kuolewa lakini Miaka ya Nyuma kidogo Msichana akiolewa na miaka 18 Ilikuwa Kawaida lakini kwa sasa Anachukuliwa bado mtoto alitakiwa Awepo shule.
Zama zinabadilika.
Leta maandiko inaposema Allah alimuamuru. Mtume alikuwa mfanyabiashara akageuza majukumu ili kuwasogeza karibu
 
Hiyo Nguzo Ina Sharti Lake
Ni kwa yule Mwenye uwezo wa mali tu.Umeelewa Mwana Kondoo
kwa allah aliamuru jambo hilo lifanyikie huko tu na si pote duniani? Mwana kondoo ni Yesu mi na wewe ni wafuata ramani tu
 
Aliyeleta Hijja kwa waislamu,anatakiwa asifiwe,na ni msomi kupita wasomi wote duniani,Hijja nchi zote duniani zinafaidika bila kujali dini,kabila,rangi ya mtu,wote wanafaidika
1.Kuanzia pale anayekwenda Hija,kuchukuwa usafiri,kutoka nyumbani kwake,kuanzia Taxi,bajaji,bodaboda,daladala,bila kujali dini,kabila rangi,anakodishwa na kupata pesa.
2.Wenye mabasi wanapata abiria,kutoka moaning mpaka kwenye airport;
3.Akiwa kwenye jiji lenye Inernational Airport,atafikia Hotel,guest house,bila kujali mmiliki ni wa dini gani,kabila gani,atalipia
4.Anayekwenda hijja,atakula chakula,kwa mama lishe,hotel,atalipia pesa bila kujali dini,kabila nk
5.Ndege wanazopanda mahujaji ni mashirika mbali mbali,wanapata kipato wao na kodi za serekali,
6.Yote haya ysnafanyika kwenda na kurudi hijja,mzunguko wa pesa unakuwako.
Ndio hata Yesu na wanafunzi wake wakaigiza waarabu kuvyaa kanzu na kubadhi,View attachment 2670494
Kwa hiyo ni biashara kama biashara zingine. Wasifiwe walioanzisha dini maana wameteka nyoyo za watu hadi hawa wa hijja na wachukua sadaka sehenu zingine zoote
 
Kwanza tukubaliane wewe sio muislam sawa?
Kama wewe Ni muislam misingi ya uisilam na uliyo yaorodhesha vinaendana?
Ndo maana nimekuuliza wewe si umesema Ni muislam!

Hebu tuambie uislam upi una misingi inayoendana na ulichoandika..

Iwe Ni misingi ya kisheria tupe Elimu habib.
Jibu swali kwa uelewa wako,uislamu ni uarabu?
Kuna kisa kimewai tokea eneo flani hapa Tz,waarabu waliingia zao bar na kanzu zao,waswahili wakatahamaki na kuzua taharuki,walijibiwa kuwa wao ni waarabu wa kikristo na kanzu kwao ni vazi la kimila tu kama ilivo wamasai na shuka zao!!
 
Aliyeleta Hijja kwa waislamu,anatakiwa asifiwe,na ni msomi kupita wasomi wote duniani,Hijja nchi zote duniani zinafaidika bila kujali dini,kabila,rangi ya mtu,wote wanafaidika
1.Kuanzia pale anayekwenda Hija,kuchukuwa usafiri,kutoka nyumbani kwake,kuanzia Taxi,bajaji,bodaboda,daladala,bila kujali dini,kabila rangi,anakodishwa na kupata pesa.
2.Wenye mabasi wanapata abiria,kutoka moaning mpaka kwenye airport;
3.Akiwa kwenye jiji lenye Inernational Airport,atafikia Hotel,guest house,bila kujali mmiliki ni wa dini gani,kabila gani,atalipia
4.Anayekwenda hijja,atakula chakula,kwa mama lishe,hotel,atalipia pesa bila kujali dini,kabila nk
5.Ndege wanazopanda mahujaji ni mashirika mbali mbali,wanapata kipato wao na kodi za serekali,
6.Yote haya ysnafanyika kwenda na kurudi hijja,mzunguko wa pesa unakuwako.
Ndio hata Yesu na wanafunzi wake wakaigiza waarabu kuvyaa kanzu na kubadhi,View attachment 2670494
Unakomaa na wacheza filamu! Hahahaaaaa, relax dini uliletewa tu na hakuna siku umeongea na Mungu akakuambia dini yangu ni hii labda mzimu ukudanganye
 
Back
Top Bottom