Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Hijja Hailipiwi Mkuu,
Kufikirika ndio Yakini Yenyewe,Mungu hawezi Mleta shetani Mkawa Mnamuona bali ataleta Dalili Za kufikirika za Uwepo wa shetani,Hizo Dalili Zitawasaidia wenye Akili Kujua uwepi wake.
Hata Mungu mwenyewe Ni Wa Kufikirika Kaleta Dalili za uwepi wake Wenye Akili na yakini Tunaamini Yupo.
Kurusha mawe kwenye All Kaaba Ndo Tulichoelekezea Kwenye Vitabu vyetu na katu Wewe Huna akili Kuzidi Kitabu chake.
Ilikuwaje Allah na shetani ni ma neighbors?
 
AlhamduliLlah leo Waislam wapo Arafa wakitimiza nguzo ya Yjslam ya Haj.

Tusisahau lei ni siku ya kujiombea ba kuwaombea Dua njema wengine wote, tulio hai na waliotangulia.

Pia tusisahau kuwaombea ndugu zetu wasio Waislam, asaa iwe heri nyoyo zao ziione nuru, warudi katika Uislam.

 
Jibu swali kwa uelewa wako,uislamu ni uarabu?
Kuna kisa kimewai tokea eneo flani hapa Tz,waarabu waliingia zao bar na kanzu zao,waswahili wakatahamaki na kuzua taharuki,walijibiwa kuwa wao ni waarabu wa kikristo na kanzu kwao ni vazi la kimila tu kama ilivo wamasai na shuka zao!!
Na kuna mwarabu mmoja alipaza sauti akisema. Huu ni utamaduni wetu kuvaa hivi wala hauhusiani na dini. Ni ngumu watu kuelewa kama vichwa vyao vimejaa upumbavu bila kufikiri. Hijabu mnatumia ni kujistiri ( saafi kabisa ) lakini si vazi la uislamu ndo maana ukienda nchi zingine za kiislamu hukuti mwanamke kajifunika kila sehemu as if Mungu aliumba mtu asiyetakiwa kujulikana
 
AlhamduliLlah leo Waislam wapo Arafa wakitimiza nguzo ya Yjslam ya Haj.

Tusisahau lei ni siku ya kujiombea ba kuwaombea Dua njema wengine wote, tulio hai na waliotangulia.

Pia tusisahau kuwaombea ndugu zetu wasio Waislam, asaa iwe heri nyoyo zao ziione nuru, warudi katika Uislam.

View attachment 2670498
Hahaaa!! Kama waislamu tu wanaliwa kiboga huko zenji nani arudi huko? Wewe ndo urudi kwenye dini ya mwanzo, ndo maana quran imeutaja ukristo na uyahudi lkn hizo dini hazjataja uislamu. Km uislamu ulikuwepo hapo mwanzo kabla ya hizo ulikuwa unatumia mwongozo upi?
 
Yule askari wa zanzibar alikuwa mkristu? Nioneshe biblia ilipoandika kufungisha ndoa za wanaume. Mkaidi kafanya ya kwake ndo uite ni ukristo?? Ulitaka akapigwe mawe wakati ukristu unasema usiue??
James delicious ni muislam ? Aliyeolewa pale Arusha ndoa ya kanisani ni muislamu?

Ndo maana nikakwambia unafuata wazungu 🤣🤣sio bible ndo maana mnafungisha ndoa za jinsia moja.

Neno kanzu katika bible lipo je suti lipo ? na hizo suti mmetoa wapi na ndoa za jinsia moja mmetoa wapi kama sio kumfuata yule Mungu sijui sangara au papa.!!
 
Hahaaa!! Kama waislamu tu wanaliwa kiboga huko zenji nani arudi huko? Wewe ndo urudi kwenye dini ya mwanzo, ndo maana quran imeutaja ukristo na uyahudi lkn hizo dini hazjataja uislamu. Km uislamu ulikuwepo hapo mwanzo kabla ya hizo ulikuwa unatumia mwongozo upi?
Tunskutakia siku njema, kuwa na amani.
 
3.Ubaguzi wa Wanawake,Hakuna kitu Kama hicho kwa Waaarabu Ila Mwanamke Hawezi Kuwa Juu ya Mwanaume
Allah anadai yeye ni mungu alafu anasema wanawake wapigwe , wazi utajua Allah ni Muhammad na Muhammad ni Allah, Mungu hawezi kuongea ujinga huu

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
 
Nyie mnataka ardhi kubwa ya nini wakati keshokutwa mnakwenda kupewa bikra 7 ughaibuni?
AlhamduliLlah, leo Waislam wapo Arafa wakitimiza nguzo ya Uislam ya Haj.

Tusisahau leo ni siku ya kujiombea na kuwaombea Dua njema wengine wote, tulio hai na waliotangulia.

Pia tusisahau kuwaombea ndugu zetu wasio Waislam, asaa iwe heri nyoyo zao ziione nuru, warudi katika Uislam.

View attachment 2670498
 
Allah anadai yeye ni mungu alafu anasema wanawake wapigwe , wazi utajua Allah ni Muhammad na Muhammad ni Allah, Mungu hawezi kuongea ujinga huu

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
Allah ni katili sana huyo kwa viumbe vyake.
 
Jina lipi hilo?
Mungu baba muumba wa mbingu na dunia. Aliyemtuma Yesu kristo aliyeshinda hadi mauti na kufufuka ktk wafu. Na kumuacha roho mtakatifu atulinde, ulishaokolewa na Yesu kristo utamuadhibu shetani hata ukiwa huko zanzibar siyo lazima uende kumponda mawe
 
AlhamduliLlah, leo Waislam wapo Arafa wakitimiza nguzo ya Uislam ya Haj.

Tusisahau leo ni siku ya kujiombea na kuwaombea Dua njema wengine wote, tulio hai na waliotangulia.

Pia tusisahau kuwaombea ndugu zetu wasio Waislam, asaa iwe heri nyoyo zao ziione nuru, warudi katika Uislam.

View attachment 2670498
kuna nguvu kubwa sana kupitia jina la Yesu. Hadi majini hukimbia wasikiapo jina hilo.
 
Mbona Suleimani alikuwa nao zaidi Ya Hao,Shida Iko wapi kwa mtume wa Mungu.Mm sishangai Hapo Uliowataja hata wangekuwa zaidi Ningeona sawa tu.
Suleiman kwenye biblia alikuwa mfalme na alitenda madhambi na wala hakuagizwa na Mungu wa wakristo, mwisho wa siku alijutia Sana

Ila unakutana na Allah mungu wa waislamu yeye anamuwekea verse kabisa Muhammad kumruhusu kupiga mbupu mpaka mke wa mtoto wake wa kufikia

Kaweka verse wanawake wa kiislamu wakajitoe kwa Muhammad awapige mbupu bila ndoa

Koran 33:50 ....na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.....
 
[emoji1787][emoji1787]Sasa si kanisa hilo yalianzishwa na wazungu ...Na hizo suti si wameanzisha wazungu

.
Nionyesha andiko yesu alivaa suti au wanafunzi wake ...Nikuonyesha neno kanzu kweny bible..

Unafuata mila za wazungu hamna dini ndo maana mnafungisha ndoa za wanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamna dini hapo ni mila za wazungu kuvaa nguo fupi hapo wakubwa wenu sijui ndo sangara wanavaa kanzu
Huyo naye muislamu na anasema karuhusiwa je ni kweli?
Screenshot_20230627-171846.jpg
 

Attachments

  • Agreement!.jpg
    Agreement!.jpg
    64.4 KB · Views: 1
Mtume Muhammad (S.A.W) kumuoa Aisha Akiwa Na Umri Wa miaka 9 Ni Amri kutoka Kwa Allah Pia Watu wa Miaka 1400 Iliyopita si sawa na Wa sasa.Haikuwa Kitu Cha Ajabu Kipindi Hicho Kwenye jamii Mtu Kuoa Msichana Wa miaka 9.
Kwa hiyo mtume wa Allah kakuta ma pedophile na ma child molester kaungana nayo tena na yeye kaoa katoto ka miaka 6

Mpuuzi angekuwepo kipindi hichi ni jela maisha na viboko 12 na dini yake ingeishia apo
 
Kwa hiyo mtume wa Allah kakuta ma pedophile na ma child molester kaungana nayo tena na yeye kaoa katoto ka miaka 6

Mpuuzi angekuwepo kipindi hichi ni jela maisha na viboko 12 na dini yake ingeishia apo
Eti enzi hizo walikuwa ni magiant!! Wakati mtume kamuoa khadija wa miaka 40 ameshazaa watoto wawili akakuta wazungu hawamo akaingia kwa vitoto miaka 6-9. Miaka hii bado wanaingia mahakamani kuhalalisha ndoa za watoto sijui haraka za nini?
 
Back
Top Bottom