Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Hapo nilipo bold nadhani inakua hivyo sababu wana pesa. Wangelikua hawana pesa wangeonekana si lolote si chochote. Hii tunayo watu weusi kwamba watu weupe waarabu, wazungu basi ni watu wenye pesa. Yaani mtu akiona hao watu akili yake inawaza pesa.
 
Ndio ndo maana naenjoy maisha yangu kuliko we unaishi maisha according to muarabu mmoja kusema miaka 1400 iliyopita
 
Mkisha jua kuandika vingereza mnajitoa akili na kuwa na urimbukeni unao sababisha kitokwa na maneno machafu yanayo sukumwa na ushamba na chuki hisiyo na maana
🤣 Kingereza kimekuchanganya umekosa hoja ya kujibu
 
Hizi ni propaganda na zipo hata uende google ila sio ruhusa katika nchi za kiislamu ,hayo maandamano ni kwamba wanajua hakuna manipulation na hawaitambui ila upande fulani ndo hivyo.
Basi na wakristo ni propaganda. Haya yaishe
 
Na ingekuwa Kiarqbu ndo lugha ya Mungu, Basi kila mtu angezaliwa anaijua
🤣Very good point yaani.. Mungu hawezi chagua mtu mmoja lugha moja katika nchi moja na tamaduni moja afu useme yupo kila mahali na ni WA wote na WA mda wote. 🤣Wamemtunga huyo Allah
 
Tuanze na hapo, Mitume kalibu wote walikuwa walikuwa wanavaa kanzu, mfono wake ni pale Yesu kwenye Biblia anaposema mwenye kanzu mbili ampe na mwenzake moja
Kanzu aliyovaa Yesu sio kama zenu na hao waarabukaangalie vizur na WA Israel hawavai kanzu Sasa hv hayo ni mavaz ya kale
 
Mimi ni mkristo, tena naamwini Yesu. Lakini nimekuja kuona wayahudi na waarabu ni watu wa hovyo kutokea kuumbwa kwa hii dunia. Wametuletea mashida mengi. Mweusi kuwa mwaarabu huwa nacheka sana. Tena kwanza hawatupendi. Bora mimi mkristo! Ukristo sio wa wazungu wala wayahudi.
 
Kwani ulikatazwa kupiiga ngoma zako?


Wewe kaa ucheze ngoma sisi tunawangoja Waarabu wa DP World waje tutengeneze Dirham.

Unazijuwa Dirham?
Unaona sasa kwani hazina jina la kiswahili ??
 
Ukweli hoja yako ni kama hoja nzito za baraza la TEC.Njia pekee za kukujibu ni kukutukana.kutafuta madhaifu ya ukristo lakini sio kujibu hoja . Mm sijawahi jua tofauti ya waarabu na waislamu .lakini najua finally tofauti ya warutheli na wajeruman.wakatoliki na waitaly .wabahai na waisrael. Mimi mkatoliki lakini sijui hata maneno 6 ya kiitaly na nimesoma o level seminary na robo ya walimu walikuwa waitaly.na hata shule tulikuwa tunafundishwa ngoma za makabila ya tz hatujawahi imba kiitaly nje ya wimbo wa kumsifu Maria "Ave maria" .kwetu ni full wakatoliki ila ukiondoa mapadre baba yangu ni mjumbe balaza la walei ila ukiondoa kanisani .sijawahi muona kavaa kanzu nyumbani na hajui hata neno moja la kiitaly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…