Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

ASITOE HUO UJAUZITO, kufanya hivyo ni ubatili, kuna laana pia, hujui kitatokea nini huko mbeleni ndiyo maana Mungu amekupa ujauzito mapema.Chukulia postively.Tulieni mpange namna ya kulea huyo dogo na huo ujauzito.

Kumbuka unavyoandika huu uzi kuna wenzio wanalilia kupata watoto hata wa kusingiziwa hawapati.Hakuna cha ajabu hapo.sema tuu inabidi kujipanga na kumpa mama suport pia ya kisaikolojia.USIMGOMBEZE TAFADHALI.wenyewe wanasemaga mapacha wa nje hao
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
 
Pumbavu, shenzi kabisa. Wewe ni liprimitive la akili, elimu, muonekano na Kila kitu. Mamaako angekutoa Mimba ungejua kusema hata hiyo primitive? Kabla ya kutoa hiyo Mimba nenda kwa mamaako akakutoe kwanza wewe. Hata hao wanaokuheshimu wanaheshimu mtu zuzu kabisa. Wakijua umetoa Mimba ya mkeo ndo utadharaulika kuliko hata mavi, pumbavu kabisa. Vijitu vingine vikishapata vihela bwana vimatako vinalia mbwata maamuzi wanakuwa wanayatolea matakoni Kama ushuzi.
Mimi nakulaani kabisa Leo ukitoa hiyo Mimba ya mkeo na mkeo akakubali laana ya Mungu na mamaako na Mimi viwashike nyote. Mkeo alikataa mwache usimlazimishe laana hii ubaki nayo wewe mwenyewe na ukimlazimisha Basi laana hii ikushike wewe mwenyewe.
Una hasira mno, nimebaini yafuatayo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wewe ni mzee a.k.a dingi kabisa uliyeshiba miaka yako 50+. Wewe una hasira na mihemko mno. Mzee wangu acha hizo, matusi ya nini sasa?
 
Kinacho kusumbua ww ni ego yako.
Swallow your pride accept it. Isitoshe ni mke wako, mambo ya kuonekana primitive ni ya kizamani, kwani kuna chochote wanakusaidia?


Ww una hofu kumtia mimba mke? Wenzako wana tia mimba michepuko na mke ni mzazi na bado hawa panic
Ni ngumu, not such easy!
 
Tena ya maziwa...wajinga ndio mliwao
IMG_20220113_091308_5.jpg
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Baada ya miezi 9 ya mimba mtoto atakua na umri wa mwaka na miez 9.

Huyo ni mkubwa sana hakuna mtu atawastukia na akistuka mtu hakusaidii chchote bali utaonekana rijali
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Bahati mbaya hapo iko wapi?
Piga mashine lete watoto ebo!!!!
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Unachoogoopa ni majirani au ndugu kwamba umempa mimba mkeo ikiwa mna mtoto bado ana miezi tisa?
 
Hongera sana mkuu.
Kwani ujauzito wa mwisho alijifungua kwa operation? Kama jibu ni hapana. Basi hongera tena. Cha muhimu awahi clinic mapema apewe ushauri.. aanze kutumia dawa za madini chuma na folic acid sababu mwili wake bado hauna store ya kutosha..

Upande wako anza kusaka hela kwa wingi maana hao watoto wataenda shule wakati mmoja.
 
Ishi maisha yako.

Andaa bajeti ya kumkuzia huyu aliyezaliwa na mama yake ili afya zao zisiteteleke.

Halafu acha uvulana.
 
Hongera sana mkuu.
Kwani ujauzito wa mwisho alijifungua kwa operation? Kama jibu ni hapana. Basi hongera tena. Cha muhimu awahi clinic mapema apewe ushauri.. aanze kutumia dawa za madini chuma na folic acid sababu mwili wake bado hauna store ya kutosha..

Upande wako anza kusaka hela kwa wingi maana hao watoto wataenda shule wakati mmoja.
Safi
 
Mkuu kwani hao watu unaowaogopa ndo wanawalisha?.

Jiandae kupokea mtoto mwingine. Mama aaweza endelea kunyonyesha huku mjauzito. Hakuna shida.

Hongereni
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Yaani kumpa mkeo ujauzito ni kujidhalilisha kumbe, kama amna tatizo kwa mkeo lea mimba na hyo mtoto

Miezi 9 ni mingi kwa mtoto kama utasimamia lishe na matibabu kwa ukaribu.

Labda kama unaogopa mimba ikianza kuonekana itajulikana ulikula mama bila kinga.
 
Back
Top Bottom