Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Una hasira mno, nimebaini yafuatayo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Pumbavu, shenzi kabisa. Wewe ni liprimitive la akili, elimu, muonekano na Kila kitu. Mamaako angekutoa Mimba ungejua kusema hata hiyo primitive? Kabla ya kutoa hiyo Mimba nenda kwa mamaako akakutoe kwanza wewe. Hata hao wanaokuheshimu wanaheshimu mtu zuzu kabisa. Wakijua umetoa Mimba ya mkeo ndo utadharaulika kuliko hata mavi, pumbavu kabisa. Vijitu vingine vikishapata vihela bwana vimatako vinalia mbwata maamuzi wanakuwa wanayatolea matakoni Kama ushuzi.
Mimi nakulaani kabisa Leo ukitoa hiyo Mimba ya mkeo na mkeo akakubali laana ya Mungu na mamaako na Mimi viwashike nyote. Mkeo alikataa mwache usimlazimishe laana hii ubaki nayo wewe mwenyewe na ukimlazimisha Basi laana hii ikushike wewe mwenyewe.
Sio kweliKaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.
Ni ngumu, not such easy!Kinacho kusumbua ww ni ego yako.
Swallow your pride accept it. Isitoshe ni mke wako, mambo ya kuonekana primitive ni ya kizamani, kwani kuna chochote wanakusaidia?
Ww una hofu kumtia mimba mke? Wenzako wana tia mimba michepuko na mke ni mzazi na bado hawa panic
Uwezo ninaoNyie ni mke na mume kihalali kwann uwaonee aibu watu. Kama uwezo unao wa kulea muache azae.
Ahsante sanaPole mkuu, fanya bidii ya kulea watoto sasa
Baada ya miezi 9 ya mimba mtoto atakua na umri wa mwaka na miez 9.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Bahati mbaya hapo iko wapi?I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Unachoogoopa ni majirani au ndugu kwamba umempa mimba mkeo ikiwa mna mtoto bado ana miezi tisa?I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
SafiHongera sana mkuu.
Kwani ujauzito wa mwisho alijifungua kwa operation? Kama jibu ni hapana. Basi hongera tena. Cha muhimu awahi clinic mapema apewe ushauri.. aanze kutumia dawa za madini chuma na folic acid sababu mwili wake bado hauna store ya kutosha..
Upande wako anza kusaka hela kwa wingi maana hao watoto wataenda shule wakati mmoja.
Yaani kumpa mkeo ujauzito ni kujidhalilisha kumbe, kama amna tatizo kwa mkeo lea mimba na hyo mtotoI'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo