Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

Mkuu ntakupa uzoefu wangu, ilitokea mtoto akiwa na miezi saba au nane... nilifadhaika sana sana nikatoa mpaka hela ya kwenda kutoa hiyo mimba ila wife aligoma kabisa.. basi nikauchuna tuu ilibidi sasa tumwachishe huyu dogo kunyonya ikawa mwendo wa kununua maziwa (SME nini sijui sikumbuki kwa sababu ilikuwa 2010. Basi 2011 akazaliwa wa pili. jamaa wamekua kama mapacha na wanapeana sana kampani wote ni wa kiume. kwa hiyo wee kubali aibu na mwache dogo aje duniani.
 
Fanya kama kazaa mapacha waliopishana mwaka na...
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Hapana msitoe na hakuna atakayekuona primitive

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Yaani utoe uhai wa mwanao kisa heshima [emoji56][emoji56]ishi maisha yako bro, jiandae kumpokea mwanao, hautajutia
 
Ni ngumu, not such easy!
Ni ngumu in your mind. Drop that ego.
Una suffer zaid in your mind kuliko reality.

Na mbaya zaid hutaki kuachia hiyo ego, itakunyonga mpaka uone dunia chungu. Drop that shit
 
Mkuu msitoe mimba Mungu hapendi. Hii na mimi iliwahi kunikuta nikapambana tu na mke wangu alijifungua vizuri tu. Cha kufanya boresha lishe kwa mama na huyo mtoto mdogo na Mungu wa mbinguni atawasaidia narudia usithubutu kutoa mimba
 
Mimi ilitokea Tena mtoto alikuwa na miezi minne tu..
Daa..tuliwaza kuitoa lakini mioyo ikagoma..
nilimlaumu mke Kama unavyofanya wewe..
Lakini tuliamua kukomaa..kwasasa wotote wote wapo wazima wako poa..
N.B ukimwambia mkeo kutoa mimba akakataa..Kuna siku atamwambia mtoto akikua..kwamba 'baba yako alitaka tutoe mimba yako nikataa..'
 
Usifanye ujinga huo utakuja kujuta baada ya kutoa hio mimba mnaweza msipate mtoto milele
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Usitoe mkuu, kuteleza imo, sie wakubwa tunaelewa...
 
Mkulungwa kwani jamii haijui kuwa unalala na mke kitanda kimoja?Tena bila nguo?


Wewe umejuaje kwamba huwa analala na mkewe bila nguo??!!, au huwa ukiwapiga chabo??!!🤣--- maneno mengine muwe mkitafakari kabla ya kuandika.
 
Wewe umejuaje kwamba huwa analala na mkewe bila nguo??!!, au huwa ukiwapiga chabo??!!🤣--- maneno mengine muwe mkitafakari kabla ya kuandika.
Anashikaje mimba sasa? Kwani wanafanya kinguonguo? hata tafsida hujasoma?
 
Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Kwa hiyo jamii inayokuheshimu inajua we hutmbn? Au?
Jikaze mzae Kama ulivyojikaza kumwagia ndani.
 
Yani siamini unawaza huo ushetani wakutoa mimba. Jipangeni Kwa kulea. Halafu kuwa mwanaume,, huwezi Fanya jambo mpk utathmini watu watakuchukuliaje.
 
Haina haja ya kutoa iyo mimba mkuu, nendeni hospitali watawapa utaratibu mzima jinsi ya kuilea iyo mimba na kumpa maziwa uyo mtt mwenye miez 9. Yani untk uue kiumbe kisicho na hatia kisa kukwepa aibu?, sio maamuz sahihi mkuu.

Mi niliona mtu mtt miez 6 na mimba nyengine juu, alinyonyesha mtt wake uku akiendelea kulea mimba. Ukifika wkt akamuachisha, kwa msaada wa madaktr akajifungua vzr tu. Apo hamna aibu niliyoiona mimi.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Zaeni, hakuna kosa lolote! Wakati ujao na wewe pia ujue mzunguko wa mkeo. Miezi 9 mtoto anaweza kuanza kula chakula mbali na maziwa ya mamaye.
 
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?

Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..

Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Usijaribu huo upuuzi, mkitoa huenda msipate mtoto tena.

Vv
 
Kaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.
Kwani afya ya huyo mtoto inatetereka kwa mama kuwa mjamzito Tena?

Mama anapaswa amuongezee vyakula mtoto wa miezi Tisa nae apate chakula Bora, anaweza kunyonyesha mpaka hata huyo mtoto afikishe angalau mwaka Kisha anamuachisha ili kuruhusu mwili utengeneze maziwa ya mtoto anaetarajiwa.
 
Back
Top Bottom