Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Muilee tu afu watoto wa hivyo wanakua waziluri kweli..twins
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kuonekana primitive kwa coworkers wenzangu!Bahati mbaya hapo iko wapi?
Piga mashine lete watoto ebo!!!!
ExactlyUnachoogoopa ni majirani au ndugu kwamba umempa mimba mkeo ikiwa mnamtoto bado ana miez tisa?
AhsanteHongera sana mkuu.
Kwani ujauzito wa mwisho alijifungua kwa operation? Kama jibu ni hapana. Basi hongera tena. Cha muhimu awahi clinic mapema apewe ushauri.. aanze kutumia dawa za madini chuma na folic acid sababu mwili wake bado hauna store ya kutosha..
Upande wako anza kusaka hela kwa wingi maana hao watoto wataenda shule wakati mmoja.
Hamna, ni fedheha kwangu na kwa mabosi zangu!Yaan kumpa mkeo ujauzito ni kujidhalilisha kumbe, kama amna tatizo kwa mkeo lea mimba na hyo mtoto
Miez9 ni mingi kwa mtoto kama utasimamia lishe na matibabu kwa ukaribu.
Labda kama unaogopa mimba ikianza kuonekana itajulikana ulikula mama bila kinga.
HongeraUnajua sikuelewi? Mtu umeoa halafu unawaza utaonekanaje?
Huyo si mkeo? Kwani kwenye ndoa mnaenda kulima bamia?
Hayo ni matunda ya ndoa na mnapaswa muwe grateful. Kuna watu wanahangaika hawapati watoto.
Wengine mtoto wa kwanza anapata vizuri then miaka inapita mtoto wa pili wanatafuta milele daima hawapati. Especially kwa lifestyle diseases za siku hizi kwa wanawake. Karibu kila mwanamke ana fibroid au changamoto ingine ya uzazi.
Be grateful una mtoto mwingine anakuja. Lakini pia ujifunze na mkubaliane na mkeo kupanga uzazi going forward.
Btw: Nimeongea kwsbb imenigusa binafsi pia. Mke wangu alibeba mimba ya mtoto wa pili wakati wa kwanza ana miezi sita na ananyonya bado. Fast forward today, mkubwa ana miaka mitano na mdogo anakaribie minne mwezi wa tatu. Nina raha sana kila nikiwaangalia. Na wametupa nafasi ya kupambana na maswala mengine kwa sasa na kusahau ulezi kwa muda. Wife amerudi pia shule sasa.
Unaangalia watu?? Maisha hata hautatoboa eti sababu flani na flani naona aibu.. ishi maisha yako wwTatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Kutoa mimba sio rahisi na sio vizuriWewe ndiye uliyeandika utoto, huyo ndugu kaomba ushauri na mimi namshauri kwamba; kama ataona uhai wa huyo mtoto upo hatarini basi njia rahisi ni kutoa hiyo mimba, kutoa mimba kwa sababu za msingi sio dhambi.--- kuna sababu nyingi husan za kiafya zinazopelekea mimba kutolewa na hilo sio dhambi.
KiongoziI'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Duh sijawahi ona nashangaa tu au sio Mkeo?Hamna, ni fedheha kwangu na kwa mabosi zangu!
Kutoa mimba sio rahisi na sio vizuri
Hahahahaha...Yaani nionekane m-primitive mimi?
Acha hizo ww 😄😄😄Wakiingia huwa hawapigi hodi, please zingatia lishe bora mbona mtoto wa miezi tisa anakula vyakula vyote maziwa unamnunulia kwa kuongeza calcium.
Kutoa mimba? Acha kuwaza huo upuuzi, fuata ushauri wa daktari wako, watakua tu hao ndugu yangu wala usiwaze kuua mtoto wakoI'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Uamuzi wa kuitoa bado ni hatari upande wa mama mzee, Tuwaheshimu sana akina mama maana hata kuibeba mimba kwa miezi tisa bado kujifungua nako kunakuwa na changamoto kuna wanaojifungua salama wapo wanaopoteza maishaMadaktari wakigundua kwamba mtoto kakaa vibaya tumboni kwa mama mjamzito na kamwe hataweza kujifungua kwa njia salama, njia rahisi na nzuri ni ipi katika hali hiyo??!; (1) kuacha hiyo mimba ikue hadi miezi 9 na mama afe na mtoto afe au wote wafe, au (2) kuitoa hiyo mimba mapema ili kunusuru maisha ya mama.??!.
Kumbuka unadai; kutoa mimba sio kitu rahisi na sio vizuri.
Mimi nasema; kitu kinakuwa rahisi na kizuri baada ya ulazima na umuhimu wake.