Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Wewe acha utoto.Kushika mimba ndio kulala uchi??--- hata kiswahili hujui??!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha utoto.Kushika mimba ndio kulala uchi??--- hata kiswahili hujui??!
Usiishi kwa kutizama watu wanasema Nini, kuzaa sio fedheha Mana wako wengi wanatafuta mtoto na wasipate.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Kuzaa sio uprimitive acha ushamba na uogaYaani nionekane m-primitive mimi?
Huwezi jua huyo unaemtoa anaweza akawa makamu wa raisi akaja kulamba shavu kama Sa 100 😅 muache chalii aishi man!I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Kwani afya ya huyo mtoto inatetereka kwa mama kuwa mjamzito Tena?
Mama anapaswa amuongezee vyakula mtoto wa miezi Tisa nae apate chakula Bora, anaweza kunyonyesha mpaka hata huyo mtoto afikishe angalau mwaka Kisha anamuachisha ili kuruhusu mwili utengeneze maziwa ya mtoto anaetarajiwa.
😀😃😄😁😆😅😂🤣😅😆😆😄😃😀😀Zaeni Elimu BureAcheni tu jamani, omba isikukute
Kuloweka Raha SanaUsitoe ni vyema ukalea watoto ukizingatia huyo n mke wako hakuna maajabu hapo maneno ya wanadamu hayakwepeki wao wataongea tu.
Wewe ungetolewa saa hii ungekuwa wapi? Acha aibu huyo ni Mkeo sio? Jiamini wewe ni Mwanaume Lijali.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Mkuu usiwe kama yule jamaa wa nimekosa mimi....nimekosa sana........nimekosa mimi!I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Ushauri mbaya kuua ni dhambi huyo mtoto atakua tuKaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.
Heshima hiyo kwani kuzaa na Mkeo ni dhambi? Wee si ni Mwanaume Lijali!! Na je Mkeo akifa wakati wa kutoa Mimba utasemaje?Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Kutoa Mimba ndo kuwa primitive na roho ya mauti inamwita huyo MkeoYaani nionekane m-primitive mimi?
Akili timamu ipo hivi; maisha hafifu yanatakiwa yaangamie kwa ajili ya maisha yenye thamani, na ndio maana sisi binadamu tunaua/chinja kuku, mbuzi, ng'ombe nk, na tunakula nyama zao, ni katika hali ya namna hiyo hiyo hali inapolazimika mimba hutolewa ili kunusuru maisha ya mama mjamzito kwani uhai wa mama unayo thamani kubwa kulinganisha na maisha ya mimba isiyokuwa na maisha ya kujitegemea maisha hafifu, sasa kwanini katika njia hiyo tusinusuru maisha ya mtoto wa 9 months dhidi ya maisha ya mimba isiyotabirika kama itazaliwa au itakufa hapo mbeleleni, mimba yenye maisha hafifu kulinganisha na maisha ya thamani ya mtu kamili/mtoto wa miezi 9.??!.
Tumieni akili kutafakari jambo hilo.
Acha utoto chief, kila kitu kinatokea kwa sababu alafu imeshatokea wengi na watoto wanakuwa vizuri na afya.Wewe sikiliza; kutoa mimba bila sababu za msingi ni uhalifu kama uhalifu mwingine wowote lakini sio sawa na kuua mtu.mwenye independent life na ndio maana madaktari inapothibitika kwamba mama mjamzito anaweza kufa kutokana.na mimba aliyonayo hatua ya KIAKILI ni mimba kutolewa kunusuru maisha ya Mama kwasababu maisha ya mama yanayo thamani kuliko mimba, ni hivyo hivyo yapaswa kupimwa je maisha ya mtoto/mtu yanathamani gani kulinganisha na maisha ya mimba. Kumbuka.mimba sio mtu kamili na haina maisha ya kujitegemea na mtoto ni mtu kamili mwenye maisha ya kujitegemea.
Wewe acha utoto.
Ushauri mbaya kuua ni dhambi huyo mtoto atakua tu
Acha utoto chief, kila kitu kinatokea kwa sababu alafu imeshatokea wengi na watoto wanakuwa vizuri na afya.