Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brevis ya kizamani inapatikana wapi? Umewahi kukuta hata namba C?Kama mafuta sio ishu wala spea Nenda kwa Brevis, chaser, mark 2Gx 100, 110 unapata zilizo katika hali nzuri.pia kuna Carina Ti unaweza pata japo hayo uote ya kizamani...
Brevis ya kizamani inapatikana wapi? Umewahi kukuta hata namba C?
Mi sijawahi kuona,hata kama zipo, ila hiyo peke yake inatia shaka kuhusu kuwa ya kizamaniUna maana gani jomba untaka kusema Brevis hakuna namba C?
Mi sijawahi kuona,hata kama zipo, ila hiyo peke yake inatia shaka kuhusu kuwa ya kizamani
Brevis ni gari ya mwaka 2001, namba C kama zimeanza miaka ya 2010s na kwa bongo gari ikipita miaka 9+ linanunuliwa used tu na watu wa income ya kawaida kwa nini kusiwe na Brevis namba C? Zimejaa huko mitandaoni tatizo hili gari kulichukuwa mkononi ni majanga tuBrevis ya kizamani inapatikana wapi? Umewahi kukuta hata namba C?
Nani kasema hazipo? Kwani IST au Harrier tako hazipo C? Je, ni za kizamani? Nilichosema ni chache sana chini ya D, hivyo inatia shaka kusema ni za kizamaniMkuu najua unaipenda sana Brevis yako.[emoji16]View attachment 1623454View attachment 1623455
Una utani ee?Hiyo bajeti unapata gari mbili kabisa na chenji
HiiMkuu najua unaipenda sana Brevis yako.[emoji16]View attachment 1623454View attachment 1623455
Hii ndio mil 5?Mkuu najua unaipenda sana Brevis yako.[emoji16]View attachment 1623454View attachment 1623455
Ila Brevis ni gari la kizamani , 2001-2007 kwa sasa ni miaka 19 - 13 imepita. Gari mpya "new model" kwa standard zetu za bongo kwa sasa utakuta ni kuanzia angalau 2009-2010.Nani kasema hazipo? Kwani IST au Harrier tako hazipo C? Je, ni za kizamani? Nilichosema ni chache sana chini ya D, hivyo inatia shaka kusema ni za kizamani