Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae

2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba

3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha

4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba

5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae

6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania

7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe

Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.

Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Mungu ametuona Watanzania........
Tunamuombea heri rais wetu mama Samia
 
1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae

2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba

3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha

4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba

5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae

6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania

7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe

Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.

Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Amefanyia kazi vitu vyote alivyokataa baba.

Baba mbabe alikuwa hana muda wa kusikiliza hoja za watoto.Mama anaonekana amesikiliza hoja za watoto kwa muda wa miaka mitano na kuzielewa,inaonekana kila alipokuwa akiziwasilisha kwa baba zilikuwa zinapigwa chini?

Ndiyo hapo waposemaga "Women headed household" huwa sometimes inamove haraka zaidi
 
1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae

2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba

3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha

4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba

5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae

6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania

7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe

Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.

Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Mzew Mwinyi alisema mkono wa Mama ni dawa! Naona taratiiibu tunaponywa na gonjwa la ukandamizaji
 
Screenshot_20210406-123928.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa umepatia, Ila ajue kwamba, atafanya yote Ila astarijie kupendwa na kila mtu
Amekwambia anataka kupendwa na kila mtu? Mama ni mwanasiasa mahiri na ana akili timamu usidhani kama anafikiri kupendwa na kila mtu kwasababu sio kitu ambacho kinawezekana, Ameamua kuongoza kwa misingi ya utu, upendo na haki.

Ninini kinakutesa?
 
Halafu kuna watu walitaka kuliongezea lile jamaa mitano tena¡!!!!! Sijui wanaishi Tanzania gani?[emoji3166]

Wee ipyana, kila zama na kitabu chake. Pambana na yaliyo mbele yako.
Sema kwa sababu ninyi ni watoto, je kuna raha na uhuru wa kijinga ambao watu waliupata katika kipindi cha kikwete??? lkn walimtukana kila uchao. Hivyo usifikiri huyu mama atakuwa analeta chakula mezani kwako, au kujaza pesa mifukoni mwako, bado wewe binafsi unahitaji kuwa na nidhamu na kujituma kulingana na malengo yako na Mwenyezi Mungu alivyokujalia.
 
1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae

2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba

3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha

4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba

5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae

6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania

7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe

Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye ( Mama ) inamuuma.

Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Mama kukili kwamba vyuma vimekaza mtaani,pesa mifukoni hakuna,mashirika Mengi yanapata hasara,na ubabe mwingi wa kukusanya mapato,hii ni picha kubwa,jiwe alikuwa hamshirikishi
 
Back
Top Bottom