Umenifurahisha sana muraa 😂😂Mimi kesho naishabikia 🇲🇦
Mimi kesho natinga uzi wangu wa Morocco kwenda kuishangilia Morocco.Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la ccm. Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya kumbe la dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina
Nyinyi ni wa chama gani?Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la ccm. Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya kumbe la dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina
Tanzania Haina uwezo wa kuifunga MoroccoNaomba Morocco wafanye yao kesho kushindwa kwa Taifa stars ni kushindwa kwa CCM.
Watapigwa kila mchezaji goli lake bila kuwasahau benchi la ufundi na mama A.Tanzania Haina uwezo wa kuifunga Morocco
Hiyo ya kesho iko obvious kuwa nani anafungwa. Nafikiri haihitaji maombi ...... Sema tukifungwa watasema nini!!?Naomba Morocco wafanye yao kesho kushindwa kwa Taifa stars ni kushindwa kwa CCM.
Kuaibishwa kwa taifa stars ni kuabishwa kwa ccm, nasimama na Morroco.
Ngoja staz ipigwe halafu utajua maza aliitoa wapi hii michawaHiyo ya kesho iko obvius kuwa nani anafungwa. nafikiri haihitaji maombi ...... Sema tukifungwa watasema nini!!?
Maana timu ikishinda sifa zinaenda kwa Maza ..... tukifungwa wansepa!! Hii MICHAWA sijui Maza aliitoa wapi!!?
Mpuuzi wewe, Taifa Stars ipo kabla hata CCM haijaanzishwa mwaka 1977, uzalendo kwanza kwa Taifa lako CCM mwalimu Nyerere alisema sio Baba yake lakini hakuwa na jeuri ya kusema Tanzania sio nchi yake.Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Angola walicheza kombe la dunia mwaka 2006 waliweza kwanini na sisi tushindwe kwanini.Tofauti na hilo, tangu lini Tz tukacheza kombe la dunia.? Yani hata ulichosema kisipotimia na kesho tukapata ushindi bado hatuwezi na haitakaa itokee kwenda kombe la dunia