Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Never everAngola walicheza kombe la dunia mwaka 2006 waliweza kwanini na sisi tushindwe kwanini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never everAngola walicheza kombe la dunia mwaka 2006 waliweza kwanini na sisi tushindwe kwanini.
Jifanye kama huwasikii hao machawa, shangilia timu ya taifa walilozaliwa Baba na Mama yako.Hiyo ya kesho iko obvious kuwa nani anafungwa. Nafikiri haihitaji maombi ...... Sema tukifungwa watasema nini!!?
Maana timu ikishinda sifa zinaenda kwa Maza ..... tukifungwa wansepa!! Hii MICHAWA sijui Maza aliitoa wapi!!?
Negativity inakutesa mkuu Mbaga JrNever ever
Usijifananishe na Angola ndugu, komaa na staz ya mama muonje shubiri za wa Morocco kisha mfunge domoNever ever
Kuwasikia, tunawasikia .... hata wewe ni mmoja wa Machawa .... tunakusikia!!Jifanye kama huwasikii hao machawa, shangilia timu ya taifa walilozaliwa Baba na Mama yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijifananishe na Angola ndugu, komaa na staz ya mama muonje shubiri za wa Morocco kisha mfunge domo
Wamefanyaje wanafia timu haoInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa, kwangu mimi hilo neno ni tusi.Kuwasikia, tunawasikia .... hata wewe ni mmoja wa Machawa .... tunakusikia!!
Swali langu lilkuwa dogo tu Maza aliypata wapi haya Machawa....!!?
CCM wamenunua tickets zote za mzunguko 30000.Mimi kesho natinga uzi wangu wa Morocco kwenda kuishangilia Morocco.
Yaani dua zetu ni kuhakikisha hiyo team ya taifa inapigwa bao za kutosha.Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Mpumbavu ni wewe ... Parasite mkubwa. Yaani hata hujui hadhi yako ya Uchawa. Una akili kweli wewe!!?Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa, kwangu mimi hilo neno ni tusi.
Kesho nitaishangilia Stars kwa sababu nafsi yangu ipo hivyo sitangulizi siasa kwenye mapenzi ya timu yangu ya taifa.
Wewe mpumbavu wa mwisho, unayewachukulia watu wote kwa uelewa wako finyu. SSH ataungwa mkono na Stars itaungwa mkono kwa nguvu zote.Mpumbavu ni wewe ... Parasite mkubwa. Yaani hata hujui hadhi yako ya Uchawa. Una akili kweli wewe!!?
Machawa yatatokana na uchafu uliokithiri, kwahiyo haya machawa yameota yenyewe huko kwenye uchafu wa CCM.Kuwasikia, tunawasikia .... hata wewe ni mmoja wa Machawa .... tunakusikia!!
Swali langu lilkuwa dogo tu Maza aliypata wapi haya Machawa....!!?
Kesho tukiwafunga Morocco uje hapo uongee pia. Jiamini siku zote.Usijifananishe na Angola ndugu, komaa na staz ya mama muonje shubiri za wa Morocco kisha mfunge domo
Ni hivi, kwa upuuzi wanaofanya ccm kwenye team ya taifa, hiyo team inatakiwa ipigwe BAO za nguvu. Huyo Nyerere ndio katuachia huu uchafu uitwao ccm, sasa hatujui Nyerere ndio nani.Mpuuzi wewe, Taifa Stars ipo kabla hata CCM haijaanzishwa mwaka 1977, uzalendo kwanza kwa Taifa lako CCM mwalimu Nyerere alisema sio Baba yake lakini hakuwa na jeuri ya kusema Tanzania sio nchi yake.
Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa
Tutacheza na Morocco na pengine tutashinda kwa mapenzi ya Mungu, nyinyi pingapinga endeleeni na hisia zenu hakuna wa kuwazuia.Ni hivi, kwa upuuzi wanaofanya ccm kwenye team ya taifa, hiyo team inatakiwa ipigwe BAO za nguvu. Huyo Nyerere ndio katuachia huu uchafu uitwao ccm, sasa hatujui Nyerere ndio nani.