Yanga nayo ijiangalie, kuingiza uCCM ktk mechi zake ni kujitafutia laana.Hongera Morocco [emoji1173] kuyapiga haya majinga ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga nayo ijiangalie, kuingiza uCCM ktk mechi zake ni kujitafutia laana.Hongera Morocco [emoji1173] kuyapiga haya majinga ya CCM
Hizi hakuna uwezekano wa timu niipendayo kama yanga kutoifungamanisha na siasa?Ndani ya yanga kuna mashabiki na wanachama mseto wa vyama mbalimbali mtatugawa mashabikiYanga nayo ijiangalie, kuingiza uCCM ktk mechi zake ni kujitafutia laana.
Sisi wengine mioyon mwetu Kwa ndani kabisa Huwa hatuna excuses tunapo shindwa na hakuna kitu Huwa sipendi kama kushindwa na ndio maana kwenye chochote nilicho kipambania lazima nikipate....Tumekufa 2-0 wala siwezi kutembea kichwa chini eti kwa sababu tumefungwa.
Hawa ni wa kwanza afrika kwenye viwango vya Africa, ni wa 13 duniani kwa viwango vya FIFA, wapo juu sana lakini sisi tunao mwelekeo mzuri wa kuongeza idadi ya wachezaji wa kulipwa kwenye kikosi cha kwanza.
Roma haikujengwa ndani ya siku moja, tupo kwenye njia sahihi ya kuijenga Roma yetu.
Hii inaonyesha kwamba ccm ni wezi wa Kura wananchi wengi hawayapendi haya majizi ya ccm.Watanzania Wengi wamefurahi timu yetu kuchabangwa , hii ni ishara mbaya sana .
2-0Jifanye kama huwasikii hao machawa, shangilia timu ya taifa walilozaliwa Baba na Mama yako.
😅😅😅😅😅CCM wapo wapo tu ka marehemu mtalajiwa anayesuburi kukata kauli, popopte kwenye ahueni ahueni utawaona na mabango yao..wanakera sana.