Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😁😅🤣😃Mimi dua yangu ni kuwa kila sehemu CCM itakapoingiza pua, matokeo yawe kama haya haya tunayoyashuhudia kwa timu ya taifa stars. KIlicholaaniwa kimelaaniwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😅🤣😃Mimi dua yangu ni kuwa kila sehemu CCM itakapoingiza pua, matokeo yawe kama haya haya tunayoyashuhudia kwa timu ya taifa stars. KIlicholaaniwa kimelaaniwa!
Taifa Stars nitaiunga mkono bila kujali matokeo.Kama haujalewa hoja hivi. Elewa hoja kwanza, kwani unawahi maliwato?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho tukiwafunga Morocco uje hapo uongee pia. Jiamini siku zote.
CCM wamesema ni timu yao, hata kama mimi ni CCM haijanifurahisha, vitu vya utaifa wetu huwezi kujimilikisha vitagawa ule umoja wetu!! Wamechemsha!!Jifanye kama huwasikii hao machawa, shangilia timu ya taifa walilozaliwa Baba na Mama yako.
Hongera MmoroccoInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Wew ni chawa, jikubali mkuu!.Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa, kwangu mimi hilo neno ni tusi.
Kesho nitaishangilia Stars kwa sababu nafsi yangu ipo hivyo sitangulizi siasa kwenye mapenzi ya timu yangu ya taifa.
niko na wewe kabisa, hiyo timu siipendi tangu zamani. na hivi inapoingiliwa na siasa, ikishinda eti kuna mwanasiasa anasifiwa, chuki zangu zimeongezeka maradufuInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Nashauri kuliko kuendelea kupoteza hela kwenye mashindano ambayo tunajua hatutoboi, (Mungu kasikia dua langu), tujitoe kabisa kwenye mashindano haya kwani hakuna game tutakayoshinda tena. Chukua maneno yanguInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Hata kama asingeweka dua, CCM Fc ni wa kufa tu. Kama ni mnyama basi anachinjiwa nyuma ya ShingoTanzania Haina uwezo wa kuifunga Morocco
Hatutaki siasa mpirani. Yapigwe tuWatanzania Wengi wamefurahi timu yetu kuchabangwa , hii ni ishara mbaya sana .
ukweli tumefurahi sana ile timu siyo yetu ni ya CCMWatanzania Wengi wamefurahi timu yetu kuchabangwa , hii ni ishara mbaya sana .
Umesemaaa?Kesho tukiwafunga Morocco uje hapo uongee pia. Jiamini siku zote.