Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Tuwemo ....... Tutakumbushana hapa ....
2013 ulikuwa na miaka mingapi?, tuliwafunga Morocco 3-1 hapa hapa uwanja wa taifa team ya kina Sure Boy, Amri Kiemba, Samatta na Mwinyi Kazimoto.

Morocco wamebadilika sana kumbuka mpira wao upo juu sana na wanakwenda kucheza ulaya kama sisi tunavyokwenda sokoni pale kinondoni kununua vitunguu na nyanya.
 
Pambaneni mpate ridhaa halali ya wananchi sio kulialia humu JF. Na uongozi wa CDM hauna usafi wowote na pia mwenyekiti Mbowe ni tawi la usalama wa taifa hivyo hao mnaowaamini kuwa ni viongozi wa kuiondoa CCM ikulu ni matawi tu ya chama kinachodaiwa kuchokwa na wananchi. Ni masuala magumu kuliko tunavyoyachukulia.
Nani amekuambia ana Imani na Mbowe? Hiyo ya kupambana kupata uhalali wa wananchi tulishavuka, Sasa hivi tuko kwenye hatua ya jinsi ya kupambana na majizi yajiitayo system, huku yakiwa yanashirikiana na ccm kubaki madarakani kwa shuruti.
 
2013 ulikuwa na miaka mingapi?, tuliwafunga Morocco 3-1 hapa hapa uwanja wa taifa team ya kina Sure Boy, Amri Kiemba, Samatta na Mwinyi Kazimoto.

Morocco wamebadilika sana kumbuka mpira wao upo juu sana na wanakwenda kucheza ulaya kama sisi tunavyokwenda sokoni pale kinondoni kununua vitunguu na nyanya.
.... Nilikuwa kazini .... kazini mwaka wa 5 ...jiongeze Sasa ...... Sasa nina early 40's....
 
Pambaneni mpate ridhaa halali ya wananchi sio kulialia humu JF. Na uongozi wa CDM hauna usafi wowote na pia mwenyekiti Mbowe ni tawi la usalama wa taifa hivyo hao mnaowaamini kuwa ni viongozi wa kuiondoa CCM ikulu ni matawi tu ya chama kinachodaiwa kuchokwa na wananchi. Ni masuala magumu kuliko tunavyoyachukulia.
Kumbe maafisa wa usalama wa taifa hawaheshimiwi.Yaani huyo Mbowe licha ya kuwa usalama wa taifa bado akasingiziwa kesi ya ugaidi kwamba amepanga kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya ili kuzuia barabara magari yasipite!Nchi hii kuna vituko

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.

Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Kila la heri Wazalendo
 
Naomba matokeo....muachage ubishi wa uccm na Chadema katika SOKA ..Soka ni mchezo wa wazi....naomba matokeo....
Fuatilia kwenye runinga kijana, matokeo yapo. Ni mechi iliyokuwa sawa na mazoezi kwa Taifa Stars inayojiandaa kucheza AFCON mwakani kule Ivory Coast.

Hawa hawa tuliwapiga 3-1 hapo hapo uwanja wa taifa, wenzetu wanafanya kazi ya kizalendo ya kutengeneza vizazi na vizazi vya team yao ya taifa sisi huku tunasubiri tufungwe ili tupate cha kuongea!, huku kutopendana kwetu ni chanzo cha umaskini wetu.
 
Mkuu;
Usije usikimbie Uzi ubaoni ngapi ngapi huko mpaka muda huu.....??
Tumekufa 2-0 wala siwezi kutembea kichwa chini eti kwa sababu tumefungwa.

Hawa ni wa kwanza afrika kwenye viwango vya Africa, ni wa 13 duniani kwa viwango vya FIFA, wapo juu sana lakini sisi tunao mwelekeo mzuri wa kuongeza idadi ya wachezaji wa kulipwa kwenye kikosi cha kwanza.

Roma haikujengwa ndani ya siku moja, tupo kwenye njia sahihi ya kuijenga Roma yetu.
 
Kumbe maafisa wa usalama wa taifa hawaheshimiwi.Yaani huyo Mbowe licha ya kuwa usalama wa taifa bado akasingiziwa kesi ya ugaidi kwamba amepanga kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya ili kuzuia barabara magari yasipite!Nchi hii kuna vituko

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kombe alikuwa boss wa usalama wa taifa akapigwa risasi na kuuawa sembuse Mbowe ambaye hakuheshimiwa!.
 
Nani amekuambia ana Imani na Mbowe? Hiyo ya kupambana kupata uhalali wa wananchi tulishavuka, Sasa hivi tuko kwenye hatua ya jinsi ya kupambana na majizi yajiitayo system, huku yakiwa yanashirikiana na ccm kubaki madarakani kwa shuruti.
Utazeeka na malalamiko yako mengi hapa JF, pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom