Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Hawa wajinga kwa sababu ya machungu yao wanataka tuitenge Team yetu pekee tuliyonayo.


Aisee Huwezi kunitenga na Stars hata siku moja.

Unajua ndugu yangu kuna mambo mengine yanaleta maudhi,unaweza kuta kuna shughuli fulani ya kiserikali haswa!unakuta watu wamekuja wamevaa kanga,T-shirt na kofia za ccm!what?kama uliona stars ilivyopokelewa kutoka kucheza na Niger ni sawa kweli?
 
Niliposikia tuu kuna kauli mbiu inamtaja samia,...nikaishiwa kabisa hamu ya kuishabikia stars. Tufungwe hata goli mia kesho.
 
Nazungumzia CCM kulea ujinga katika soka.
Mambo mengine waachage yajiendee kiasilia....watakuja kuharibu zaidi hili taifa..... Kuna mwaka sijui ni mwezi ule ilipatwa MBEYA ....wakamshukuru Magufuli Kwa KUPATWA Kwa mwezi Tanzania. ..... Hawa watu Wana matatizo.....
 
Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.

Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Mechi ya kesho kufungwa ni 100% huna haja ya kuomba dua baya.
 
Akili za kijinga sana za kuendekeza chuki na uhasama zipo Tanzania pekee.

Tujiulize ni kwanini kina Diamond na Kiba ambao ndio nyota wa muziki wetu kwanini wanaishia walipo wakati nyota wa kinigeria wanalipwa dola milioni moja kutumbuiza kwenye shughuli za maana huko duniani.

Mnapokosa upendo ni rahisi sana kubakia pale pale siku zote, mnaishia kuwa na sera za kuangalia ubaya na zile sababu za kuchukiana na kunyoosheana vidole.

Mzungu alitutawala kirahisi sana kwa sababu alikuta sisi wenyewe hatuna umoja wa maana.
 
Unajua ndugu yangu kuna mambo mengine yanaleta maudhi,unaweza kuta kuna shughuli fulani ya kiserikali haswa!unakuta watu wamekuja wamevaa kanga,T-shirt na kofia za ccm!what?kama uliona stars ilivyopokelewa kutoka kucheza na Niger ni sawa kweli?
Nenda kwenye hiyo shughuli kwa kutazama lengo la jumla hao wanaokuwa wamevaa T shirt za CCM achana nao utajitafutia hasira zisizo na sababu za msingi.
 
Tunajuwa vibaraka wa waarabu bado wapo hatuoni ajabu hatakama wao ni wazuri kitaeleweka tu. Halafu mambo ya siasa na mpira hakuna chama kilicho katazwa kusapoti timu kwamba hawa tawala hawa wapinzani kila mtuanajuwa hilo.
 
Akili za kijinga sana za kuendekeza chuki na uhasama zipo Tanzania pekee.

Tujiulize ni kwanini kina Diamond na Kiba ambao ndio nyota wa muziki wetu kwanini wanaishia walipo wakati nyota wa kinigeria wanalipwa dola milioni moja kutumbuiza kwenye shughuli za maana huko duniani.

Mnapokosa upendo ni rahisi sana kubakia pale pale siku zote, mnaishia kuwa na sera za kuangalia ubaya na zile sababu za kuchukiana na kunyoosheana vidole.

Mzungu alitutawala kirahisi sana kwa sababu alikuta sisi wenyewe hatuna umoja wa maana.
Haikuwa na haja ya kuingiza radha ya kisiasa kwanye Timu ya Taifa. Waliofanya hivo ndio wana akili za kijinga.
 
Utaumia Bure kama Simba walivyoingia na matokeo Yao.... Hatuna timu ya kumfunga Morroco labda tuzuie tu kama Algeria.....na tushukuru tu Algeria naye alikuwa ameshapita ....Hawa ndio tunaanza nao mbio .... Tutagongeshwa hutoamini....
Mpira ni mchezo wa mbinu usiogope jina la team unayocheza nayo.
 
Akili za kijinga sana za kuendekeza chuki na uhasama zipo Tanzania pekee.

Tujiulize ni kwanini kina Diamond na Kiba ambao ndio nyota wa muziki wetu kwanini wanaishia walipo wakati nyota wa kinigeria wanalipwa dola milioni moja kutumbuiza kwenye shughuli za maana huko duniani.

Mnapokosa upendo ni rahisi sana kubakia pale pale siku zote, mnaishia kuwa na sera za kuangalia ubaya na zile sababu za kuchukiana na kunyoosheana vidole.

Mzungu alitutawala kirahisi sana kwa sababu alikuta sisi wenyewe hatuna umoja wa maana.
Ccm iache kutawala nchi hii kwa shuruti maana wao ndio tatizo. Kizazi Cha kuichagua ccm kwa hiari kilishapita. Kwanini mlazimishe kuongoza kizazi kilichowachoka?
 
Ccm iache kutawala nchi hii kwa shuruti maana wao ndio tatizo. Kizazi Cha kuichagua ccm kwa hiari kilishapita. Kwanini mlazimishe kuongoza kizazi kilichowachoka?
Mnaosema CCM imechokwa cha ajabu mnaishia kulialia humu JF, Hamna uwezo wa kuonyesha kwa vitendo namna ilivyochokwa.

CCM inafanya siasa halisi na wananchi kila kukicha, nyinyi mnakuja na siasa za hisia zile zilizojaa chuki na maumivu ya mioyo.
 
Haikuwa na haja ya kuingiza radha ya kisiasa kwanye Timu ya Taifa. Waliofanya hivo ndio wana akili za kijinga.
Achana na wanachofanya CCM shabikia team yako ya taifa, kwa kuitazama CCM inafanya nini utaishia kujipatia maumivu ya moyo tu.
 
Mnaosema CCM imechokwa cha ajabu mnaishia kulialia humu JF, Hamna uwezo wa kuonyesha kwa vitendo namna ilivyochokwa.

CCM inafanya siasa halisi na wananchi kila kukicha, nyinyi mnakuja na siasa za hisia zile zilizojaa chuki na maumivu ya mioyo.
Hizo story ilikuwa zamani, kwenye chaguzi tunaona kinachoendelea Wala sio Siri tena. Ccm inaigiza kufanya siasa kwa sababu kinapata upendeleo wa Dola kufanya siasa. Lakini uhayawani unaoendelea kwenye chaguzi zetu, haukipi jeuri ccm kuwa inakubalika hivyo. Na kadiri uchaguzi unavyotokea kuheshimiwa, ndio ccm inavyopoteza uwakilishi wake.

Ndio maana tunataka tume huru ya uchaguzi, ambayo itaweka uhalisia wa ccm kukubalika kwake. Na kwakuwa ccm inajua ukweli huo haiko tayari kwa tume huru ya uchaguzi, Wala katiba halisi ya wananchi. Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataionyesha ccm Iko mazingira gani hapa nchini.
 
Nilikuwa nawaza kwanini wazungu wanapenda kuja kupumzika Tz ....Kumbe kujaa kwa vituko ndio kivutio sio wanyama Wala milima.
Mambo mengine waachage yajiendee kiasilia....watakuja kuharibu zaidi hili taifa..... Kuna mwaka sijui ni mwezi ule ilipatwa MBEYA ....wakamshukuru Magufuli Kwa KUPATWA Kwa mwezi Tanzania. ..... Hawa watu Wana matatizo.....
 
Back
Top Bottom