mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu hamna uwezo.Angola walicheza kombe la dunia mwaka 2006 waliweza kwanini na sisi tushindwe kwanini.
Hii ni taifa stars ya MamaInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
😀 😀 acheni kucheza mpira myoyoni na saikologikali bana,Kwaninunatakiwa kuwa mwanachama au mpenzi/shabiki wa chama gani, ili kuiunga mkono Taifa Stars? CCM na mwenyekiti wao wanaharibu sana kuingiza siasa kwenye mpira.
Tanzania hoyeeeeee......Taifa Stars oyeee.
mpira uchezwe uwanjani, mshindi apatikane uwajani. hii ingine ni faraja na porojo tuTanzania Haina uwezo wa kuifunga Morocco
Acha ujinga wwMimi kesho naishabikia [emoji1173]
Kuna shida yoyote kwa mimi kureply comment yako ?Mbona ume-reply kwenye comment yangu.?
Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa, kwangu mimi hilo neno ni tusi.
Kesho nitaishangilia Stars kwa sababu nafsi yangu ipo hivyo sitangulizi siasa kwenye mapenzi ya timu yangu ya taifa.
Tanzania ni hii hii moja kama unaumia sana Tafuta nauli uhamie ncho jirani, hapo maisha yataendelea kama kawaida.Hesabu za nini wakati kila kitu kipo wazi.
Ufisadi
Wizi
Huduma mbaya kwa jamii
Ndugu kupeana madaraka nk
CCM ya Nyerere haikufanya huo upuuzi, ila hii ccm ya sasa sio ya kushobokea kabisa hasa hii awamu ya 6.
Siwezii hama nchi ila sitashangilia staz ya ccm.
Samia na serikali yake tutamsifia tu. Kazi anaifanya na ni nzuri.Chawa at work
Hawa wajinga kwa sababu ya machungu yao wanataka tuitenge Team yetu pekee tuliyonayo.Tanzania hoyeeeeee......
Acha kuleta visingizio Tanzania hatuna uwezo wa kuifunga moroco labda , miujiza itokee tuInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.