vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 86
Marafiki daima hufanana mitazamo na mawazo hapo jibu ni ndiyo cdm lazima wafuate mlengo huo.
Upo sahihi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marafiki daima hufanana mitazamo na mawazo hapo jibu ni ndiyo cdm lazima wafuate mlengo huo.
mkuu, kwanza lazima utambue kuwa ushirikiano wa mtu na mtu ni tofauti na chama au taasisi. vyama hushirikiana vile ambavyo vina sera zinazolingana. bibafsi naona kuna hoja hapo imejificha hasa kutokana na hulka za viongozi wa chadema kuwa na upendeleo wa wazi wa kidini
mbona viongozi wengi wa ccm sio wakristo? Je ccm ni chama cha kiislamu?
Wadau,
Wakati wa Kampeni za uchaguzi nchini Ujerumani zikiwa zimepamba moto, tumeshuhudia muungano wa vyama kwa misingi ya itikadi za vyama hivyo. CDU cha Angel Merkel ambacho ni cha Kikristo, kinashirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa kikristo kikipambana na vyama vingine vya mrengo wa kati. Ikumbukwe kuwa CDU ndo chama rafiki cha CHADEMA na wamekuwa wakiitumia taasisi ya KAS kutengeneza vyama vibaraka ulimwenguni kote ambavyo vinafuata mrengo wa Kikristo. Kutokana na Katiba ya hapa Tanzania kutoruhusu vyama vya mrengo huo, tumeshuhudia CHADEMA wakitekeleza sera za CDU kwa kificho. kwa CHADEMA kuwa rafiki na chama cha kikristo na kutokana na chama hicho kuwa na mwelekeo wa kupendelea watu wa dini ya kikristo hasa katika kupanga safu ya uongozi na uteuzi wa nafazi za wagombea, je si wakati muafaka sasa wa kukifuta chama hiki? Tujiridhishe jinsi wajerumani wenyewe wanavyoelezea muungano wa vyama hivyo;
Neck-And-Neck Race Ups Grand Coalition Chances
A neck-and-neck race between Chancellor Angela Merkels center-right coalition and the center-left opposition parties increases the likelihood of a grand coalition in Germany, according to a poll published Tuesday.
Ahead of Sunday elections, the findings of Forsa institute indicate only two coalitions would have a workable majority.
First, a grand coalition between Ms. Merkels Christian Democrats, the Bavarian Christian Social Union sister party and the opposition Social Democrats would get a solid majority to run the next government.
A second possibility would be a coalition between the Christian Democrats and their Christian Social Union partner with the opposition Greens, but this is unlikely due to disagreement on issues like national security and the environment.
In Tuesdays poll, Ms. Merkels present coalition with the pro-business Free Democrats secured 44% in combined support, based on 39% for the Christian Democrats and Christian Social Union, and 5% for the Free Democrats.
The Social Democrats of chancellor candidate Peer Steinbrueck, the Greens and Left party also had 44% in combined support. Of that, the Social Democrats had 25%, the Left party 10% and the Greens 9%.
The apparent stalemate comes as support slipped for Ms. Merkels coalition partner, the Free Democrats. At 5%, the party was one percentage point lower than last week, casting doubt on whether election day would see it meet the 5% threshold needed to enter parliament.
The euro-skeptic party Alternative for Germany remained at 3%, but Forsa said it is hard to predict turnout because voters arent openly expressing support for the new party.
Kutetea haki za waislam dhidi ya mfumo kristo unaomnyima Ponda dhamana!Kushirikiana kwenye lipi?
WATANZANIA wengine
wanafiki sana, yaani hapa wanainanga CDU lakini kila mwaka tunapokea
misaada kibao kutoka Ujerumani inayoongozwa na CDU. Sasa si tungesema
hatutaki hiyo misaada maana CDU ni chama cha Kikristo??
Hivi unajua serikali ya CDU imewapa hifadhi Waislamu kutoka
Somalia,Uturuki n.k kiasi gani?? mbona hatusemi msiende huko kwenye nchi
inayoongozwa na chama cha CDU??
Bajeti yetu ina upungufu wa karibu 40% na wanaojalizia hiyo 40% ndio hao
CDU, twapokea tena tukitabasamu sana na tunaomba zaidi, ila leo
hatutaki kushirikana nao hata kwa ushauri eti kwa kua ni Ukristo.
Hivi chama cha Kikomunisti Cha Uchina (CCP) wanapinga uwepo wa MUNGU, na
ukiwa unaamini MUNGU uwe Mkristo au Muislam ukijulikana unafukuzwa
uanachama wa CCP. Wao CCP ni marafiki wa CCM sasa unataka kutuaminisha
kuwa CCM nao ni watu wanaopinga uwepo wa MUNGU ndio mana wanatajwa
kulipua watu kwa mambomu na risasi?? CCP kinatajwa kukiuka haki za
binadamu sasa je na CCM ni hivyo ndio mana Waalimu wakidai nyongeza
wanatishwa?? au ndio mana wazee wa East Africa hawajalipwa hadi leo??
Acga ushabiki na tulia jiulize ushirika wa CDU na CHADEMA ni kwenye
maeneo gani?? au CCM na CCP ni kwenye maeneo gani???
Hoja dhaifu, nani kakuambia
kuwa CDM na CDU wanashirikiana katika ukristo? Kwani ni vimesajiliwa
kama vyama vya kidini au kisiasa? Je wajerumani wamekulalamikia kuwa
wanabaguliwa kutokana na dini zao na chama tawala hivyo uwasaidie
watanzania kuachana na chama chochote rafiki na CDU? Kama ndo hivyo; vip
ccm ni chama cha kikomunist? Mbona kimeazima mpaka balozi kuwasaideni
kupiga kampeni? Fikira zangu ni kwamba kwenye siasa kuna maslahi mapana
zaidi ya dini!
Akili za Bavicha utazijua tu kwa michango yao haya nenda mtaa wa Ufipa ukachukue viroba vyako.Umeuliza swali zuri Elton John Ritz...nadhani ungemwambia huyu Elton John mwenzio mleta thread atuambie CHADEMA wanashirikiana na chama hicho kwenye maeneo gani?
toa uongo wako hapa. ujerumani wanatoa misaada gani kwa serikali zaidi ya kusaidia CHADEMA tu?