Bakita
Senior Member
- Sep 16, 2013
- 103
- 29
Umemaliza?
Wacha ujinga uo ccm chadema na cuf wote shirika moja, mtapiga kura mpka mtamaliza mtaishia kupewa vijiko tu majungu makuuu wamezuia wahusika, mkuuu amken, wananch mnapigana viongoz wanakutana kwenye vikao wanakula wanafurah wanapeana pesa wanaenda kula na familia zao,,,, wewe namie tunaishia kulumbana kwenye jamiii forum