Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Ongeza sifuri moja kwa mbele utapata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Wewe huna kwenye mabaki baki ya zile hekari zako ukamsaidia?
Halafu itakuwa kapotea njia, humu watu wananua beach plots tena kwa USD😀
Hii comment imekaa kikatili Sana kama mashambulio ya I.D.F 😅Dar hakuna kinachokosekana. Viwanja vya laki 3 vipo ila ujiandae kushinda mahakamani
😅Au kukimbia / kuhama wakati wa mvua.
View attachment 3121787
//
View attachment 3121789
My take: Angalau angesema Milioni 3
Depression nitumie kimoja huku kijijini kwetu.Mikoani vipo na dar tunatuma mkuu.
Hekari zangu 20 siuzi 😹Wewe huna kwenye mabaki baki ya zile hekari zako ukamsaidia?
Halafu itakuwa kapotea njia, humu watu wananua beach plots tena kwa USD😀
Wapi huko dar kuna kijiji?Depression nitumie kimoja huku kijijini kwetu.
Umesema vyema. Miaka fulani tulitafuta kiwanja dar kila mtu anasema huoati chini million 5 asee watu wengi hovyoo na bure kabisaa na hawapendi wenzao wapate. Tulikuwa kupata kiwanja chini ya milion Cha kujenga vyumba vitatu na sebule sema palikuwa na gema la kusawazisha kwa 50,000 tu. Ila kuna la kujifunza kuwa ukitafuta kwa haraka hupati.Unapata vipo usibishe ila maeneo hayo ukinunua mvua ikinyesha huna wa kumlaumu umenunua kwenye makazi ya maji yaan juakali ukienda kununua unapaona pako safi kabisa lipia subiri mvua inyeshe uone ulichokinunua ndio utaelewa kwanini walikuuzia kwa bei hio
Nenda Boko mlemela. Unaweza kuja kunishukuruKwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar
Wajuzi mtujuze📌
Mm nina shida lakin laki 3 siitakiLabda upate mtu ana shida, anauza ili atatue shida zake.....
Hakuna eneo hilo dar... labda laki 6 tena pwani kunaitwa MagodaniPembezoni mwa Dar huko vipo tena kuna jamaa alikua anadalia ni laki 1 tu sio laki 3 ila ni mbali huko hata huduma za jamii hakuna kukavu au unafikiri Dar ndogo km inavyoonyeshwa kwenye ramani kwamba unaweza ukaizunguka siku 1 tu ukaimaliza yote?
Unataka sh ngapi, kiwanja kiko wapi.....matajiri tuongeze mahelaMm nina shida lakin laki 3 siitaki
Wapi hapa?Au kukimbia / kuhama wakati wa mvua.
View attachment 3121787
//
View attachment 3121789
My take: Angalau angesema Milioni 3
Mwasonga kigamboni nipeni 1. 2 tu nikafie mbele kwa mbeleUnataka sh ngapi, kiwanja kiko wapi.....matajiri tuongeze mahela
Kigamboni.... Sijui kwanini huwa pamenikalia kushoto mie.Mwasonga kigamboni nipeni 1. 2 tu nikafie mbele kwa mbele